Hivi inakuingia akilini mtu aliyekuwa serikalini miaka 35.
Aliyekuwa mbunge miaka 25.
Aliyekuwa Waziri miaka 19.
Aliyekuwa Waziri mkuu miaka 2.
Eti hajui kero zetu! eti anatembea kwa wananchi kuulizia kero zao!
kama hujui kero zetu unagombea Urais ukafanye nini?
Ni bora tumpe ambae ameshatatua baadhi ya kero zetu aende kumaliza kuzitatua maana alizitatua katika majukumu aliyokuwa amepewa na aliyatatua kikamilifu bila makandokando yoyote.
#Hapa_Kazi_Tu
#Kura_Yangu_Nampa_Magufuli_Wewe pia fanya uamuzi sahihi mpe kura yako.
Aliyekuwa mbunge miaka 25.
Aliyekuwa Waziri miaka 19.
Aliyekuwa Waziri mkuu miaka 2.
Eti hajui kero zetu! eti anatembea kwa wananchi kuulizia kero zao!
kama hujui kero zetu unagombea Urais ukafanye nini?
Ni bora tumpe ambae ameshatatua baadhi ya kero zetu aende kumaliza kuzitatua maana alizitatua katika majukumu aliyokuwa amepewa na aliyatatua kikamilifu bila makandokando yoyote.
#Hapa_Kazi_Tu
#Kura_Yangu_Nampa_Magufuli_Wewe pia fanya uamuzi sahihi mpe kura yako.