The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,381
- 1,760
Kivumah! Haya maharage yanapatikana ktk mbegu ya aina zaidi ya tatu na inastahili ukame na hata mvua nyingi! Na hayana gharama ktk kusema unatumia dawa kwani si rahisi kushambuliwa na wadudu waharibifu kwa mazao!
Na ktk ekari moja waweza hata ukapata zaidi ya gunia kumi na mbili.
Kwa kweli ni zao moja ambalo ni zuri sana ktk hali ya biashara kwani hapa A town ina wateja sana!
Ila sasa Mi hizo chache nilizouza kwa bei hiyo ni kwmb wamenikuta nilikuwa ktk wakati mgumu sana shambani na nikaamua kuuza kusudi nijikombowe kwa muda ule!
Ila kuna kipindi hata gunia moja yenye debe 6 huuzwa mpaka laki mbili bila ya kukosea.
Kwa ujumla ni zao safi sana kwa biashara jamani na mbegu zake utazipata ktk maduka ya TFA hapa Ar
Ibadi nikifika Arusha January niyatafute hapo TFA kwa mbegu.