jsenyinah
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 249
- 339
Kweli Mungu alimlaani nyoka na anaaniwe tu mpaka mwisho. Atembelee tumbo arambe vumbi na mikwaruzo yote hapa duniani.
1. Kwann nyoka humgonga mtu na kumsababishia maumivu na hatimae kifo? Kama angekuwa mla nyama sawa,anaonaje raha kuzamisha meno yake 4 na ambayo humletea uchungu yeye?
2. Kwann asitumie akili ya kumkimbia tu binadu badala ya kujiumiza?
3. Nyoka hula nn, kunywa nini?
4. Nyoka huishi miaka mingapi hadi kufa?
5. Nyoka ana masikio?
6. Nyoka ana faida gani hapa duniani?
7. Nini dawa ya nyoka?
1. Kwann nyoka humgonga mtu na kumsababishia maumivu na hatimae kifo? Kama angekuwa mla nyama sawa,anaonaje raha kuzamisha meno yake 4 na ambayo humletea uchungu yeye?
2. Kwann asitumie akili ya kumkimbia tu binadu badala ya kujiumiza?
3. Nyoka hula nn, kunywa nini?
4. Nyoka huishi miaka mingapi hadi kufa?
5. Nyoka ana masikio?
6. Nyoka ana faida gani hapa duniani?
7. Nini dawa ya nyoka?