HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,367
- 94,550
Je, wanaogawa Pedi za Kike lengo lao huwa ni lipi?
Je, huwarudia waliowapa na kuwapa tena?
Je, ni kweli wazazi wanashindwa nunua pedi za 1500-3000 mara moja kwa mwezi?
Je, serikali ina mpango gani katika kuhusishwa kwenye huo ugawaji?
Je, wahusika sio kwamba wanataka watumia wasichana kupata pesa kutoka kwa wafadhiri?
Kwanini wawarekodi wanaopewa msaada?
Kwanini wanalia kuwa Kodi iondolewe wakati wao wanakuja ziuza kwa bei zile zile?
Je, tujiandaeje kama taifa ili tuweze ondoa hilo tatizo?
Je, huwarudia waliowapa na kuwapa tena?
Je, ni kweli wazazi wanashindwa nunua pedi za 1500-3000 mara moja kwa mwezi?
Je, serikali ina mpango gani katika kuhusishwa kwenye huo ugawaji?
Je, wahusika sio kwamba wanataka watumia wasichana kupata pesa kutoka kwa wafadhiri?
Kwanini wawarekodi wanaopewa msaada?
Kwanini wanalia kuwa Kodi iondolewe wakati wao wanakuja ziuza kwa bei zile zile?
Je, tujiandaeje kama taifa ili tuweze ondoa hilo tatizo?