Duh basi unampenda sana shemeji mpaka kukitafuta tena.Kikipotea kaombe nakala pale ulipofungia, then nenda ofisi za vizazi na vifo utapewa nakala halis...
Iko poa hiiKikipotea kaombe nakala pale ulipofungia, then nenda ofisi za vizazi na vifo utapewa nakala halisi,
Waliniibia cheti changu, hawakujua kuwa na mimi ni mtu wa aina ipi.
Nilitengeneza kingine, nilitumia mwanasheria so sihuhangaika
Waliniibia cheti changu, hawakujua kuwa na mimi ni mtu wa aina ipi.
Heee 😳 watu wanaiba cheti cha ndoa duhKikipotea kaombe nakala pale ulipofungia, then nenda ofisi za vizazi na vifo utapewa nakala halisi,
Waliniibia cheti changu, hawakujua kuwa na mimi ni mtu wa aina ipi.
Nilitengeneza kingine, nilitumia mwanasheria so sihuhangaika
Kupenda weka kando zipo haki huwezi pata bila hicho cheti, mfano kwenye mirathi au kuchukua cheti cha kifoDuh basi unampenda sana shemeji mpaka kukitafuta tena.
Vyote vina nguvu sawa kwakuwa vyote vinatolewa na Serikali.Je, kikipotea au kuungua mtu anaweza kupewa kipya na mamlaka husika kanisa/ ofisi ya mkuu wa wilaya?
Cheti kipi kina nguvu kisheria kati ya vya dini/mila au bomani
Wale wanao oa wake wengi vyeti vyote vinahadhi sawa kisheria
USSR
Sawa sawaKupenda weka kando zipo haki huwezi pata bila hicho cheti, mfano kwenye mirathi au kuchukua cheti cha kifo
Hasa kwenye passporr kule km supporting documents.Hahaha hapana kile ni cheti kama vyeti vingine kina umuhimu mkubwa
USSR
Kweli unaipambania ndoaKikipotea kaombe nakala pale ulipofungia, then nenda ofisi za vizazi na vifo utapewa nakala halisi,
Waliniibia cheti changu, hawakujua kuwa na mimi ni mtu wa aina ipi.
Nilitengeneza kingine, nilitumia mwanasheria so sihuhangaika
Na mimi naomba kuongeza swali.... Kama nikitaka kurekebisha majina kwenye cheti utaratibu ni upi?Je, kikipotea au kuungua mtu anaweza kupewa kipya na mamlaka husika kanisa/ ofisi ya mkuu wa wilaya?
Cheti kipi kina nguvu kisheria kati ya vya dini/mila au bomani
Wale wanao oa wake wengi vyeti vyote vinahadhi sawa kisheria
USSR
Hapo watakuwa ndugu wa mume possibly kulikuwa na ugomvi kwa hiyo ndoaHeee 😳 watu wanaiba cheti cha ndoa duh
Walikuwa wanataka kupoteza ushahidi au 😄Hapo watakuwa ndugu wa mume possibly kulikuwa na ugomvi kwa hiyo ndoa
Katasi linazuia talaka? Cheti kinasababisha watu kutoachana? Hapanaaaa....watu hawapeani talaka sababu wanapendana na kuvumiliana sio CHETI CHA NDOAUnaogopa usije kupewa Taraka? Unapambana komba
Kuweni na heshima na utu Wala hamtoachika.Katasi linazuia talaka? Cheti kinasababisha watu kutoachana? Hapanaaaa....watu hawapeani talaka sababu wanapendana na kuvumiliana sio CHETI CHA NDOA
Sijasema nimeibiwa cheti mmNdugu wa mume wakiingilia ugomvi yaan ni umbwa zile.....ila sjakusemea sababu za wewe kuibiwa tafazali nimefikiria tu Mamndenyi