tshabalala_the_greto
JF-Expert Member
- Mar 5, 2014
- 452
- 227
Nafasi za uhamiaji
Najua ni nafasi za uhamiaji lakini hiyo shortlist imeanza wapi mkuu?
Nafasi za uhamiaji
Najua ni nafasi za uhamiaji lakini hiyo shortlist imeanza wapi mkuu?
Suali langu lina husu passport, kwa mtu anaye hitaji passport imekua ni deal kubwa hapo uhamaji hasa kwa wenye sili ya kisomali
Mwenyeasili ya kisomali akipeleka maombi ya passport basi cha kwanza unatishiwa hapo, unaambiwa hii kesi ni ngumu saana, cha pili wana anza kuku hangaisha huku na kule, na hapo una kila kitu, vyeti yote vya kuzaliwa na vya shule, n.k. ndio hapo sasa inapokuja masuala ya hongo na sasa kila siku wanazidi kubandisha hiyo hongo.
Je hao viongozi wanalishughulikia vipi kuhusu suala kamahilo.
Tuna fahamu kwamba uhamiaji wameweka vikwazo ili wasiokua raiawasi weze kupewa passport, lakini imekua ni mwanzo wa kutengeneza hela, rushwaili upewe passport
Mimi Nina passport ya East Africa je naweza safiria kwenda msumbiji ?
Bado kimya kaka/dada.
jf member tumieni ID za kweli mnatuhangaisha kuwatambua hata jinsia,,,,
hamna jipya wote nyie
Huu uzi umevamiwa na wahamiaji haramu.
Sisi tunazungumzia ajira wao wanatia huruma kuhusu passports.
Nendeni kupeleka hoja zenu jukwaa husika.