MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,299
Wadau nawasabahi.
Nimeona nije na baadhi ya MASWALI MAGUMU yaliyokosa Majibu kupata kutokea hapa Tanzania licha ya Vyombo husika kuwepo. Miongoni ya Maswali hayo ni haya
1.Nani ALIMTEKA Mfanyabiashara MO DEWJI?
2 .Nani Alimpiga RISASI Mwanasiasa TUNDU LISSU?
3.Nani Alimpiga RISASI Mwanachuo AKWILINA?
4 .Wapo Wapi BEN SAANANE AZORY GWANDA na wengine?
Maswali haya kwa Watanzania tumekuwa Tunajiuliza pamoja na NDUGU JAMAA MARAFIKI wa Wahanga bila MAFANIKIO Licha ya Uwepo wa VYOMBO vya Kutupa MAJIBU.
Na iwapo Vyombo hivyo Vimeshindwa kwanini VISIOMBE Usaidizi wa KIMATAIFA ili Watanzania tupate MAJIBU?
Nimeona nije na baadhi ya MASWALI MAGUMU yaliyokosa Majibu kupata kutokea hapa Tanzania licha ya Vyombo husika kuwepo. Miongoni ya Maswali hayo ni haya
1.Nani ALIMTEKA Mfanyabiashara MO DEWJI?
2 .Nani Alimpiga RISASI Mwanasiasa TUNDU LISSU?
3.Nani Alimpiga RISASI Mwanachuo AKWILINA?
4 .Wapo Wapi BEN SAANANE AZORY GWANDA na wengine?
Maswali haya kwa Watanzania tumekuwa Tunajiuliza pamoja na NDUGU JAMAA MARAFIKI wa Wahanga bila MAFANIKIO Licha ya Uwepo wa VYOMBO vya Kutupa MAJIBU.
Na iwapo Vyombo hivyo Vimeshindwa kwanini VISIOMBE Usaidizi wa KIMATAIFA ili Watanzania tupate MAJIBU?