Free ideas
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 3,456
- 1,937
Katika maisha ya mwanadam kuna baadhi ya mambo ambayo majibu yake huwa hayako wazi na hata ufananuz wake huwa sio rahisi.
Baadhi ya maswali hayo ni haya:
1.Uhakika/Uthibitisho wa uwepo wa nguvu/mungu/muumbaji.
2.Uhai na kifo
3.maisha baada ya kifo(life after death)
4.Adhabu ya motoni
Baadhi ya maswali hayo ni haya:
1.Uhakika/Uthibitisho wa uwepo wa nguvu/mungu/muumbaji.
2.Uhai na kifo
3.maisha baada ya kifo(life after death)
4.Adhabu ya motoni