Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,028
- 12,350
Nina maswali yangu kwa hawa ndugu zangu wakristo walio humu hata kama wewe sio mkristo ukiweza kujibu jibu.
Maswali yangu ni haya.
1. Wakati Musa anazaliwa misri na kuokotwa na dada yake na farao. Yule farao aliyekuwa anatawala Misri alikuwa ni Mwarabu, Myahudi au Mweusi?
a) Kama ni mweusi. swali iliwezekana vipi Musa afichwe kwenye familia ya watu weusi na familia nzima ya kifalme wasijue kuwa yule sio mwenzao kimuonekano?
b) Kama ni Mwarabu iliwezekana vipi Musa afichwe kwenye familia ya kifalme ya waarabu pasipo kujulikana sio mwenzao kimuonekano?
2. Wakati Yesu anaenda kufichwa Misri wakaazi wa Misri wa wakati huo walikuwa watu gani ? Waarabu, Watu weusi au Wayahudi?
a) Kama walikuwa watu weusi swali iliwezekana vipi myahudi kufichwa katika jamii ya watu weusi bila kugundulika na vikosi vya Herode?
b) Kama ni Waarabu iliwezekana vipi myahudi kufichwa katika jamii ya waarabu pasipo kugundulika?
Maswali yangu ni haya.
1. Wakati Musa anazaliwa misri na kuokotwa na dada yake na farao. Yule farao aliyekuwa anatawala Misri alikuwa ni Mwarabu, Myahudi au Mweusi?
a) Kama ni mweusi. swali iliwezekana vipi Musa afichwe kwenye familia ya watu weusi na familia nzima ya kifalme wasijue kuwa yule sio mwenzao kimuonekano?
b) Kama ni Mwarabu iliwezekana vipi Musa afichwe kwenye familia ya kifalme ya waarabu pasipo kujulikana sio mwenzao kimuonekano?
2. Wakati Yesu anaenda kufichwa Misri wakaazi wa Misri wa wakati huo walikuwa watu gani ? Waarabu, Watu weusi au Wayahudi?
a) Kama walikuwa watu weusi swali iliwezekana vipi myahudi kufichwa katika jamii ya watu weusi bila kugundulika na vikosi vya Herode?
b) Kama ni Waarabu iliwezekana vipi myahudi kufichwa katika jamii ya waarabu pasipo kugundulika?