Maswali magumu kifo cha askari

Maswali magumu kifo cha askari

Jambazi mmoja anapowatoroka Askari 16 plus tunahitimishaje jambo hili?
Kitu ambacho kilinishtua siku ile ni namna ilivyoripotiwa hapa Jukwaani, yaani wakati mapambano yanaendelea tayari ilikua ishajulikana kuwa Kiongozi wa kundi hilo alikua Mwanajeshi Mstaafu Tena Mlenga shabaha mzuri na mzoefu!!
Nikajiuliza swali, saa tatu hii asubuhi wamejuaje yote haya? Nikaamua kujikalia kimya! Ila hii story yao haikua na uhalisia. Huku ni kuchonganisha JWTZ na POLISI
 
Situation zinarelate coz matukio yote yanalengo lakumtoa mtu sadaka kwalengo lakujisafisha, ikemefuna aliuawa ili kuondoa nuksi kweny jamii yao ila lahuyu mjeda bado cjajua
Wivu husuda visasi?
 
Pia mkumbuke kwamba kuna mbinu za kuwachomoa viongozi Wa juu Wa jeshi hill ambao sio sehemu ya 'Program'.
Kipindi hiki kama una nafasi ya juu unapaswa ujiulize sana maswali kwamba in mkono Wa Nani hadi kufika hapo ulipo.
Wait a minute....! Kumbe watu walikuwa hawatanii...!
 
View attachment 390356 embu tupeane elimu kidogo, kule juu walikua wanadungua nini? Au majambazi yalikua kwenye dari
Hata kama hao wanaodaiwa majambazi walikuwa kwenye dari risasi hizo zisingewapata maana kiujenzi zipigwa chini ya dari. Hizi ni dalili wazi za kukosa umakini kazini!!! Hao ndio walinzi wa mali na uhai wa Watanzania!!! Ni afadhali nijilinde mwenyewe kwa panga langu.
 
Pia mkumbuke kwamba kuna mbinu za kuwachomoa viongozi Wa juu Wa jeshi hill ambao sio sehemu ya 'Program'.
Kipindi hiki kama una nafasi ya juu unapaswa ujiulize sana maswali kwamba in mkono Wa Nani hadi kufika hapo ulipo.
Point
 
Kila mtu ..na mawazo yakee..yampendezayo ktk nyakati hizi....
 
Back
Top Bottom