ASIWAJU
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 1,939
- 1,625
Karibuni wadau kwa majawabu yenu juu ya maswali yangu haya yafuatayo.
1. Kwa nini wanasiasa wa TANU na vyama baadhi miaka ya 1950s walishinikiza suala la wao kupewa uhuru kutoka kwa Muingereza? Sababu gani ya msingi ili wafanya wao kushinikiza hitaji lao?
2. Kwa nini Serikali ya Jamhuri ya Tanganyika chini ya Mwalimu Nyerere ili amua kuchukua maamuzi ya kuunganisha nchi huru ya Tanganyika na kisiwa huru cha Zanzibar chini ya serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar chini ya Karume 1964?
3. Ni sababu zipi zili lazimisha muungano kuwepo?
4. Baada ya muungano mipaka na serikali ya Jamhuri ya Tanganyika ni ipi ? Na mipaka na serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni ipi?
5. Katiba ya Jamhuri ya Tanganyika ni ipi? Na Katiba ya serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni ipi?
6. Ni kwa namna gani serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ina nufahika na aina hii ya muungano?
7. Pia ni kwa namna gani serikali ya Jamhuri ya Tanganyika ina nufahika na aina hii ya Muungano?
8. Hatua za kuchukua katika kuvunja huu muungano ni zipi?
Karibuni kwa majawabu ya maswali na pia maswali ya nyongeza kwa manufaa ya wote.
1. Kwa nini wanasiasa wa TANU na vyama baadhi miaka ya 1950s walishinikiza suala la wao kupewa uhuru kutoka kwa Muingereza? Sababu gani ya msingi ili wafanya wao kushinikiza hitaji lao?
2. Kwa nini Serikali ya Jamhuri ya Tanganyika chini ya Mwalimu Nyerere ili amua kuchukua maamuzi ya kuunganisha nchi huru ya Tanganyika na kisiwa huru cha Zanzibar chini ya serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar chini ya Karume 1964?
3. Ni sababu zipi zili lazimisha muungano kuwepo?
4. Baada ya muungano mipaka na serikali ya Jamhuri ya Tanganyika ni ipi ? Na mipaka na serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni ipi?
5. Katiba ya Jamhuri ya Tanganyika ni ipi? Na Katiba ya serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni ipi?
6. Ni kwa namna gani serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ina nufahika na aina hii ya muungano?
7. Pia ni kwa namna gani serikali ya Jamhuri ya Tanganyika ina nufahika na aina hii ya Muungano?
8. Hatua za kuchukua katika kuvunja huu muungano ni zipi?
Karibuni kwa majawabu ya maswali na pia maswali ya nyongeza kwa manufaa ya wote.