Maswali ya kisiasa yenye kuhitaji majawabu yake

Hakuna namna ya Kuvunja Muungano, si kwa katiba ya Muungano wala Mkataba wa Muungano.
Kwa nini hiyo namna ina kosekana ?
Mosi ni Shauku ya Nyerere juu ya Afrika moja,
Nyerere alikuwa mstari wa mbele kupinga Afrika moja.
Pili ni hofu ya Karume juu ya kuatamia mamlaka ya Utawala wa Zanzibar,
Sijakuelewa hapa
Tatu ni nchi za Magharibi kuondoa uwezekano wa Zanzibar kuingia kwenye Ukomnisti.
Lakini 1967 falsafa mfanano za kikomunisti zili lazimishwa kuingizwa na Nyerere kupitia nchi mmoja iliyo zaliwa baada ya muungano.
 
Hapo no 1 tunatofautiana, uhuru wa Tanzania haukutokana na kushinikizwa kwa Uingereza, Tanganyika halikua colon la mwingereza, nchi yetu ilikua chini ya UN, ndio maana Nyerere na wenzake walikwenda New York sio London, binafsi ilikua mapema mno kwa Tanganyika kupata uhuru kutoka UN,na mbaya zaidi ziara ya Nyerere China in mid 60s ndio ilituvuruga kabisa kama nchi. Nitarudia Muungano baadaye, nipo shambani lingusenguse
Asante kwa mchango wako mkuu, karibu tena.
 
Tungepiga chini haya maswala ya mungani.

Naskia Zanzibar saivi Wana mipango madhunuti kama;-

#kiumaridha utalii hasa Kwa kuboresha usafirishaji Ardhi, Maji, na Anga( Airzenji😲).
Hotel Kwa maana ya kuwavuta wawekezaji kuwekeza(wandani)


#kuwekeza KATIKA michezo ya maji, na kuhifadhi fukwe na maliasili cheche zilizopo visiwani humo.

#kujikuza kielimu na kimajeshi hii inaenda Kwa Kasi.

#kuimarisha siasa(Diplomasia) na uhuru, yaani (democrasia).hii husaidia hata nchi baadhi kuvutiwa kuwekeza KATIKA nyanja mbalimbali kama maendeleo na Usalama pia(Jeshi)

#kujiamarisha KATIKA secta ya uvuvi hasa kufanya uvuvi WA kisasa wenye tija na soko kimataifa,

#kujiamarisha KATIKA kilimo hasa kilimo Cha viungo, na vilimobahari kama mwani, pamoja na Aquarium za kufugi Kaa, majongoo bahari, konokono, na Kaa Kwa ajili ya masoko ya nje.

Baada ya hayo yote kukamilika WA 💯% ndo utaona mambo ya kutengana yameanza na hii haitachukia muda tujiandae

Hawa jamaa Wana support kubwa kuliko mnovowaza.

Kila lenye kheri kwao mana wanatuzi akili.
 
Tungepiga chini haya maswala ya mungani.

Naskia Zanzibar saivi Wana mipango madhunuti kama;-

#kiumaridha utalii hasa Kwa kuboresha usafirishaji Ardhi, Maji, na Anga( Airzenji😲).
Hotel Kwa maana ya kuwavuta wawekezaji kuwekeza(wandani)


#kuwekeza KATIKA michezo ya maji, na kuhifadhi fukwe na maliasili cheche zilizopo visiwani humo.

#kujikuza kielimu na kimajeshi hii inaenda Kwa Kasi.

#kuimarisha siasa(Diplomasia) na uhuru, yaani (democrasia).hii husaidia hata nchi baadhi kuvutiwa kuwekeza KATIKA nyanja mbalimbali kama maendeleo na Usalama pia(Jeshi)

#kujiamarisha KATIKA secta ya uvuvi hasa kufanya uvuvi WA kisasa wenye tija na soko kimataifa,

#kujiamarisha KATIKA kilimo hasa kilimo Cha viungo, na vilimobahari kama mwani, pamoja na Aquarium za kufugi Kaa, majongoo bahari, konokono, na Kaa Kwa ajili ya masoko ya nje.

Baada ya hayo yote kukamilika WA 💯% ndo utaona mambo ya kutengana yameanza na hii haitachukia muda tujiandae

Hawa jamaa Wana support kubwa kuliko mnovowaza.

Kila lenye kheri kwao mana wanatuzi akili.
Duuuh!
 
Duuuh!, ndio maana una nga'ng'aniwa kwa nguvu sana hasa huku Tanganyika.
Kama ni hivyo basi hii ni shida.

Kwani hilo eneo Zanzibar wameanza kumiliki toka lini ? Maan ramani za kikoloni mbona hazioneshi hivyo ?

Toka enzi za ukoloni wa mwarabu boss.
 
Karibuni wadau kwa majawabu yenu juu ya maswali yangu haya yafuatayo.

1. Kwa nini wanasiasa wa TANU na vyama baadhi miaka ya 1950s walishinikiza suala la wao kupewa uhuru kutoka kwa Muingereza? Sababu gani ya msingi ili wafanya wao kushinikiza hitaji lao?

2. Kwa nini Serikali ya Jamhuri ya Tanganyika chini ya Mwalimu Nyerere ili amua kuchukua maamuzi ya kuunganisha nchi huru ya Tanganyika na kisiwa huru cha Zanzibar chini ya serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar chini ya Karume 1964?

3. Ni sababu zipi zili lazimisha muungano kuwepo?

4. Baada ya muungano mipaka na serikali ya Jamhuri ya Tanganyika ni ipi ? Na mipaka na serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni ipi?

5. Katiba ya Jamhuri ya Tanganyika ni ipi? Na Katiba ya serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni ipi?

6. Ni kwa namna gani serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ina nufahika na aina hii ya muungano?

7. Pia ni kwa namna gani serikali ya Jamhuri ya Tanganyika ina nufahika na aina hii ya Muungano?

8. Hatua za kuchukua katika kuvunja huu muungano ni zipi?

Karibuni kwa majawabu ya maswali na pia maswali ya nyongeza kwa manufaa ya wote.
We ni mzee wa miaka mingapi. Maana mambo yote haya unayouliza yanafundishwa mashuleni aidha kupitia somo la Historia au somo la Uraia. We uko pande ipi hujapitia shule au ulikuwa huelewi chochote. Rudi darasani majibu yapo kwenye vitabu tena majibu yote ndiyo maana ya kwenda shule.
 
We ni mzee wa miaka mingapi. Maana mambo yote haya unayouliza yanafundishwa mashuleni aidha kupitia somo la Historia au somo la Uraia. We uko pande ipi hujapitia shule au ulikuwa huelewi chochote. Rudi darasani majibu yapo kwenye vitabu tena majibu yote ndiyo maana ya kwenda shule.
Sawa nimekuelewa, majibu yako kwa maswali yangu ni yapi ? Karibu
 
Karibuni wadau kwa majawabu yenu juu ya maswali yangu haya yafuatayo.

1. Kwa nini wanasiasa wa TANU na vyama baadhi miaka ya 1950s walishinikiza suala la wao kupewa uhuru kutoka kwa Muingereza? Sababu gani ya msingi ili wafanya wao kushinikiza hitaji lao?

2. Kwa nini Serikali ya Jamhuri ya Tanganyika chini ya Mwalimu Nyerere ili amua kuchukua maamuzi ya kuunganisha nchi huru ya Tanganyika na kisiwa huru cha Zanzibar chini ya serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar chini ya Karume 1964?

3. Ni sababu zipi zili lazimisha muungano kuwepo?

4. Baada ya muungano mipaka na serikali ya Jamhuri ya Tanganyika ni ipi ? Na mipaka na serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni ipi?

5. Katiba ya Jamhuri ya Tanganyika ni ipi? Na Katiba ya serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni ipi?

6. Ni kwa namna gani serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ina nufahika na aina hii ya muungano?

7. Pia ni kwa namna gani serikali ya Jamhuri ya Tanganyika ina nufahika na aina hii ya Muungano?

8. Hatua za kuchukua katika kuvunja huu muungano ni zipi?

Karibuni kwa majawabu ya maswali na pia maswali ya nyongeza kwa manufaa ya wote.
Pascal Mayalla JokaKuu Mohamed Said ....
 
Proved,
Kulikuwa hakuna mawasiliano yoyote baina ya UNO na Watanganyika kupitia African Association.

Waingereza ndiyo waliokuwa wanaonekana pale Governemt House na bendera yao (Union Jack) ikipepea.

Huyu Gavana Mwingereza ndiye Waafrika wakimuona kuwa ndiyo mkoloni mwenyewe.

UNO hawakuwapo Dar es Salaam kabisa.

UNO kama mdhamini wa Tanganyika alikuwa anafuatilia kwa mbali akileta kamati yake kuja Tanganyika baada ya kama kila baada ya miaka mitatu hivi kuangalia maendeleo ya Waafrika kama wako tayari kujitawala au vipi.

Picha hapo chini kutoka kitabu cha Abdul Sykes siku ta ufunguzi wa ofisi ya African Association mwaka wa 1933 (kwenye picha imeandikwa 1930 kwa makosa) Gavana Donald Cameron akiwa na viongozi wa African Association:

1674842181791.jpeg
 
Wazee wa Tanu kudai Uhuru kipindi kile ukisoma historia ni utashi baada ya baadhi yao kuwa wamepata Elimu na ufahamu, muungano wa Tanganyika na zenji wengi huwa wanasema ni sababu za kiusalama na kiulinzi Kwa Tanganyika na Tanganyika ikafa baada ya hapo, SMZ wanaKatiba, bendera yao na wimbo wao....wakati sisi watanganyika wa bara hatuna.

Anyway muungano uwepo ila Mtanganyika aruhusiwe kwenda kumiliki ardhi, kugombea, Kuteuliwa kuwa DC, RC,Wizara za SMZ na nafasi zingine tofauti na hivyo itakuwa unafiki tu kuwa na muungano unaonufaisha wachache........

Naunga mkono hii hoja,nikitazama zaidi uwepo wa nchi moja serkali moja.
 
Karibuni wadau kwa majawabu yenu juu ya maswali yangu haya yafuatayo.

1. Kwa nini wanasiasa wa TANU na vyama baadhi miaka ya 1950s walishinikiza suala la wao kupewa uhuru kutoka kwa Muingereza? Sababu gani ya msingi ili wafanya wao kushinikiza hitaji lao?

2. Kwa nini Serikali ya Jamhuri ya Tanganyika chini ya Mwalimu Nyerere ili amua kuchukua maamuzi ya kuunganisha nchi huru ya Tanganyika na kisiwa huru cha Zanzibar chini ya serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar chini ya Karume 1964?

3. Ni sababu zipi zili lazimisha muungano kuwepo?

4. Baada ya muungano mipaka na serikali ya Jamhuri ya Tanganyika ni ipi ? Na mipaka na serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni ipi?

5. Katiba ya Jamhuri ya Tanganyika ni ipi? Na Katiba ya serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni ipi?

6. Ni kwa namna gani serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ina nufahika na aina hii ya muungano?

7. Pia ni kwa namna gani serikali ya Jamhuri ya Tanganyika ina nufahika na aina hii ya Muungano?

8. Hatua za kuchukua katika kuvunja huu muungano ni zipi?

Karibuni kwa majawabu ya maswali na pia maswali ya nyongeza kwa manufaa ya wote.
Na Huwa najiuliza Kuna raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania je Huwa wazanzibar wanamchagua pia?

Pia kama Kuna rais wa Zanzibar ilitakiwa kuwa na rais wa Tanganyika na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania? Hapa pamekaaje wakuu
 
Huyo mzee asipo wataja wazee wake akina duli saksi na unstall app ya jf,mana huyo mzee hata kama anaongelea inshu za simba na yanga lazima awataje akina dulu saks.
Huyo mzee asipo wataja wazee wake akina duli saksi na unstall app ya jf,mana huyo mzee hata kama anaongelea inshu za simba na yanga lazima awataje akina dulu saks.
Jiwe...
Dully Sykes kwangu ni mwanangu.

Baba yake Ebbie mimi na yeye ni marafiki toka udogo wetu na tulipishana siku moja kuzaliwa katangulia Ebbie.

Siwezi kumtaja Dully Sykes kwa kuwa hakuwako katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika wala siwezi kumtaja baba yake.

Mimi nawataja babu zake Dully, Bwana Abdul na Ally Sykes na nawataja kwa yale waliyofanya wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika.

Ikiwa wewe historia hii inakuchoma moyo ungependa kama vile isingekuwapo hii ni bahati mbaya kwako.

Swali limekuja kuhusu Mandate Territories 1950 na nimeombwa kutoa jibu.

Wewe hutaki Sykes watajwe katiks historia ya uhuru wa Tanganyika.

Hii itawezekabaje?

Sasa msome Abdul Sykes na wenzake hapo chini vipi walilishughulikia suala hili:

''A major issue facing Abdul Sykes and the TAA Political Subcommittee was the status of Tanganyika as a mandate territory.

Abdulwahid engaged Earle Seaton, a lawyer from Bermuda based in Moshi, and attached him to the committee to advise them on constitutional law and decolonisation of mandate territories under foreign rule.

The United Nations Trusteeship Council had already sent its first visiting mission to Tanganyika in 1948; but not much was gained from this mission.

The TAA headquarters in Dar es Salaam under Dr Kyaruzi and Abdulwahid with the backing of the political committee was now rising from its deep slumber. What was now required were serious issues to stimulate the minds of the young intellectuals.

The TAA leadership did not have to look far.

These issues came in the form of the Constitutional Development Committee set up by Governor Edward Twining and the Meru land evictions.

Tanganyika as a Mandate Territory​

Britain was administering Tanganyika under articles 76 and 77 of the Charter of the United Nations.

As the administering authority, Britain was expected to establish and promote political, economic and social advancement of Tanganyika until such time as its people were ready for self-rule.

In spite of this international commitment, the British were more interested in safeguarding their own colonial interests and those of other minorities but-not those of the indigenous African majority. [1]

In order to pre-empt African reaction to this injustice, in 1949 Governor Twining invited proposals from prominent individuals, welfare societies and from Native Authorities,[2] as to how Tanganyika should be governed.

The TAA political committee submitted a memorandum to the Constitutional Development Committee which was signed by the entire executive:

Sheikh Hassan bin Amir, Abdulwahid Sykes, Vedasto Kyaruzi, Hamza Mwapachu, John Rupia, Stephen Mhando and Said Chaurembo. [3]

In his annual report for 1950, Abdulwahid was to write:
For the welfare of the Africans and to safeguard the interests of this Association and those of the African community as a whole, this Association has marranged for an advocate to stand by and to advise the Association on the technical side of the law.

This advocate is Mr. E.E. Seaton of Moshi. He has from time to time written to the Association on various political subjects, and helped a great deal with his advices when this Association was compiling its memorandum on constitutional development. [4]
Abdulwahid realised that many of the problems in respect of the rights of Africans in the territory were legal issues which required the advice of legal experts.

For the first time, with the help of Seaton, TAA was able to confront the colonial authority with facts and figures illustrating injustices in the colonial system which were contrary to the United Nations Charter.''

Jiwe...
hata wewe ungetafiti historia ya uhuru wa Tanganyika na ukapewe Nyaraza za Sykes kusoma linakuja swali la Tanganyika nchi chini ya Udhamini, ungeacha kuandika haya niliyoandika?

Au hutaki yaandikwe kwa kuwa aliyefanya haya ni Abdul Sykes?
Waliomkwepa Abdul Sykes na kuanza historia ya TANU na Julius Nyerere ndiye waliokuponza wewe leo unasoma historia ya uhuru wa Tanganyika upya.

Huyo hapo chini ni mimi na baba yake Dully marehemu Ebbie.
1674852436229.jpeg

1674877071268.jpeg

Earle Seaton na Julius Nyerere baada ya uhuru wa Tanganyika​

[1]For a detailed discussion on the subject see Cranford Pratt, The Critical Phase in Tanzania 1945-1968, Cambridge University Press, London, 1976, pp. 29-31.
[2]Ibid p. 30.
[3]The author was for the first time informed of the existence of this document by one of Mwapachu's children, Juma Volter Mwapachu.

He was informed that Mwapachu took great pride in having participated in the drafting of this document.

In her book Listowel mentioned this document and its historical significance to the political history of Tanganyika.

But it was Pratt who analysed the document in detail.

The document was first consulted by Pratt in 1959 in a file of the Committee on ‘Constitutional Development Report/and Despatches to the Secretary of State’ no. 1146-6, Dar es Salaam Secretariat Library.

Although this file is available at the Tanzania National Archives, the document is missing.

The author was informed that a microfilm of the document was available but that too could not be traced.

For more information on loss of historical documents see M. Said, ‘In Praise of Ancestors Revisited’ in Africa Events, London March, 1989, pp. 50-51.
[4] Annual Report of the secretary of TAA, ibid.

(The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika,'' London 1998).
 
Mkuu Proved , asante sana kuni tag, nimetia timu.
Karibuni wadau kwa majawabu yenu juu ya maswali yangu haya yafuatayo.
Mkuu ASIWAJU , maswali yako ni ya msingi sana, Watanzania bado wanahitaji sana kufundishwa somo la uraia, nadhani ni JF pekee ndio inatoa elimu hii, karibu
1. Kwa nini wanasiasa wa TANU na vyama baadhi miaka ya 1950s walishinikiza suala la wao kupewa uhuru kutoka kwa Muingereza?
Hatua ya kwanza ni kuelimisha kuhusu Pre colonial Tanganyika na na Pre colonial Zanzibar. Tanganyika na Zanzibar, ziligawanywa kwa wakoloni wakati wa ule mkutano wa mabeberu wa 1884-5 kwenye the scramble for Africa ulioitishwa na Mtawala wa Ujerumani Von Bismarck, kwenye jiji la Berlin, ambapo Tanganyika ilitwaliwa na Ujerumani na kuwa a German East Africa. Zanzibar haukutawaliwa bali eneo lote na visiwa vyote vya Indian Ocean plus a 10 miles of coastal tripe kutoka Sofala hadi Lamu ilikuwa chini ya Sultan of Zanzibar ila Uingereza itawalinda.

Kenya iligaiwa kwa Waingereza na Uganda iliachwa chini ya Baganda Kingdom chini ya Kabaka.

Hivyo Tanganyika na Kenya zote zilikuwa ni land locked countries kwasababu pwani yote ilikuwa chini Sultan of Zanzibar.

Hivyo ili Tanganyika na Kenya wapate access to sea, Waingereza na Wajerumani wakaingia mkataba wa Hellingoland au The Zanzibar Treaty 1890 ambapo Wajerumani waliwapa Waingereza mji wa Hellingoland na kisiwa cha Witu ambazo zilikuwa chini ya Ujerumani, and in return, Sultan of Zanzibar aliachia ile 10 mile Coastal strip hivyo Tanganyika na Kenya ndipo zikapata access to Indian Ocean, na ni mkataba huu ndio ulioifanya Zanzibar kuwa a protectorate of the British Empire na ndio uliathiri mipaka ya Ziwa Nyasa na Ziwa Tanganyika, badala ya mpaka kupita katikati, Ziwa Nyasa lote liliwekwa chini ya Malawi lakini Tanganyika wanaruhusiwa kuvua tuu samaki na Ziwa Tanganyika lote ni la Tanganyika, Congo wanaruhusiwa kuvua samaki. Hiki ndicho chanzo cha mgogoro wa Ziwa Nyasa ambao bado haujawa resolved hadi leo!. https://www.jamiiforums.com/threads...tukufu-alikuwa-ni-puppet-wa-wakoloni.1181508/

Baada ya Mjerumani kushindwa Vita Kuu ya Kwanza, ya Dunia, WWI (1914-1918), Wajerumani walinyang'anywa makoloni yake yote na sisi Tanganyika tukakabidhiwa kwa Muingereza as a Trusted Colony, wakati jirani zetu Kenya wao ndio waliendelea kuwa a British Colony, Uganda ilikuwa ni British Protectorate.

Hivyo Tanganyika ilikuwa chini ya Uingereza na League of Nations ilipoanzishwa ile 1945, Tanganyika ilikabidhiwa kwa Uingereza as a mandated territory kuiandaa kujitawala, hivyo it was right for Tanganyika to seek freedom from the British.
Sababu gani ya msingi ili wafanya wao kushinikiza hitaji lao?
Sababu ni moja tuu ya msingi ni kujitawala na kuwa nchi huru.
2. Kwa nini Serikali ya Jamhuri ya Tanganyika chini ya Mwalimu Nyerere ili amua kuchukua maamuzi ya kuunganisha nchi huru ya Tanganyika na kisiwa huru cha Zanzibar chini ya serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar chini ya Karume 1964?
Zanzibar licha ya kupata uhuru wake December 10, 1963, ilikuwa ni monarch chini Sultan of Zanzibar kama ilivyo Uingereza. Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya January 12, 1964 yaliyomtimua Sultan of Zanzibar, yalipelekea Uingereza kutuma manowari ya kivita na majeshi ya Uingereza kuja kuikomboa Zanzibar chini ya waasi na kumrejesha Sultan of Zanzibar madarakani.

Karume akaja Tanganyika kuomba ulinzi wa Tanganyika kuyalinda Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar. Nyerere akapima tukipeleka majeshi Zanzibar kuilinda Zanzibar, Waingereza wakileta majeshi kuikomboa Zanzibar jee tutaweza?. Taarifa za majeshi kuandaliwa kwenda kuilinda Zanzibar tayari kwa Mapambano kupigana na jeshi la Uingereza ziliwashitua sana Wanajeshi hivyo siku 6 baada ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, tarehe 18 January 1964 wanajeshi wa kambi ya Calitto (Lugalo) wakaasi na kufanya Mapinduzi kumpindua Nyerere, kesho yake 19 January 1964 jeshi la Kenya nao wakaasi kumpindua Kenyatta, tarehe 20 January 1964 jeshi la Uganda nalo likaasi kumpindua Militon Obote. Ni Oscar Kambona aliyemtorosha Nyerere kwa mtumbwi kumficha Kigamboni akawatuliza waasi na kumrejesha Nyerere.

Wakati yote haya yakiendelea ndipo Nyerere akamshauri Karume, ili kuilinda Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar dhidi ya ukombozi wa Waingereza, kwanini tusiungane na kuwa nchi moja, hivyo Uingereza hautaweza tena kuivamia Zanzibar. Karume alikubali pale pale!, "we rais, mimi makamu". Hivyo sababu kuu ya muungano wetu kwa uharaka ule ni tuliungana fasta for security reasons kuyalinda Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar!.

Realty ya visiwa vya Zanzibar, ni sehemu ya Tanganyika ikamegeka miaka milioni nyingi kabla, Waarabu wa Zanzibar na Sultan wao ni wavamizi tuu, wenyeji halisi wa Zanzibar ni Wahadimu chini ya utawala wa Mwinyimkuu ambao asili yao ni huku bara, ila wahamia wengi wakaingia wakiwemo Wangazija, Wahindi na Waarabu na ndipo mwaka 1732 Sultan Seyyid Said akaivamia Zanzibar na kuhamishia the sultanate yake kutoka Oman na kuja Zanzibar na kujitwalia tuu kama ameiokota, as if ilikuwa haina wenyewe!, kumbe no!, wenyewe walikuwepo wamejinyamazia tuu kimya!, hadi ile January 12, 1964 walipoamua liwalo na liwe, wakaikomboa Zanzibar yao.
3. Ni sababu zipi zili lazimisha muungano kuwepo?.
Nimeisha kutajia ni ulinzi. Muungano ni kama ndoa, kuna mmoja alikwenda kujibebisha kwa mwingine ili apate ulinzi, wakaoana na kuwa kitu kimoja.
4. Baada ya muungano mipaka na serikali ya Jamhuri ya Tanganyika ni ipi ?
Baada ya muungano mipaka yote ilibadilika, muungano wetu ni wa union, nchi mbili kuungana kuunda nchi moja ya JMT. Mipaka ya JMT ni eneo lote la iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar. Hakuna tena mpaka wa Jamhuri ya Tanganyika kwasababu Jamhuri ya Tanganyika ilikufa na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar pia ikafa, mipaka ni ya JMT.
Na mipaka na serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni ipi?
Ni eneo lote la iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar
5. Katiba ya Jamhuri ya Tanganyika ni ipi?
Baada ya muungano Jamhuri ya Tanganyika ilikufa, hivyo hakuna tena katiba ya Jamhuri ya Tanganyika. Ila baada ya muungano, tulikuwa na katiba ya mpito toka ile 1965 hadi 1977 tulipopata katiba ya JMT ya 1977 ndio katiba ya nchi.
Na Katiba ya serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni ipi?
Katiba ya Zanzibar ni katiba ya mwaka 1984.
6. Ni kwa namna gani serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ina nufahika na aina hii ya muungano?
SMZ inapata mgao wa asilimia 4.5% ya mapato yote ya mikopo na fedha za grants JMT inazopata kutoka nje.
7. Pia ni kwa namna gani serikali ya Jamhuri ya Tanganyika ina nufahika na aina hii ya Muungano?
Hakuna serikali ya Jamhuri ya Tanganyika, kuna serikali ya JMT na SMZ, serikali ya JMT hahitaji chochote kutoka SMZ kwasababu SMZ iko chini ya JMT.
8. Hatua za kuchukua katika kuvunja huu muungano ni zipi?
Muungano wetu ni muungano wa kikemikali kuunda a compound mpya ya JMT ambayo haiwezi kuvunjwa milele!. Hakuna taratibu zozote za kuuvunja muungano wetu adhimu. Muungano tutaulinda kwa gharama yoyote!.
Ila kwa vile Zanzibar haikuridhia muungano https://www.jamiiforums.com/threads...r-haikuridhia-muungano-ina-maana-gani.276286/ lakini imetekeleza muungano, kama binti akibakwa, na asilalamike, baada ya kujikuta amebeba ujauzito wa yule mbakaja akaamua kwenda kuishi naye, atahesabika ameridhia!. Hivyo japo Zanzibar haikuridhia muungano kwa ratification lakini imetekeleza muungano kwa matendo, huko kunahesabika ni kuridhia!.

Hivyo kama ni kweli Wazanzibar hawautaki muungano nimewashauri kitu cha kufanya https://www.jamiiforums.com/threads...ama-pigeni-kura-ya-maoni-muamue-moja.1071288/
Karibuni kwa majawabu ya maswali na pia maswali ya nyongeza kwa manufaa ya wote.
Asante tumekaribia, we Asiwaji, una kipaji cha uandishi wa habari, wa habari za uchunguzi, una kipaji cha kuhoji, una kipaji cha uchunguzi, upepelezi, uhojaji na ufuatiliaji. Waalimu wako wa darasa walipaswa wakuripoti kwa Mwalimu Mkuu ili uwe spotted tangu shuleni, ili uwe groomed na kuingizwa kwa wale 'jamaa zetu' wa kule ulifaa sana!.
P
 
Mkuu Proved , asante sana kuni tag, nimetia timu.

Mkuu ASIWAJU , maswali yako ni ya msingi sana, Watanzania bado wanahitaji sana kufundishwa somo la uraia, nadhani ni JF pekee ndio inatoa elimu hii, karibu

Hatua ya kwanza ni kuelimisha kuhusu Pre colonial Tanganyika na na Pre colonial Zanzibar. Tanganyika na Zanzibar, ziligawanywa kwa wakoloni wakati wa ule mkutano wa mabeberu wa 1884-5 kwenye the scramble for Africa ulioitishwa na Mtawala wa Ujerumani Von Bismarck, kwenye jiji la Berlin, ambapo Tanganyika ilitwaliwa na Ujerumani na kuwa a German East Africa. Zanzibar haukutawaliwa bali eneo lote na visiwa vyote vya Indian Ocean plus a 10 miles of coastal tripe kutoka Sofala hadi Lamu ilikuwa chini ya Sultan of Zanzibar ila Uingereza itawalinda.

Kenya iligaiwa kwa Waingereza na Uganda iliachwa chini ya Baganda Kingdom chini ya Kabaka.

Hivyo Tanganyika na Kenya zote zilikuwa ni land locked countries kwasababu pwani yote ilikuwa chini Sultan of Zanzibar.

Hivyo ili Tanganyika na Kenya wapate access to sea, Waingereza na Wajerumani wakaingia mkataba wa Hellingoland au The Zanzibar Treaty 1890 ambapo Wajerumani waliwapa Waingereza mji wa Hellingoland na kisiwa cha Witu ambazo zilikuwa chini ya Ujerumani, and in return, Sultan of Zanzibar aliachia ile 10 mile Coastal strip hivyo Tanganyika na Kenya ndipo zikapata access to Indian Ocean, na ni mkataba huu ndio ulioifanya Zanzibar kuwa a protectorate of the British Empire na ndio uliathiri mipaka ya Ziwa Nyasa na Ziwa Tanganyika, badala ya mpaka kupita katikati, Ziwa Nyasa lote liliwekwa chini ya Malawi lakini Tanganyika wanaruhusiwa kuvua tuu samaki na Ziwa Tanganyika lote ni la Tanganyika, Congo wanaruhusiwa kuvua samaki. Hiki ndicho chanzo cha mgogoro wa Ziwa Nyasa ambao bado haujawa resolved hadi leo!. https://www.jamiiforums.com/threads...tukufu-alikuwa-ni-puppet-wa-wakoloni.1181508/

Baada ya Mjerumani kushindwa Vita Kuu ya Kwanza, ya Dunia, WWI (1914-1918), Wajerumani walinyang'anywa makoloni yake yote na sisi Tanganyika tukakabidhiwa kwa Muingereza as a Trusted Colony, wakati jirani zetu Kenya wao ndio waliendelea kuwa a British Colony, Uganda ilikuwa ni British Protectorate.

Hivyo Tanganyika ilikuwa chini ya Uingereza na League of Nations ilipoanzishwa ile 1945, Tanganyika ilikabidhiwa kwa Uingereza as a mandated territory kuiandaa kujitawala, hivyo it was right for Tanganyika to seek freedom from the British.

Sababu ni moja tuu ya msingi ni kujitawala na kuwa nchi huru.

Zanzibar licha ya kupata uhuru wake December 10, 1963, ilikuwa ni monarch chini Sultan of Zanzibar kama ilivyo Uingereza. Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya January 12, 1964 yaliyomtimua Sultan of Zanzibar, yalipelekea Uingereza kutuma manowari ya kivita na majeshi ya Uingereza kuja kuikomboa Zanzibar chini ya waasi na kumrejesha Sultan of Zanzibar madarakani.

Karume akaja Tanganyika kuomba ulinzi wa Tanganyika kuyalinda Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar. Nyerere akapima tukipeleka majeshi Zanzibar kuilinda Zanzibar, Waingereza wakileta majeshi kuikomboa Zanzibar jee tutaweza?. Taarifa za majeshi kuandaliwa kwenda kuilinda Zanzibar tayari kwa Mapambano kupigana na jeshi la Uingereza ziliwashitua sana Wanajeshi hivyo siku 6 baada ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, tarehe 18 January 1964 wanajeshi wa kambi ya Calitto (Lugalo) wakaasi na kufanya Mapinduzi kumpindua Nyerere, kesho yake 19 January 1964 jeshi la Kenya nao wakaasi kumpindua Kenyatta, tarehe 20 January 1964 jeshi la Uganda nalo likaasi kumpindua Militon Obote. Ni Oscar Kambona aliyemtorosha Nyerere kwa mtumbwi kumficha Kigamboni akawatuliza waasi na kumrejesha Nyerere.

Wakati yote haya yakiendelea ndipo Nyerere akamshauri Karume, ili kuilinda Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar dhidi ya ukombozi wa Waingereza, kwanini tusiungane na kuwa nchi moja, hivyo Uingereza hautaweza tena kuivamia Zanzibar. Karume alikubali pale pale!, "we rais, mimi makamu". Hivyo sababu kuu ya muungano wetu kwa uharaka ule ni tuliungana fasta for security reasons kuyalinda Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar!.

Realty ya visiwa vya Zanzibar, ni sehemu ya Tanganyika ikamegeka miaka milioni nyingi kabla, Waarabu wa Zanzibar na Sultan wao ni wavamizi tuu, wenyeji halisi wa Zanzibar ni Wahadimu chini ya utawala wa Mwinyimkuu ambao asili yao ni huku bara, ila wahamia wengi wakaingia wakiwemo Wangazija, Wahindi na Waarabu na ndipo mwaka 1732 Sultan Seyyid Said akaivamia Zanzibar na kuhamishia the sultanate yake kutoka Oman na kuja Zanzibar na kujitwalia tuu kama ameiokota, as if ilikuwa haina wenyewe!, kumbe no!, wenyewe walikuwepo wamejinyamazia tuu kimya!, hadi ile January 12, 1964 walipoamua liwalo na liwe, wakaikomboa Zanzibar yao.

Nimeisha kutajia ni ulinzi. Muungano ni kama ndoa, kuna mmoja alikwenda kujibebisha kwa mwingine ili apate ulinzi, wakaoana na kuwa kitu kimoja.

Baada ya muungano mipaka yote ilibadilika, muungano wetu ni wa union, nchi mbili kuungana kuunda nchi moja ya JMT. Mipaka ya JMT ni eneo lote la iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar. Hakuna tena mpaka wa Jamhuri ya Tanganyika kwasababu Jamhuri ya Tanganyika ilikufa na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar pia ikafa, mipaka ni ya JMT.

Ni eneo lote la iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar

Baada ya muungano Jamhuri ya Tanganyika ilikufa, hivyo hakuna tena katiba ya Jamhuri ya Tanganyika. Ila baada ya muungano, tulikuwa na katiba ya mpito toka ile 1965 hadi 1977 tulipopata katiba ya JMT ya 1977 ndio katiba ya nchi.

Katiba ya Zanzibar ni katiba ya mwaka 1984.

SMZ inapata mgao wa asilimia 4.5% ya mapato yote ya mikopo na fedha za grants JMT inazopata kutoka nje.

Hakuna serikali ya Jamhuri ya Tanganyika, kuna serikali ya JMT na SMZ, serikali ya JMT hahitaji chochote kutoka SMZ kwasababu SMZ iko chini ya JMT.

Muungano wetu ni muungano wa kikemikali kuunda a compound mpya ya JMT ambayo haiwezi kuvunjwa milele!. Hakuna taratibu zozote za kuuvunja muungano wetu adhimu. Muungano tutaulinda kwa gharama yoyote!.
Ila kwa vile Zanzibar haikuridhia muungano https://www.jamiiforums.com/threads...r-haikuridhia-muungano-ina-maana-gani.276286/ lakini imetekeleza muungano, kama binti akibakwa, na asilalamike, baada ya kujikuta amebeba ujauzito wa yule mbakaja akaamua kwenda kuishi naye, atahesabika ameridhia!. Hivyo japo Zanzibar haikuridhia muungano kwa ratification lakini imetekeleza muungano kwa matendo, huko kunahesabika ni kuridhia!.

Hivyo kama ni kweli Wazanzibar hawautaki muungano nimewashauri kitu cha kufanya https://www.jamiiforums.com/threads...ama-pigeni-kura-ya-maoni-muamue-moja.1071288/

Asante tumekaribia, we Asiwaji, una kipaji cha uandishi wa habari, wa habari za uchunguzi, una kipaji cha kuhoji, una kipaji cha uchunguzi, upepelezi, uhojaji na ufuatiliaji. Waalimu wako wa darasa walipaswa wakuripoti kwa Mwalimu Mkuu ili uwe spotted tangu shuleni, ili uwe groomed na kuingizwa kwa wale 'jamaa zetu' wa kule ulifaa sana!.
P
Asante mkuu kwa maelezo haya, nitarudi kwa maswali zaidi.
 
Back
Top Bottom