Maswali magumu kifo cha askari

Maswali magumu kifo cha askari

Pia mkumbuke kwamba kuna mbinu za kuwachomoa viongozi Wa juu Wa jeshi hill ambao sio sehemu ya 'Program'.
Kipindi hiki kama una nafasi ya juu unapaswa ujiulize sana maswali kwamba in mkono Wa Nani hadi kufika hapo ulipo.
Unaushaidi na maneno yako?
 
Intelijensia hiyo… a.k.a maagizo kutoka mamlaka za juu…
Mara tumewaua , mara wameshambulia.. Kuna siri nzito kwenye hilo tukio
 
Watu wakiamua kuzishughulisha Akili zao kwa kufikiri Na kutafakari mambo kwa kina kuna mambo mengi sio lazima uambiwe huwa yapo wazi sana kwa watu wanaofikiri kwa umakini , unfortunately watu hao tupo wachache sana.
 
aiseee maskin nchi yetu tatzo tunazuiwa kuusema ukweli lkn ukiangalia/ kufikir vzr ingawa niaibu lkn pia ....... bas tufanyeje sasa
 
Back
Top Bottom