josephmeela
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 244
- 20
Dah nimeipenda sana hii
Hivi inakuingia akilini mtu aliyekuwa serikalini miaka 35.
Aliyekuwa mbunge miaka 25.
Aliyekuwa Waziri miaka 19.
Aliyekuwa Waziri mkuu miaka 2.
Eti hajui kero zetu! eti anatembea kwa wananchi kuulizia kero zao!
kama hujui kero zetu unagombea Urais ukafanye nini?
Ni bora tumpe ambae ameshatatua baadhi ya kero zetu aende kumaliza kuzitatua maana alizitatua katika majukumu aliyokuwa amepewa na aliyatatua kikamilifu bila makandokando yoyote.
#Hapa_Kazi_Tu
#Kura_Yangu_Nampa_Magufuli_Wewe pia fanya uamuzi sahihi mpe kura yako.
Hivi inakuingia akilini mtu aliyekuwa serikalini miaka 35.
Aliyekuwa mbunge miaka 25.
Aliyekuwa Waziri miaka 19.
Aliyekuwa Waziri mkuu miaka 2.
Eti hajui kero zetu! eti anatembea kwa wananchi kuulizia kero zao!
kama hujui kero zetu unagombea Urais ukafanye nini?
Ni bora tumpe ambae ameshatatua baadhi ya kero zetu aende kumaliza kuzitatua maana alizitatua katika majukumu aliyokuwa amepewa na aliyatatua kikamilifu bila makandokando yoyote.
#Hapa_Kazi_Tu
#Kura_Yangu_Nampa_Magufuli_Wewe pia fanya uamuzi sahihi mpe kura yako.
Hivi inakuingia akilini mtu aliyekuwa serikalini miaka 35.
Aliyekuwa mbunge miaka 25.
Aliyekuwa Waziri miaka 19.
Aliyekuwa Waziri mkuu miaka 2.
Eti hajui kero zetu! eti anatembea kwa wananchi kuulizia kero zao!
kama hujui kero zetu unagombea Urais ukafanye nini?
Ni bora tumpe ambae ameshatatua baadhi ya kero zetu aende kumaliza kuzitatua maana alizitatua katika majukumu aliyokuwa amepewa na aliyatatua kikamilifu bila makandokando yoyote.
#Hapa_Kazi_Tu
#Kura_Yangu_Nampa_Magufuli_Wewe pia fanya uamuzi sahihi mpe kura yako.
Hivi inakuingia akilini mtu aliyekuwa serikalini miaka 35.
Aliyekuwa mbunge miaka 25.
Aliyekuwa Waziri miaka 19.
Aliyekuwa Waziri mkuu miaka 2.
Eti hajui kero zetu! eti anatembea kwa wananchi kuulizia kero zao!
kama hujui kero zetu unagombea Urais ukafanye nini?
Ni bora tumpe ambae ameshatatua baadhi ya kero zetu aende kumaliza kuzitatua maana alizitatua katika majukumu aliyokuwa amepewa na aliyatatua kikamilifu bila makandokando yoyote.
#Hapa_Kazi_Tu
#Kura_Yangu_Nampa_Magufuli_Wewe pia fanya uamuzi sahihi mpe kura yako.
Mkubwa, hitilafu inarekebishika, kuipa kura CCM ni sawa na kuwa LODI LOFAKiukweli miaka 54 ya utawala giza linatawala nchi !
Pamoja na kua tupo ktk election seasonal !
Tv tunazo but still hatuoni kinachojiri nchini !
Kuipa ccm kura ni kwenye vichwa vyenye hitilafu .
Hivi inakuingia akilini mtu aliyekuwa serikalini miaka 35.
Aliyekuwa mbunge miaka 25.
Aliyekuwa Waziri miaka 19.
Aliyekuwa Waziri mkuu miaka 2.
Eti hajui kero zetu! eti anatembea kwa wananchi kuulizia kero zao!
kama hujui kero zetu unagombea Urais ukafanye nini?
Ni bora tumpe ambae ameshatatua baadhi ya kero zetu aende kumaliza kuzitatua maana alizitatua katika majukumu aliyokuwa amepewa na aliyatatua kikamilifu bila makandokando yoyote.
#Hapa_Kazi_Tu
#Kura_Yangu_Nampa_Magufuli_Wewe pia fanya uamuzi sahihi mpe kura yako.
Hivi inakuingia akilini mtu aliyekuwa serikalini miaka 35.
Aliyekuwa mbunge miaka 25.
Aliyekuwa Waziri miaka 19.
Aliyekuwa Waziri mkuu miaka 2.
Eti hajui kero zetu! eti anatembea kwa wananchi kuulizia kero zao!
kama hujui kero zetu unagombea Urais ukafanye nini?
Ni bora tumpe ambae ameshatatua baadhi ya kero zetu aende kumaliza kuzitatua maana alizitatua katika majukumu aliyokuwa amepewa na aliyatatua kikamilifu bila makandokando yoyote.
#Hapa_Kazi_Tu
#Kura_Yangu_Nampa_Magufuli_Wewe pia fanya uamuzi sahihi mpe kura yako.
Itabid tutumie msemo mmoja wa wamarekani "No matter whether he will bring development or not we will choose Obama to show the world that America is for everyone"
Sisi tunasema "No matter whether he will bring development or not we will choose Lowasa from UKAWA to show the World that Tanzania is not for CCM only"...,,,
Finally mi pia lofa
Hivi inakuingia akilini mtu aliyekuwa serikalini miaka 35.
Aliyekuwa mbunge miaka 25.
Aliyekuwa Waziri miaka 19.
Aliyekuwa Waziri mkuu miaka 2.
Eti hajui kero zetu! eti anatembea kwa wananchi kuulizia kero zao!
kama hujui kero zetu unagombea Urais ukafanye nini?
Ni bora tumpe ambae ameshatatua baadhi ya kero zetu aende kumaliza kuzitatua maana alizitatua katika majukumu aliyokuwa amepewa na aliyatatua kikamilifu bila makandokando yoyote.
#Hapa_Kazi_Tu
#Kura_Yangu_Nampa_Magufuli_Wewe pia fanya uamuzi sahihi mpe kura yako.
i?
Kwani Magufuli nae si amekaa serikalini miaka 25 si na yeye anatakiwa awe anazijua akae tu nyumbani asifanye kampen