Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima, Ushauri na Masoko yake

Kivumah! Haya maharage yanapatikana ktk mbegu ya aina zaidi ya tatu na inastahili ukame na hata mvua nyingi! Na hayana gharama ktk kusema unatumia dawa kwani si rahisi kushambuliwa na wadudu waharibifu kwa mazao!
Na ktk ekari moja waweza hata ukapata zaidi ya gunia kumi na mbili.

Kwa kweli ni zao moja ambalo ni zuri sana ktk hali ya biashara kwani hapa A town ina wateja sana!
Ila sasa Mi hizo chache nilizouza kwa bei hiyo ni kwmb wamenikuta nilikuwa ktk wakati mgumu sana shambani na nikaamua kuuza kusudi nijikombowe kwa muda ule!
Ila kuna kipindi hata gunia moja yenye debe 6 huuzwa mpaka laki mbili bila ya kukosea.

Kwa ujumla ni zao safi sana kwa biashara jamani na mbegu zake utazipata ktk maduka ya TFA hapa Ar

Ibadi nikifika Arusha January niyatafute hapo TFA kwa mbegu.
 
kwa ujumla haya maharage yanaota sehemu za ukame na hayahitaji mvua sana kwa hiyo hulimwa mwisho wa msimu yaani wakat mvua zinaishia.mwaka 2004 gunia lilifika sh laki 4 za kitanzania it is a very good and promising business to start
Yanalimwa na wenyeji wa wilaya ya Ngorongoro maeneo ya kwa babu Ambilikile na pia Babati,terrat simanjiro ukija Arusha masokoni utayakuta
 
Kivumah! Haya maharage yanapatikana ktk mbegu ya aina zaidi ya tatu na inastahili ukame na hata mvua nyingi! Na hayana gharama ktk kusema unatumia dawa kwani si rahisi kushambuliwa na wadudu waharibifu kwa mazao!
Na ktk ekari moja waweza hata ukapata zaidi ya gunia kumi na mbili.

Kwa kweli ni zao moja ambalo ni zuri sana ktk hali ya biashara kwani hapa A town ina wateja sana!
Ila sasa Mi hizo chache nilizouza kwa bei hiyo ni kwmb wamenikuta nilikuwa ktk wakati mgumu sana shambani na nikaamua kuuza kusudi nijikombowe kwa muda ule!
Ila kuna kipindi hata gunia moja yenye debe 6 huuzwa mpaka laki mbili bila ya kukosea.

Kwa ujumla ni zao safi sana kwa biashara jamani na mbegu zake utazipata ktk maduka ya TFA hapa Ar
Information nzuri sana hii mkuu

Vipi kwa ardhi za maeneo ya pwani kama Rufiji na Mkuranga hili zao liinaweza kustawi vizuri kweli??

Vipi bei ya sasa ya zao hili sokoni ikoje maana inaonekana ni useful bussiness
 
Duuuu...Kweli kukosa taarifa ni umasikini... Fwiwi kwa lugha ya kwetu ni maharage ambayo hata hatuyaheshimu sana. Tumekua tukiyalima kiasi kidogo tuu kwa ajili ya chakula hasa yakiwa bado mabichi. Bibi yangu anayapenda sana. Ngoja niulize kama bado wanalima huko nyumbani.
Ulizia mkuu, mie nina hekari kama kumi pale Kibakwe Dodoma nataka nikalime msimu huu
 
Kuna aina ya maharage yanaitwa ngwala, waungwana najaribu kutafuta kwenye neti siyapati.
Sifa,
yanastail ukame hasa umasaini
pili yana soko kubwa apo ulaya, marekani na asia,
yeyote mwenye habari ya jina yake ya kiingereza please help!

Aka ya maharage ya mbeya.
 
Wana JF naomba kujua haya machache kuhusu maharage!!
Nina heka mbili nataka kulima maharage,
1. Je maharage aina gani ambayo soko lake lipo vizuri?
2. Kilo ngapi za mbegu zinaweza kutosha kwa heka moja?
3. Yanatakiwa kupanda kwa space gani yaani spacing?
4. Vipi kuhusu natumizi ya mbolea na dawa za kuua wadudu?

Natanguliza shukrani!!
 
mandonod.jpg


Kama kuna mtu mwenye ujuzi zaidi wa kilimo cha haya maharage anigaie ujuzi jamani ndo kwanza niko kwenye maandalizi yashamba nimekodisha kama heka tano na sasa hivi ndo linapigwa matuta nategemea week ijayo nianze kupanda.

Mji nategemea ya kumwagilia nahitaji msaada zaidi wa booster nzuri na dawa nyingine kwa ajili ya kupata mazao bora na kama mnavyojua haya maharage yanatakiwa kuwa kama gololi ndo yanakuw na soko kwa sasa gunia ni shilingi 250k shambani. Please wakulima wenzangu naombeni msaada.
 
Kilimi cha maharage ni rahisi na kinalipa sana kikifanyika kwa bustani gharama nafuu na competion ya soko ni almost zero.

Huhitaji kusafiri, kinachofanyika ni kuwaita wateja waje shamba watuniashane misuli mbele yako bila dalali kisha ww ndo una decide whom to trade with ntarudi hapa na abc za kilimo cha zao hili mkombozi!!
 
Kilimi cha maharage ni rahisi na kinalipa sana kikifanyika kwa bustani. Gharama nafuu na competion ya soko ni almost zero. Huhitaji kusafiri, kinachofanyika ni kuwaita wateja waje shamba watuniashane misuli mbele yako bila dalali kisha ww ndo una decide whom to trade with!
Ntarudi hapa na abc za kilimo cha zao hili mkombozi!!
mkuu nimekup number nikuulize maswali, maana nipo kwene mchakato wa kulima wiki mbili zijazo.
 
Too bad, mtanisamehe wadau nimeandika maelezo juu ya kilimo hiki, bahati mbaya sana sikusave, katika ku submit network imepeperusha maelezo yote!

Mnisamehe aisee ntatenga muda mwingine wa kuandika upya na kupost!

Muwe wavumilivu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom