Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Mbona Watu wa Mjini Tuliambiwa tutaulizwa maswali mengi zaidi ya 63 lakini mimi nimeulizwa maswali Nane tu oi au Wamechukua vilaza kuwahesabu watu so wameshindwa kusoma vipengele vingi...
1. Jina lako? Duduwasha
2.Umri wako?Old Enough
3.Una Mke? Sijaoa Kwa nini Bahati bado haiafika akacheka! Mdada huyo...
4.Mpo wangapi kwenye kaya yako? Mmoja
5.Una Ulemavu wowote? Sina
6.Unasoma Elimu yako? Chuo nimemaliza! - Nakumbuka Kikwete amesema akimaliza uraisi ataanza kusoma tena? Sijui atasomea wapi au Nje! USA kama sumaye! Tutakimbiwa
7.Upo kwenye mfuko wowote wa Jamii? Ndiyo NSSF Ila wafikishie ujumbe nataka niache kazi niendeleze biashara mafao yangu nayataka yote
8.Una mtu yeyeto aliyesafiri nje ya Nchi? Mdogo wangu amesharejea na ataondoka tena karibuni
Nikawauliza una Yameisha? Wakasema Ndiyo? Nikashangaa! Manake walisema kutakuwa na maswali zaidi ya 60
1. Jina lako? Duduwasha
2.Umri wako?Old Enough
3.Una Mke? Sijaoa Kwa nini Bahati bado haiafika akacheka! Mdada huyo...
4.Mpo wangapi kwenye kaya yako? Mmoja
5.Una Ulemavu wowote? Sina
6.Unasoma Elimu yako? Chuo nimemaliza! - Nakumbuka Kikwete amesema akimaliza uraisi ataanza kusoma tena? Sijui atasomea wapi au Nje! USA kama sumaye! Tutakimbiwa
7.Upo kwenye mfuko wowote wa Jamii? Ndiyo NSSF Ila wafikishie ujumbe nataka niache kazi niendeleze biashara mafao yangu nayataka yote
8.Una mtu yeyeto aliyesafiri nje ya Nchi? Mdogo wangu amesharejea na ataondoka tena karibuni
Nikawauliza una Yameisha? Wakasema Ndiyo? Nikashangaa! Manake walisema kutakuwa na maswali zaidi ya 60