Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
Familia ya kifalme hutawala kwa umoja, yaani baba, mama, watoto nk. Mfalme huwa ni mwakilishi tu wa mawazo ya familia katika jamii. Hivyo ndilivyo ilivyokuwa CCM kabla ya kujivua gamba (king yusufu) na ndivyo ilivyo baada ya kujivika gamba jipya (prince januari)