Maswali 21 kwa Zitto Kabwe

Maswali 21 kwa Zitto Kabwe

mikutano mingi ya ACT inaisha ndani ya mda wa mikutano unavyo pangwa sasa cdm huwa hamtaki kutii takwa la kisheria.

zito nimtoto wa mjini anajua siasa za tanzania hataki wanyonge tuvunjwe miguu bila sababu yoyote.

mikutano yake hawezi kuwaponda mbowe na lipumba yeye anataka hata nyinyi cdm mfanye siasa safi sio kutukana tu majukwaani

ccm anaiponda sana nandiomaana anasema nchi hii wanaonufaika ni wachache kwasababu ya mfumo mbovu wa serikali ya ccm.au ulitaka aseme ccm washenzi ndio utafurahi?

Geresha tu hamna lolote
 
Kuna watu wapo kama mikia, kazi yao kufuata nyuma tu. Ni wazito kuelewa hata sijui mwelezwe vipi. Zitto kwa kinywa chake kakiri alianzisha chama akiwa ndani ya chama. Mpaka hapo nyie vuvuzela hamjaona usaliti?

Jamani nisaidieni, Uhaini ni kufanyaje?
 
zitto ni waajabu sana

mjamaa anatembelea gar ya 200ml's
 
Akili ndogo bwana....si mnapima mafanikio yake kwa mahudhurio ya mikutano yake? Namaanisha sio wote wanaohudhuria wana mapenzi na ACT mburula wewe

Ila wapo wanaohudhuria wana mapenzi na ACT?
 
Huu ndio huwa mwanzo wa kudhorotisha upinzani...badala ya kutumia nguvu kubwa kumpiga mtawala aliyetutumbukiza kwenye dhiki na maisha magumu tunaitumia nguvu hiyo kumshambulia mpinzani mwingine.

Hizi siasa za chuki hazina mwisho mwema na ni vizuri kukubali kwa mazuri aliyoyafanya na kuangalia kwa jicho la tatu mabaya because in human being no perfection.

Zitto ni mwanasiasa anayejiamini kwakile anachokitekeleza na naamini atakuwa mwiba kwa watendaji wabovu na wenye chuki za kisiasa.

Naam! Kwa kuwa zitto anapambana na ccm ili kuiondoa madarakani, nashauri ukawa kuutumia huo mwanya kuunganisha nguvu hiyo na kuiangusha ccm October 2015.

Ukawa mtumieni zitto wa ACT Muunganishe nguvu moja kuelekea kwenye ukombozi.
 
Zitto kawashika pabaya Chadema, Habari za Chadema watanzania hawazitaki tena, Macho na masikio ya watanzania ni kwa Zitto na ACT
Alaaaa!!
Nilidhani lengo la Zitto na ACT yake ni kukiondoa chama kilichopo madarakani, yaani CCM, kumbe lengo ni kuwashika pabaya CHADEMA?

Nilikuwa sijui!!!
 
Naam! Kwa kuwa zitto anapambana na ccm ili kuiondoa madarakani, nashauri ukawa kuutumia huo mwanya kuunganisha nguvu hiyo na kuiangusha ccm October 2015.

Ukawa mtumieni zitto wa ACT Muunganishe nguvu moja kuelekea kwenye ukombozi.

Wewe nuruyamnyonge wa wapi wewe? hujasoma post ya malemo? Haya rudi ukasome.
 
Last edited by a moderator:
Sina siasa za mlengo wowote zaidi ya mimi kuwa mwanamabadiliko. Navutiwa na siasa za upinzani ili kuiondoa CCM, tufanye nashawishika na chama kipya ACT WAZALENDO na hususan kiongozi wake ZITTO ZUBERI KABWE.

Ila naomba anijibu au viongozi wenzie wanijibu maswali haya 21 kuhusu Zitto

1.Kwanini kila sehemu ukianzisha mjadala lazima wengine wamuite yeye msaliti?

2.Kwanini anatetewa na kupendwa na wana CCM mitandaoni na mitaani kuliko wanamabadiliko?

3.Kwanini vyombo vya habari na mitandao isiyo penda vyama vya upinzani kama Clouds Fm,Jambo
leo,uhuru,mzalendo,na jamii forum vinampa upendeleo sana.?

4.Kwanini wakati alipokuwa chadema alikuwa apigi ziara kama sasa ACT, kutafuta wanachama hadi kwenye malori na barabarani....?

5.Nijuavyo mimi ACT hawapati ruzuku yoyote kama vyama vingine vya siasa ambavyo vinauwakilishi je Zitto amepata wapi pesa ya kujaza magari 15 mafuta kila siku.kulipa posho watu 31 kwenye msafara wake,kulipa waandishi wahabari 9 kwenye msafara wake,kulipia P.A.system na music kwenye mikutano yake.kulipia vyumba(guest haouse wa msafara wote huo leo siku ya 8,wakati kwenye akaunti alikuwa ana millioni 18 tuh?
5.Millioni 150 za mkutano mkuu pale diamond jubilee na mabasi matano kutoka kigoma na mwanza,na zile costa 15.kwa muda wasiku 4.kusambazia wajumbe wake Dar es salaam alizitoa wapi na hawana ruzuku? Ikiwa tangu ahamie alikuwa ana siku 4

6.Kwanini huko anakopita kwenye mikutano yake hawaisemi vibaya serikali ya ccm?

7.Kwanini huko kwenye mikutano wanayofanya waongeaji ni wengi ila anasikika yeye tuh?

8.Kwanini mauzo ya kadi za ACT WAZALENDO, yanamwitikio hafifu na yeye anajua hilo.badala chama kikae sehemu moja hata siku tatu kusimika uongozi badala yake anapita kama mbio za mwenge tuh?

9.Kwanini mikutano yake yote anaruhusu viongozi wake na wapambe kama afande sele kuitukana chadema.ila yeye haitukani chadema?

10.Kwanini pia hao wabunge 50 anaosema wanakuja ACT.kwamba wanaohofia kukosa mafao yao.asiwafundishe njia haliyo tumia yeye kujiuzulu na bado mafao anapata.ili nao wajiuzulu muda huu ila mafao wapewe kama yeye Zitto.

11.Kwanini wale wabunge ambao siku nyingi wanatuhumiwa kwa usaliti na kuvujisha siri za chama chao kama LETICIA NYERERE,(rejea gazeti Tazama Tanzania). ndiyo wanaotajwa kuja ACT Na siyo wabunge kama JOHN MNYIKA AU VICENT NYERERE

12.Wakina mchange na mtemelwa walio kuwa wanadai kwenye television mbalimbali kuwa wao bado ni chadema hata kama chadema imewafukuza kwa nini sasa hivi wamepewa ujumbe kamati kuu na hatujawaona kupewa kadi hadharani?

13.Kwanini unajiita mjamaa wakati kwenye mali zako ulizohorodhesha unamiliki kitalu cha gesi?

14.Unaurafiki gani na Ramadhani Dau?

15.Ulipo kuwa mwenyekiti Pac na Ramadhani Dau angali yupo NSSF.mahusiano yenu hayakuhathiri utendaji wako.hata kupata nyumba za NSSF na tenda za kutangaza NSSF?

16.Kwanini uliposhindana na cheyo uenyekiti wa PAC wabunge wa CCM walipewa agizo na mwenyekiti (KIKWETE) Kupitia waziri mkuu pinda wakupigie wewe badala ya cheyo?

17.Kwanini kikwete alipoenda SUDANI KUSINI kwenye sherehe za uhuru aliambatana na wewe na familia yake.akiacha viongozi wenzie wa CCM.?

18.Watanzania amu kuwa aliyepambana na escrow mpaka akitwa tumbili na kutishiwa kuuwa ni KAFULILA na si wewe,lakini wewe unawaaminisha watu kuwa escrow ndiyo uliyeibua na kuipigania?

19.Unazungumziaje mahusiano yako na viongozi wa CCM na serikali kama mwigulu nchemba,LUDOVICK UTTOH?

20.vipikuhusu sakata lako la kutaka kuacha siasa ili urudi chuo au ende kuajiriwa TPDC umeshaghairi?

21.Kwanini Tangu uanze harakati zako za siasa za upinzani ujawahi kunyimwa kibali cha mkutano wala
kufanyiwa vurugugu na ccm au kupata mshimshike wa kukamatwa na kuwekwa ndani kama wapinzani wengine akina lipumba,mbowe,slaa, lisu,lema,au mnyika.?

Tafadhali naomba nijibiwe maswali, nampenda sana Zitto ila kila ninapomuongelea nakutana nayo nashindwa kujibu.
Hayo maswali , nampenda sana Zitto ila kila ninapo muongelea nakutana nayo nashindwa kujibu.

Kaka nyie endeleni kutafuta maswali ya kumuuliza yeye kasema yaliyopita yamepita na sasa ANASONGA.
 
ZZK alisema hiyo pesa ya kiinua mgongo haitaki, pia katika hao MP 50 watakao kuja kujiunga ACT kutoka CDM na CCM ndio wanaomfadhili ACT, kama in kweli je haoni hao hoa wabunge hizo pesa ni sehemu ya zile alizozikataa?, sasa wewe umekata a posho wenzako wanapokea na ndio michango hapo ACT, does it make sense?

na walipokubaliana na wabunge wenzake wa CDM wasichukue posho,ila wenzake wakazunguka nyuma na kuchukua ilhali yeye akiendelea na msimamo wake na akaendelea kubaki CDM na kushirikiana nao unaonaje?
 
Sina siasa za mlengo wowote zaidi ya mimi kuwa mwanamabadiliko. Navutiwa na siasa za upinzani ili kuiondoa CCM, tufanye nashawishika na chama kipya ACT WAZALENDO na hususan kiongozi wake ZITTO ZUBERI KABWE.

Ila naomba anijibu au viongozi wenzie wanijibu maswali haya 21 kuhusu Zitto

1.Kwanini kila sehemu ukianzisha mjadala lazima wengine wamuite yeye msaliti?

2.Kwanini anatetewa na kupendwa na wana CCM mitandaoni na mitaani kuliko wanamabadiliko?

3.Kwanini vyombo vya habari na mitandao isiyo penda vyama vya upinzani kama Clouds Fm,Jambo
leo,uhuru,mzalendo,na jamii forum vinampa upendeleo sana.?

4.Kwanini wakati alipokuwa chadema alikuwa apigi ziara kama sasa ACT, kutafuta wanachama hadi kwenye malori na barabarani....?

5.Nijuavyo mimi ACT hawapati ruzuku yoyote kama vyama vingine vya siasa ambavyo vinauwakilishi je Zitto amepata wapi pesa ya kujaza magari 15 mafuta kila siku.kulipa posho watu 31 kwenye msafara wake,kulipa waandishi wahabari 9 kwenye msafara wake,kulipia P.A.system na music kwenye mikutano yake.kulipia vyumba(guest haouse wa msafara wote huo leo siku ya 8,wakati kwenye akaunti alikuwa ana millioni 18 tuh?
5.Millioni 150 za mkutano mkuu pale diamond jubilee na mabasi matano kutoka kigoma na mwanza,na zile costa 15.kwa muda wasiku 4.kusambazia wajumbe wake Dar es salaam alizitoa wapi na hawana ruzuku? Ikiwa tangu ahamie alikuwa ana siku 4

6.Kwanini huko anakopita kwenye mikutano yake hawaisemi vibaya serikali ya ccm?

7.Kwanini huko kwenye mikutano wanayofanya waongeaji ni wengi ila anasikika yeye tuh?

8.Kwanini mauzo ya kadi za ACT WAZALENDO, yanamwitikio hafifu na yeye anajua hilo.badala chama kikae sehemu moja hata siku tatu kusimika uongozi badala yake anapita kama mbio za mwenge tuh?

9.Kwanini mikutano yake yote anaruhusu viongozi wake na wapambe kama afande sele kuitukana chadema.ila yeye haitukani chadema?

10.Kwanini pia hao wabunge 50 anaosema wanakuja ACT.kwamba wanaohofia kukosa mafao yao.asiwafundishe njia haliyo tumia yeye kujiuzulu na bado mafao anapata.ili nao wajiuzulu muda huu ila mafao wapewe kama yeye Zitto.

11.Kwanini wale wabunge ambao siku nyingi wanatuhumiwa kwa usaliti na kuvujisha siri za chama chao kama LETICIA NYERERE,(rejea gazeti Tazama Tanzania). ndiyo wanaotajwa kuja ACT Na siyo wabunge kama JOHN MNYIKA AU VICENT NYERERE

12.Wakina mchange na mtemelwa walio kuwa wanadai kwenye television mbalimbali kuwa wao bado ni chadema hata kama chadema imewafukuza kwa nini sasa hivi wamepewa ujumbe kamati kuu na hatujawaona kupewa kadi hadharani?

13.Kwanini unajiita mjamaa wakati kwenye mali zako ulizohorodhesha unamiliki kitalu cha gesi?

14.Unaurafiki gani na Ramadhani Dau?

15.Ulipo kuwa mwenyekiti Pac na Ramadhani Dau angali yupo NSSF.mahusiano yenu hayakuhathiri utendaji wako.hata kupata nyumba za NSSF na tenda za kutangaza NSSF?

16.Kwanini uliposhindana na cheyo uenyekiti wa PAC wabunge wa CCM walipewa agizo na mwenyekiti (KIKWETE) Kupitia waziri mkuu pinda wakupigie wewe badala ya cheyo?

17.Kwanini kikwete alipoenda SUDANI KUSINI kwenye sherehe za uhuru aliambatana na wewe na familia yake.akiacha viongozi wenzie wa CCM.?

18.Watanzania amu kuwa aliyepambana na escrow mpaka akitwa tumbili na kutishiwa kuuwa ni KAFULILA na si wewe,lakini wewe unawaaminisha watu kuwa escrow ndiyo uliyeibua na kuipigania?

19.Unazungumziaje mahusiano yako na viongozi wa CCM na serikali kama mwigulu nchemba,LUDOVICK UTTOH?

20.vipikuhusu sakata lako la kutaka kuacha siasa ili urudi chuo au ende kuajiriwa TPDC umeshaghairi?

21.Kwanini Tangu uanze harakati zako za siasa za upinzani ujawahi kunyimwa kibali cha mkutano wala
kufanyiwa vurugugu na ccm au kupata mshimshike wa kukamatwa na kuwekwa ndani kama wapinzani wengine akina lipumba,mbowe,slaa, lisu,lema,au mnyika.?

Tafadhali naomba nijibiwe maswali, nampenda sana Zitto ila kila ninapomuongelea nakutana nayo nashindwa kujibu.
Hayo maswali , nampenda sana Zitto ila kila ninapo muongelea nakutana nayo nashindwa kujibu.

Umeuliza maswali yako Kishabiki kwa lengo la kuchafua haiba ya Zitto,yafuatayo ni majawabu ya maswali yako


Swali la kwanza kuhusu usaliti.
Dhana ya usaliti ni kufanya kinyume na makubaliano.

Katika chama alichokuwepo Zitto walikubaliana kutopokea posho lkn ni Zitto pekee alietekeleza kwa vitendo,waliobaki hawakuacha kuchukua...hivyo ili Zitto asipate hadhi inayoendana na maamuzi yake ,wenzake wakamwita Msaliti na kutumia Fedha nyingi kuwaaminisha kuwa ni Msaliti,pamoja na hilo Maamuzi ya Zitto kugombea Uenyeliti bila ridhaa ya Mzee Mtei ni usaliti kwa Familia ya Mtei,hivyo hizo porojo za usaliti hata Mbowe kashindwa kuzithibitisha bali ni mwendelezo wa siasa za maji taka.

Ukitala kumuua Mbwa,unampa jina baya ili kuhalalisha mauaji yake hivyo kuwepo na watu wanaosema kuwa Zitto ni Msaliti hakuhalalishi hayo bali sisi tunampima kwa umahiri wake katika Kazi za Kibunge.

2.Swali la Pili kuwa kwanini Zitto anapendwa na kushabikiwa na wana ccm?

Ukweli ni kuwa Zitto ni mwanasiasa aina ya Mutharika wa Malawi.

Kutokana na umahiri katika ujenzi wa hoja amefanikiwa kupenya ngome zote. Mfano ni pale alipotaka kumg'oa Waziri mkuu,miongono mwa waliomuunga mkono ni pamoja na Nimrod Mkono alisaini kumg'oa waziri mkuu na hatimae mawaziri nane wakafukuzwa kazi.

Pamoja na hayo,Mzee warioba alishatuambia kuwa kuna ccm asili na ccm Maslahi.
Hivyo wapo wana ccm wanaoyajua maovu ya ccm lkn wanakosa ujasiri wa kupinga hadharani ,hivyo wanaamua kuvujisha siri kwa mtu ambae ataweza kuzisimamia bila woga.

Wanapoangalia mtu anaekubalika kwa wengi ni Zitto Kabwe.

Hivyo wanaendelea kumuunga mkono kutokana na kuheshimu mchango wake kwa taifa(Siasa sio vita kama unavyotaka kuuaminisha umma)

Pia tambua wabunge kama vile Msigwa,Wenje,Kiwia na Mdee waliungwa mkono na wana ccm ambao wagombea wao walichakachuliwa,Mbona hukuuliza kwanini wana ccm wamewapigia kura wana chadema?

Zitto anashangiliwa na kuungwa mkono na wote,yaani baadhi ya wana ccm na wanamabadiliko mimi nikiwa mmoja wa wana mabadiliko wanao muunga mkono.

3.Kuhusu kuungwa Mkono na vyombo vya habari kama Uhuru,Clouds,,na Mitandao kama Jamiiforums.

Kwanza ni kweli kuwa hivyi vyombo huwa vinaripoti taarifa ya Zitto,kama vimavyoripoti vyombo vingine vya habari.

Watu wa vyombo vya habari wanapenda sana watu ambao wakiandika habari zao watauza magazeti au kusikilizwa.

Habari za Zitto zinauza kuliko habari za mwanasiasa yeyote Tanzania.

Si vyombo hivyo tu ulivyovitaja bali hata ITV ndio walioruka hewani siku ya uzinduzi wa chama,Pia mara kadhaa magazeti ya Tanzania Daima na Mawio nao wamekuwa wakiropoti taarifa za Zitto.

Hivyo hilo si swali la Zitto eti kwanini anaandikwa na kutangazwa,Zitto hana uwezo wa kuwazuia wasiandike habari zake,atakuwa ameingilia uhuru wa habari ambao amekuwa akiupigania katika utumishi wake wa Kibunge.

4.Kwanini Zitto hakujituma sana akiwa chadema kuliko anavyofanya sasa.

Kwanza si kweli kuwa Zitto hakujituma akiwa chadema,Ni jitihada ambazo Zitto alizifanya Zilizowasaidia Chadema kuongeza majimbo.

Wabunge vijana wote wa chadema ni Matunda ya Kazi nzuri ya Zitto.

Kama Zitto angefanya vibaya kwenye Bunge la 2005-2010 angetuharibia vijana kuaminiwa na wananchi.

Pia Oparatio sangara iliyokiimarisha chama ilifanyika huku Zitto akiwa Mstari wa Mbele katika mapambano.

Hata mwaka Juzi kabla ya Mgogoro Zitto alifanya Ziara ya Chama mikoa ya Kusini (Lindi na Mtwara)

Akaendelea na Ziara Mikoa ya Katavi,Tabora ambako aliutaja hadharani Mshahara wa Rais na Waziri Mkuu.

Zitto hakushiriki Oparation ya M4C kutokana na imani yake kuwa hakukuwa na haja ya kuanzisha oparation nyingine wakati hata Oparation Sangara ilikuwa haijaelewaeka vizuri kwa Umma.

Vivyo kiu yake ilikuwa kuona Oparation Sangara Inawafikia watanzamia wote kabla ya kurukia Oparation Nyingine.

Lkn cha kuudhi zaidi Wenye chama waliamua kulazimisha Oparation M4C Kwa lengo la kumsaidia Lema ulaji ambae kipindi kile Ubunge wake ulikuwa umesitishwa na Mahakama.

Baada ta Lema kushinda rufaa yake,Oparation nayo ilikufa na ikaibuka oparation Nyingine Oparation Chadema ni Msingi,ambayo nayo hatujui ilikoishia.

5.Kuhusu ACT-Wazalendo kutopewa ruzuku lkn wanafedha nyingi kufanikisha Uzinduzi na sasa Oparation Sambaza Uzalendo.

Ni kweli Chama hakina ruzuku ,lkn chama kina wanachama na Mashabiki.

Watu tunatoa michango kila siku kukichangia Chama,tunayo Orodha ya wabunge zaidi ya 50 watakao jiunga na chama ambao nao wanatuchangia ili kukiimarisha zaidi ili watakapohamia, wahamie chama imara.

Tunapata Misaada toka vyama rafiki ,vyama hivi awali vilitoa fedha Chadema lkn baada ya kugundua kuwa hazifanyi kazi kama walivyolenga ,wameamua kukata Misaada chadema na sasa Chama kinaendeshwa kwa ruzuku na Michango ya wabunge.

Wame channel Misaada kuja ACT-Wazalendo kutokana na imani kubwa waliyonayo kwa Zitto ambae ndie akiwaunganisha na Chadema.

Wafanya biashara na wajasiliamali wanakichangia chama kama sehemu ya kuwa wanamabadiliko.

Pia Kupitia Ring back tone wana ACT tuliounganishwa kwenye mitandao ya simu tunakichangia chama chetu.

6.Kuhusu Kutoisema vibaya serikali ya ccm.

Kwanza kabisa ACT-Wazalendo haiamini katika siasa nyepesi za kushambulia haiba za watu na chama,badala yake tumejikita kufanya siasa za Maswala (Agenda )ili kutafuta suluhisho la umaskini na matatizo ya wananchi.

Zitto akiwa Morogoro aliibua tuhuma kubwa kuwahi kutokea serikalini kuhusu Watuhumiwa wa Esrow kupewa tenda Kinyemela ya tajriban Bil 54,Gazeti lako pendwa la Tanzania Daima la Juzi tarehe 14-04-2015 limeandika huku likiipa kicha cha habari"Zitto atunishiana misuli na Rugemarila"

Hivyo si kweli kuwa serikali haisemwi pale inapokosea,

7.Kihusu watu wengi kuongea hakafu akasikika yeye tu,ni kutokana na Rekodi aliyojijengea,Pia tambua kuwa vyombo vya habari vya Tanzania vinaangalia soko,hivyo hii challenge kwa vyombo vyetu kuacha bias....maana hata Mawio au Tanzania Daima wanaandika watu wanne tu Chadema,Yaani Mbowe,Slaa,Mnyika na Lissu,ni madra sana kuikuta habari ya Prof Kahigi au Machemli japo ni wabunge wa Chadema

8.Kuhusu Mauzo ya kadi kuwa hafifu na kupita bila kambi.

Kwanza nikujulishe kuwa watu wanaojiunga na ACT-Wazalendo ni wengi kuliko unavyojifikiri.
Wapo wanaoomba kadi kwa njia ya Mitandao,wapo wanaochukua pale kwenye mikutano na wapo wanaofuata Ofisini.

Baada ya ziara kumalizika Chama kitafanya tathmini na kuutangazia Umma idadi ya kadi Zilizouzwa kwa Kipindi cha ziara ya viongozi wa kitaifa.

Kuhusu kupita bila Kambi,ni kuwa ACT-Wazalendo kimeshafanya uchaguzi wa viongozi hivi karibuni kuanzia ngazi ya Tawi ,Kata,Jimbo,Mkoa na Taifa,hivyo usilazimishe kila kazi ya Chama kufanywa na viongozi wa Kitaifa,sisi tunaamini katika kugawana Majukumu na kuaminiana katika kazi,hivyo Ni viongozi wa Mkoa husika watahaoendelea kutimiza wajibu wao kitatua kero za wanachama pamoja na kukieneza Chama.

9.Kwani Afande Sele anaitukana Chadema lkn Zitto hatukani.

Kila mtu anakikomo chake cha uvumilivu.

Zitto amekomaa katika siasa hivyo si rahisi kutukana.

Kuhusu viongozi wengine ,hakuna mkutano wowote ambao chadema imetukanwa ,kama ilitajwa wakati wa kufafanua jambo ka kweli umapaswa kuwa mvumilivu maana Vitu vya ukweli haviitwi matusi,tutaendelea kufanya siasa safi na si siasa za maji taka.

10.Zitto sio Mtei ama Mbowe ambae anadiriki hata kuwachagulia marafiki watu wazima wenye familia Zao,Kila Mbunge anamaono yake kuhusu maisha,hivyo mipaka ya Zitto ni kusimamia katiba ya ACT-Wazalendo ,hivyo swala la Mafao ya wabunge si moja kati ya misingi ya kuasisiwa kwa ACT-Wazalendo.

11.Kuhusu wabunge wanaovujisha Nyaraka ndio wanaotajwa kuja ACT kama Leticia Nyerere.

ACT-Wazalendo ni kama timu ya taifa,inaishi kwa kujikita kwenye misingi hivyo swaka la utu,usawa vinatukataza kumbagua mtu yeyote.

Kuhusu kuvujisha Nyaraka ,hayo ni maneno ya kutunga,kwani Leticia anawadhifa gani kwenye chama kiasia cha kushikilia Nyaraka Muhimu za Chama.

Kila asiekubali kushikiwa akili hubambikwa usaliti na kuvujisha Nyaraka ili kuhalalisha ubaguzi.

Pamoja na hayo ACT-Wazazendo haikutaja majina ya wabunge watakaojiunga na ACT hivyo subiri muda ufike
12.Kuhusu Mchange na Mtemelwa.

Kwanza usipotoshe Umma kuwa Msafiri Mtemelwa alifukuzwa Chadema,aliondoka kwa hiari baada ya Slaa kuandikiwa barua kustaafu rasmi kuitumikia Chadema

Kuhusu Mchange na Mtemelwa,ni vema ukajiandaa vema kisaikolojia kuwa si wana chadema tena,kwa sasa wanajenga Chama kipya na hutawasikia tena wakijiita Chadema.

Swala ka kuhama chama ni swala la utashi wa mtu na sheria za nchi zinaruhusu,wao si wakwanza kuhama na kuwa wajumbe wa kamati kuu,Slaa alikuwa ccm kwa umri wa ujana wake,akahama na sasa ni Katibu wa kamati kuu.

Lema alikuwa TLP akahamia Chadema na sasa ni mjumbe wa kamati kuu

Lissu alikuwa NCCR akahamia chadema na sasa ni mjumbe wa kamati kuu

Benson Kigaila alikuwa UDP akahamia Chadema na sasa ni mjumbe wa kamati kuu.

Hivyo walichokifanya Mchange na Mtemelwa hakitofautiani na kilichofanywa na Slaa,Lema,Lissu na Kigaila.

13.Kwanini Zitto anajiita Mjamaa wakati ana mali.

Kwanza Ujamaa sio umaskini bali ujamaa ni mfumo wa uzalishaji ambao hupunguza pengo kati ya wenye nacho na wasionacho.

Ujamaa unaozungumziwa na ACT-Wazalendo ni ule ujamaa wa Kidemokrasia.

Hivyo unatambua juhudi za mtu binafsi na jitihada za mtu kumiliki mali.

Hoja ya ujamaa tunayoipigania ni rasilimali za wote Zinufaishe wote,kupata fursa sawa katika matumizi ya rasilimali hizo.

Tunaposema furasa sawa hatumannashi kulingana fedha au Nyumba za kuishi.

Bali tuna maanisha kuwa Kama ni Elimu basi Mtoto wa Kabwela na Mtoto wa tajiri wasome shule mojs ili kama mtu anashindwa ashindwe mwenyewe na si kushindwa kwa sababu ya miundombinu duni na uhaba wa walimu.

Kama ni huduma za Afya basi hispital za umma ziboreshwe ili Maskini na tajiri wote waweze kutibiwa kwa gharama zinazolipika na si mmoja kumuacha na Hospital yenye paracetamol na mwingine anatibiwa hospital binafsi kwa bei ghali.

Hivyo Zitto au mtu yeyoye kumiliki mali ya halali hakupingani na sera ya Ujamaa wa Kidemokrasia.

14.Ramadhani Dau ni mtu mwenye uziefu na mtu mchapa kazi ambae kila mtu anatamani kujifunza kutoka kwake.

Ramadhani Dau ni kama Mzee wa Zitto hivyo Zitto anajifunza mengi kutoka kwake.

15.kuhusu mahusiano ya Zitto na Dau.

Mnapofanya kazi ya ujenzi wa taifa ni lazima mfanye kazi kwa pamoja(team work)ilimradi nyote muwe na dhamira safi.

Dau ni Moja ya wakurugenzi wenye mafanikio miongoni mwa wakurugenzi wa mifuko ya hifadhi ya jamii

Hivyo hakuna sababu ya kuamini katika uadui badala ya ushirikiano.

16.Kuhusu kushindana na John Cheyo kugombea uenyekiti wa PAC.

Asiekubali kushinda si mshindani,kati ya Cheyo na Zitto Mmoja ilikuwa ni lazima ashinde.

Zitto alistahili kuiongoza PAC kutokana na uelewa wake katika maswala ya fedha.

Kamati ya PAC inavitu vigumu ambavyo vinahitaji mtu mwenye uelewa wa kiwango cha juu.

Matunda ya Zitto kuchaguliwa tuliyaona kwenye Sakata la Escrow ambapo hata wabunge wengi walionyesha kupwaya kwa kushindwa kuekewa hata dhana ya Capacity charge.

Ili bidi Zitto ageuke Mwalimu wa Bunge Zima ili kuwaondoa uvulivuli wabunge ambao walikuwa wanachangia mambo wasiyoyajua.

Hivyo Kila mtu mwenye mapenzi ya kweli hawezi kujutia Zitto kuiongoza PAC.

kuhusu kuwa alisaidiwa na Kikwete,huu ni mwendelezo wa kufanya Ubunilizi badala ya kujenga hoja.

Ushawishi wa Zitto kwa wabunge ni Mkubwa sana ukilinganisha na Mzee Cheyo.

Wakati PAC inaongozwa na Cheyo na Zitto anaongoza POAC wengi hatukujua kama kuna kamati inaitwa PAC,tulikuwa tunaifahamu POAC lkn baada ya kushikwa na Mzalendo huyu kamati imekuwa machinjio ya viongozi wasiowajibika na wale wanaoliibia taifa.

Hayo ndiyo majawabu kwa maswali yako 16.
 
Umeuliza maswali yako Kishabiki kwa lengo la kuchafua haiba ya Zitto,yafuatayo ni majawabu ya maswali yako


Swali la kwanza kuhusu usaliti.
Dhana ya usaliti ni kufanya kinyume na makubaliano.

Katika chama alichokuwepo Zitto walikubaliana kutopokea posho lkn ni Zitto pekee alietekeleza kwa vitendo,waliobaki hawakuacha kuchukua...hivyo ili Zitto asipate hadhi inayoendana na maamuzi yake ,wenzake wakamwita Msaliti na kutumia Fedha nyingi kuwaaminisha kuwa ni Msaliti,pamoja na hilo Maamuzi ya Zitto kugombea Uenyeliti bila ridhaa ya Mzee Mtei ni usaliti kwa Familia ya Mtei,hivyo hizo porojo za usaliti hata Mbowe kashindwa kuzithibitisha bali ni mwendelezo wa siasa za maji taka.

Ukitala kumuua Mbwa,unampa jina baya ili kuhalalisha mauaji yake hivyo kuwepo na watu wanaosema kuwa Zitto ni Msaliti hakuhalalishi hayo bali sisi tunampima kwa umahiri wake katika Kazi za Kibunge.

2.Swali la Pili kuwa kwanini Zitto anapendwa na kushabikiwa na wana ccm?

Ukweli ni kuwa Zitto ni mwanasiasa aina ya Mutharika wa Malawi.

Kutokana na umahiri katika ujenzi wa hoja amefanikiwa kupenya ngome zote. Mfano ni pale alipotaka kumg'oa Waziri mkuu,miongono mwa waliomuunga mkono ni pamoja na Nimrod Mkono alisaini kumg'oa waziri mkuu na hatimae mawaziri nane wakafukuzwa kazi.

Pamoja na hayo,Mzee warioba alishatuambia kuwa kuna ccm asili na ccm Maslahi.
Hivyo wapo wana ccm wanaoyajua maovu ya ccm lkn wanakosa ujasiri wa kupinga hadharani ,hivyo wanaamua kuvujisha siri kwa mtu ambae ataweza kuzisimamia bila woga.

Wanapoangalia mtu anaekubalika kwa wengi ni Zitto Kabwe.

Hivyo wanaendelea kumuunga mkono kutokana na kuheshimu mchango wake kwa taifa(Siasa sio vita kama unavyotaka kuuaminisha umma)

Pia tambua wabunge kama vile Msigwa,Wenje,Kiwia na Mdee waliungwa mkono na wana ccm ambao wagombea wao walichakachuliwa,Mbona hukuuliza kwanini wana ccm wamewapigia kura wana chadema?

Zitto anashangiliwa na kuungwa mkono na wote,yaani baadhi ya wana ccm na wanamabadiliko mimi nikiwa mmoja wa wana mabadiliko wanao muunga mkono.

3.Kuhusu kuungwa Mkono na vyombo vya habari kama Uhuru,Clouds,,na Mitandao kama Jamiiforums.

Kwanza ni kweli kuwa hivyi vyombo huwa vinaripoti taarifa ya Zitto,kama vimavyoripoti vyombo vingine vya habari.

Watu wa vyombo vya habari wanapenda sana watu ambao wakiandika habari zao watauza magazeti au kusikilizwa.

Habari za Zitto zinauza kuliko habari za mwanasiasa yeyote Tanzania.

Si vyombo hivyo tu ulivyovitaja bali hata ITV ndio walioruka hewani siku ya uzinduzi wa chama,Pia mara kadhaa magazeti ya Tanzania Daima na Mawio nao wamekuwa wakiropoti taarifa za Zitto.

Hivyo hilo si swali la Zitto eti kwanini anaandikwa na kutangazwa,Zitto hana uwezo wa kuwazuia wasiandike habari zake,atakuwa ameingilia uhuru wa habari ambao amekuwa akiupigania katika utumishi wake wa Kibunge.

4.Kwanini Zitto hakujituma sana akiwa chadema kuliko anavyofanya sasa.

Kwanza si kweli kuwa Zitto hakujituma akiwa chadema,Ni jitihada ambazo Zitto alizifanya Zilizowasaidia Chadema kuongeza majimbo.

Wabunge vijana wote wa chadema ni Matunda ya Kazi nzuri ya Zitto.

Kama Zitto angefanya vibaya kwenye Bunge la 2005-2010 angetuharibia vijana kuaminiwa na wananchi.

Pia Oparatio sangara iliyokiimarisha chama ilifanyika huku Zitto akiwa Mstari wa Mbele katika mapambano.

Hata mwaka Juzi kabla ya Mgogoro Zitto alifanya Ziara ya Chama mikoa ya Kusini (Lindi na Mtwara)

Akaendelea na Ziara Mikoa ya Katavi,Tabora ambako aliutaja hadharani Mshahara wa Rais na Waziri Mkuu.

Zitto hakushiriki Oparation ya M4C kutokana na imani yake kuwa hakukuwa na haja ya kuanzisha oparation nyingine wakati hata Oparation Sangara ilikuwa haijaelewaeka vizuri kwa Umma.

Vivyo kiu yake ilikuwa kuona Oparation Sangara Inawafikia watanzamia wote kabla ya kurukia Oparation Nyingine.

Lkn cha kuudhi zaidi Wenye chama waliamua kulazimisha Oparation M4C Kwa lengo la kumsaidia Lema ulaji ambae kipindi kile Ubunge wake ulikuwa umesitishwa na Mahakama.

Baada ta Lema kushinda rufaa yake,Oparation nayo ilikufa na ikaibuka oparation Nyingine Oparation Chadema ni Msingi,ambayo nayo hatujui ilikoishia.

5.Kuhusu ACT-Wazalendo kutopewa ruzuku lkn wanafedha nyingi kufanikisha Uzinduzi na sasa Oparation Sambaza Uzalendo.

Ni kweli Chama hakina ruzuku ,lkn chama kina wanachama na Mashabiki.

Watu tunatoa michango kila siku kukichangia Chama,tunayo Orodha ya wabunge zaidi ya 50 watakao jiunga na chama ambao nao wanatuchangia ili kukiimarisha zaidi ili watakapohamia, wahamie chama imara.

Tunapata Misaada toka vyama rafiki ,vyama hivi awali vilitoa fedha Chadema lkn baada ya kugundua kuwa hazifanyi kazi kama walivyolenga ,wameamua kukata Misaada chadema na sasa Chama kinaendeshwa kwa ruzuku na Michango ya wabunge.

Wame channel Misaada kuja ACT-Wazalendo kutokana na imani kubwa waliyonayo kwa Zitto ambae ndie akiwaunganisha na Chadema.

Wafanya biashara na wajasiliamali wanakichangia chama kama sehemu ya kuwa wanamabadiliko.

Pia Kupitia Ring back tone wana ACT tuliounganishwa kwenye mitandao ya simu tunakichangia chama chetu.

6.Kuhusu Kutoisema vibaya serikali ya ccm.

Kwanza kabisa ACT-Wazalendo haiamini katika siasa nyepesi za kushambulia haiba za watu na chama,badala yake tumejikita kufanya siasa za Maswala (Agenda )ili kutafuta suluhisho la umaskini na matatizo ya wananchi.

Zitto akiwa Morogoro aliibua tuhuma kubwa kuwahi kutokea serikalini kuhusu Watuhumiwa wa Esrow kupewa tenda Kinyemela ya tajriban Bil 54,Gazeti lako pendwa la Tanzania Daima la Juzi tarehe 14-04-2015 limeandika huku likiipa kicha cha habari"Zitto atunishiana misuli na Rugemarila"

Hivyo si kweli kuwa serikali haisemwi pale inapokosea,

7.Kihusu watu wengi kuongea hakafu akasikika yeye tu,ni kutokana na Rekodi aliyojijengea,Pia tambua kuwa vyombo vya habari vya Tanzania vinaangalia soko,hivyo hii challenge kwa vyombo vyetu kuacha bias....maana hata Mawio au Tanzania Daima wanaandika watu wanne tu Chadema,Yaani Mbowe,Slaa,Mnyika na Lissu,ni madra sana kuikuta habari ya Prof Kahigi au Machemli japo ni wabunge wa Chadema

8.Kuhusu Mauzo ya kadi kuwa hafifu na kupita bila kambi.

Kwanza nikujulishe kuwa watu wanaojiunga na ACT-Wazalendo ni wengi kuliko unavyojifikiri.
Wapo wanaoomba kadi kwa njia ya Mitandao,wapo wanaochukua pale kwenye mikutano na wapo wanaofuata Ofisini.

Baada ya ziara kumalizika Chama kitafanya tathmini na kuutangazia Umma idadi ya kadi Zilizouzwa kwa Kipindi cha ziara ya viongozi wa kitaifa.

Kuhusu kupita bila Kambi,ni kuwa ACT-Wazalendo kimeshafanya uchaguzi wa viongozi hivi karibuni kuanzia ngazi ya Tawi ,Kata,Jimbo,Mkoa na Taifa,hivyo usilazimishe kila kazi ya Chama kufanywa na viongozi wa Kitaifa,sisi tunaamini katika kugawana Majukumu na kuaminiana katika kazi,hivyo Ni viongozi wa Mkoa husika watahaoendelea kutimiza wajibu wao kitatua kero za wanachama pamoja na kukieneza Chama.

9.Kwani Afande Sele anaitukana Chadema lkn Zitto hatukani.

Kila mtu anakikomo chake cha uvumilivu.

Zitto amekomaa katika siasa hivyo si rahisi kutukana.

Kuhusu viongozi wengine ,hakuna mkutano wowote ambao chadema imetukanwa ,kama ilitajwa wakati wa kufafanua jambo ka kweli umapaswa kuwa mvumilivu maana Vitu vya ukweli haviitwi matusi,tutaendelea kufanya siasa safi na si siasa za maji taka.

10.Zitto sio Mtei ama Mbowe ambae anadiriki hata kuwachagulia marafiki watu wazima wenye familia Zao,Kila Mbunge anamaono yake kuhusu maisha,hivyo mipaka ya Zitto ni kusimamia katiba ya ACT-Wazalendo ,hivyo swala la Mafao ya wabunge si moja kati ya misingi ya kuasisiwa kwa ACT-Wazalendo.

11.Kuhusu wabunge wanaovujisha Nyaraka ndio wanaotajwa kuja ACT kama Leticia Nyerere.

ACT-Wazalendo ni kama timu ya taifa,inaishi kwa kujikita kwenye misingi hivyo swaka la utu,usawa vinatukataza kumbagua mtu yeyote.

Kuhusu kuvujisha Nyaraka ,hayo ni maneno ya kutunga,kwani Leticia anawadhifa gani kwenye chama kiasia cha kushikilia Nyaraka Muhimu za Chama.

Kila asiekubali kushikiwa akili hubambikwa usaliti na kuvujisha Nyaraka ili kuhalalisha ubaguzi.

Pamoja na hayo ACT-Wazazendo haikutaja majina ya wabunge watakaojiunga na ACT hivyo subiri muda ufike
12.Kuhusu Mchange na Mtemelwa.

Kwanza usipotoshe Umma kuwa Msafiri Mtemelwa alifukuzwa Chadema,aliondoka kwa hiari baada ya Slaa kuandikiwa barua kustaafu rasmi kuitumikia Chadema

Kuhusu Mchange na Mtemelwa,ni vema ukajiandaa vema kisaikolojia kuwa si wana chadema tena,kwa sasa wanajenga Chama kipya na hutawasikia tena wakijiita Chadema.

Swala ka kuhama chama ni swala la utashi wa mtu na sheria za nchi zinaruhusu,wao si wakwanza kuhama na kuwa wajumbe wa kamati kuu,Slaa alikuwa ccm kwa umri wa ujana wake,akahama na sasa ni Katibu wa kamati kuu.

Lema alikuwa TLP akahamia Chadema na sasa ni mjumbe wa kamati kuu

Lissu alikuwa NCCR akahamia chadema na sasa ni mjumbe wa kamati kuu

Benson Kigaila alikuwa UDP akahamia Chadema na sasa ni mjumbe wa kamati kuu.

Hivyo walichokifanya Mchange na Mtemelwa hakitofautiani na kilichofanywa na Slaa,Lema,Lissu na Kigaila.

13.Kwanini Zitto anajiita Mjamaa wakati ana mali.

Kwanza Ujamaa sio umaskini bali ujamaa ni mfumo wa uzalishaji ambao hupunguza pengo kati ya wenye nacho na wasionacho.

Ujamaa unaozungumziwa na ACT-Wazalendo ni ule ujamaa wa Kidemokrasia.

Hivyo unatambua juhudi za mtu binafsi na jitihada za mtu kumiliki mali.

Hoja ya ujamaa tunayoipigania ni rasilimali za wote Zinufaishe wote,kupata fursa sawa katika matumizi ya rasilimali hizo.

Tunaposema furasa sawa hatumannashi kulingana fedha au Nyumba za kuishi.

Bali tuna maanisha kuwa Kama ni Elimu basi Mtoto wa Kabwela na Mtoto wa tajiri wasome shule mojs ili kama mtu anashindwa ashindwe mwenyewe na si kushindwa kwa sababu ya miundombinu duni na uhaba wa walimu.

Kama ni huduma za Afya basi hispital za umma ziboreshwe ili Maskini na tajiri wote waweze kutibiwa kwa gharama zinazolipika na si mmoja kumuacha na Hospital yenye paracetamol na mwingine anatibiwa hospital binafsi kwa bei ghali.

Hivyo Zitto au mtu yeyoye kumiliki mali ya halali hakupingani na sera ya Ujamaa wa Kidemokrasia.

14.Ramadhani Dau ni mtu mwenye uziefu na mtu mchapa kazi ambae kila mtu anatamani kujifunza kutoka kwake.

Ramadhani Dau ni kama Mzee wa Zitto hivyo Zitto anajifunza mengi kutoka kwake.

15.kuhusu mahusiano ya Zitto na Dau.

Mnapofanya kazi ya ujenzi wa taifa ni lazima mfanye kazi kwa pamoja(team work)ilimradi nyote muwe na dhamira safi.

Dau ni Moja ya wakurugenzi wenye mafanikio miongoni mwa wakurugenzi wa mifuko ya hifadhi ya jamii

Hivyo hakuna sababu ya kuamini katika uadui badala ya ushirikiano.

16.Kuhusu kushindana na John Cheyo kugombea uenyekiti wa PAC.

Asiekubali kushinda si mshindani,kati ya Cheyo na Zitto Mmoja ilikuwa ni lazima ashinde.

Zitto alistahili kuiongoza PAC kutokana na uelewa wake katika maswala ya fedha.

Kamati ya PAC inavitu vigumu ambavyo vinahitaji mtu mwenye uelewa wa kiwango cha juu.

Matunda ya Zitto kuchaguliwa tuliyaona kwenye Sakata la Escrow ambapo hata wabunge wengi walionyesha kupwaya kwa kushindwa kuekewa hata dhana ya Capacity charge.

Ili bidi Zitto ageuke Mwalimu wa Bunge Zima ili kuwaondoa uvulivuli wabunge ambao walikuwa wanachangia mambo wasiyoyajua.

Hivyo Kila mtu mwenye mapenzi ya kweli hawezi kujutia Zitto kuiongoza PAC.

kuhusu kuwa alisaidiwa na Kikwete,huu ni mwendelezo wa kufanya Ubunilizi badala ya kujenga hoja.

Ushawishi wa Zitto kwa wabunge ni Mkubwa sana ukilinganisha na Mzee Cheyo.

Wakati PAC inaongozwa na Cheyo na Zitto anaongoza POAC wengi hatukujua kama kuna kamati inaitwa PAC,tulikuwa tunaifahamu POAC lkn baada ya kushikwa na Mzalendo huyu kamati imekuwa machinjio ya viongozi wasiowajibika na wale wanaoliibia taifa.

Hayo ndiyo majawabu kwa maswali yako 16.
 
1.Waoamua kumuita hivo ni kwa utashi wao hawakatazwi ni kama sisi ambao tunaamua kumuita 'Mzalendo'
2.Si kila anayemtetea mtandaoni ni mwana ccm,wengine ni wasiofungamana na upande wowote,wengine ni ACT,wengine ni NCCR nk,Lakini kuwa CCM sio dhambi so hata kama kuna mwana ccm anayemuamini na kumuona Mzalendo kama tunavyomuona sisi ni haki yake kumtetea na wako sawa kama walivyo sawa Chadema ambao wao kwao ni Msaliti.
3.Sina Uhakika na hivo vingine ulivovitaja na unahitaji evidence au maelezo zaidi juu ya ulichokisema,lakini kwa upande wa JF sikubaliani na wewe,kwanza sio kwamba JF haipendi upinzani lakini pia sio kwamba inampendelea.Kama bado unaamini JF inampedelea ni vizuri utoe maelezo zaidi inampendeleaje? sio tu kusema inampendelea hata kama sio kweli.
4.Kuweka kumbukumbu sawa,uchaguzi wa 2010 ZZK na Dr Slaa ndio wanachadema Pekee ambao walizunguka majimbo mengi kuliko wanachadema wengine kufanya kampeni,hiyo tu ni sababu tosha ya kuonyesha kuwa unachoongea sio kweli,ZZK amekuwa akifanya Ziara kwa nguvu zote akiwa CDM,Mimi nilianza kumfatilia zamani,ZZK alikuwa anaenda sehemu anahutubia hadi watu 10 kipindi hicho watu hawaijui CDM na hawajawa na mwamko lakini ZZK believed,alihutubia watu 10 as muda ulivokuwa ukienda 10 wakazaa 100,100 ikazaa 1000,1000 ikazaa 100000 etc hadi Pale alipofukuzwa rasmi.
5.Pesa sio lazima zipatikane kwa ruzuku,kuna miradi ya chama,kuna michango ya kujitolea ya wanachama n.k Kwa kuwa nakujibu hapa next time nitakuja na haya yote nikuonyeshe mikutano inaendeshwa vp usikariri ruzuku tu,ACT inaendeshwa na waTanzania tena wa kawaida. NB: ni vizuri pia ukitaja figure ukawa na proof ya hiyo figure kuwa imetoka wapi mfano Mil 150 ni vizuri ukaelezea source ya hiyo Gharama sio kuleta maneno ya vijiwe vya kahawa.


 
MAJIBU 21 KWA ASANUSYE
1.Walio amua kumuita hivo ni kwa utashi wao hawakatazwi ni kama sisi ambao tunaamua kumuita 'Mzalendo'
2.Si kila anayemtetea mtandaoni ni mwana ccm,wengine ni wasiofungamana na upande wowote,wengine ni ACT,wengine ni NCCR nk,Lakini kuwa CCM sio dhambi so hata kama kuna mwana ccm anayemuamini na kumuona Mzalendo kama tunavyomuona sisi ni haki yake kumtetea na wako sawa kama walivyo sawa Chadema ambao wao kwao ni Msaliti.
3.Sina Uhakika na hivo vingine ulivovitaja na unahitaji evidence au maelezo zaidi juu ya ulichokisema,lakini kwa upande wa JF sikubaliani na wewe,kwanza sio kwamba JF haipendi upinzani lakini pia sio kwamba inampendelea.Kama bado unaamini JF inampedelea ni vizuri utoe maelezo zaidi inampendeleaje? sio tu kusema inampendelea hata kama sio kweli.
4.Kuweka kumbukumbu sawa,uchaguzi wa 2010 ZZK na Dr Slaa ndio wanachadema Pekee ambao walizunguka majimbo mengi kuliko wanachadema wengine kufanya kampeni,hiyo tu ni sababu tosha ya kuonyesha kuwa unachoongea sio kweli,ZZK amekuwa akifanya Ziara kwa nguvu zote akiwa CDM,Mimi nilianza kumfatilia zamani,ZZK alikuwa anaenda sehemu anahutubia hadi watu 10 kipindi hicho watu hawaijui CDM na hawajawa na mwamko lakini ZZK believed,alihutubia watu 10 as muda ulivokuwa ukienda 10 wakazaa 100,100 ikazaa 1000,1000 ikazaa 100000 etc hadi Pale alipofukuzwa rasmi.
5.Pesa sio lazima zipatikane kwa ruzuku,kuna miradi ya chama,kuna michango ya kujitolea ya wanachama n.k Kwa kuwa nakujibu hapa next time nitakuja na haya yote nikuonyeshe mikutano inaendeshwa vp usikariri ruzuku tu,ACT inaendeshwa na waTanzania tena wa kawaida. NB: ni vizuri pia ukitaja figure ukawa na proof ya hiyo figure kuwa imetoka wapi mfano Mil 150 ni vizuri ukaelezea source ya hiyo Gharama sio kuleta maneno ya vijiwe vya kahawa.
6.SIO KWELI,amekuwa akiisema sana serikali ya ccm na ataendelea kuisema kwa kuwa imeshindwa kuwaletea waTanzania maendele wanayo deserve kwa utajiri wa nchi yao,haijafika hata Wiki moja tangu aripoti kuwa Serikali iligawa Tenda kwa Rugemarila bila kufuata sheria na utaratibu huo ni mfano mmoja tu lakini amekuwa akiisema sana serikali.
7.Ni kweli waongeaji ni wengi Including Mwenyekiti,katibu,Prof Kitila nk........Kama ni mfuatiliaji wa soka Nafikiri utakuwa unajua kwa nini Licha ya Real Madrid kuwa na ma foward wengi Lakini anasikika Ronaldo tu,ni ukweli usiopingika kuwa ZZK umaarufu wake wa kisiasa ni Mkubwa hivo hilo la kusikika sana lazima ulitegemee.
8.Again SIO KWELI,naanza kupata shaka na uhalisia wa vitu unavoviongea kwa kuwa vingi sio kweli.Karibu kila sehemu ambazo tumekuwa tukipita tumekuwa tukipata wanachama wengi sana wanaochukua kadi za uanachama,suala la madereva wa Malory ni haki yao pia na kumbuka habaguliwi Mtanzania yeyote ana haki ya kujiunga,kama kuna chama kinabagua madereva wa malory sawa lakini sio ACT,sisi kila mtu ni NDUGU.
9.Kwa hili utalazimika kuwaomba radhi Viongozi wa ACT na wanachama wote na watanzania wote kwa ujumla,ACT na wanachama wote hawana na hawatakuwa na tabia ya kutukana sio tu Chadema bali chama chochote cha siasa,ACT ni kutangaza sera tu kwa wananchi siasa za matusi,chuki,kejeli,name calling etc tunawaachia wanaoziweza ACT hawaziwezi.Alivyo Zitto kuwa hatukani Chadema ndivyo ilivyo ACT nzima na watanzania tunawaomba hilo pia.
10.Wabunge watakaojiunga na ACT hawajitaji kwa sasa sio kuwa wanaogopa kukosa mafao hapana wako tayari lakini wanaogopa kuwapotezea haki za uwakilishi waTanzania waliowachagua endapo watajitangaza sasa kujiunga na ACT.wanasubiri muda ukifika wtajiunga na kuendelea kuwatumikia wanyonge.
11.Ndugu,ukijisikia unakandamizwa ndani ya chama chako,ukiona unaitwa msaliti ndani ya chama chako kisa tu umejaribu kum challenge kiongozi mkuu kwa mambo ya msingi kabisa basi ACT ndio kimbilio lako kwani hakuna kufungwa sauti ndani ya ACT,hakuna kunyimwa nafasi ACT,hakuna kukatazwa kuhoji ndani ya ACT,hao uliowataja wamekutwa na hayo katika vyamam vyao sasa wameamua kwenda ambako watasema wakasikika bila kuitwa wasaliti.
12.Ndugu kuna wanachama wa ACT zaidi ya Milioni moja ambao hukuziona kadi zao wakipewa hadharani,ni uhalisia tu hutaweza kuona kila kadi ya mwanachama lakini tunaendelea kuzigawa,karibu nawe.
13.China ni nchi ya Kijamaa lakini ni moja kati ya nchi yenye mabilionea wengi duniani: Point: Go back to your books, ujamaa sio kukatazwa kumiliki mali ambazo unazipata kwa jasho lako kihalali.
14.Ramadhani Dau ni Ndugu,rafiki,jamaa,Mzazi wa muda mrefu na uhusiano wake na ZZK ni wa kawaida kama ambao wewe unakuwa nao kwa watu husika waliotajwa hapo.
15.Hakuna Ukweli juu ya hili,unahitajika unapoongea mambo kam haya uwe na ushahidi,even a fool can say what you say.
16.Once again,hakuna agizo kama hilo kutoka kwa JK kuwataka wajumbe wa PAC kumchagua ZZK.
17.Hakikuwahi kutokea kitu kama hiko BUT hata kama kweli kwa nini ikuume? This gets too personal now,inaonekana huna hoja ya msingi.
18.Hakuwahi kusema escrow aliibua Ila amesema aliipigania na Huo ndio ukweli,kama mwenyekiti wa PAC alikuwa na influency kubwa ya kilichotokea,Lakini hakuwahi kusema kuwa aliibua sababu huo sio ukweli,Kashfa ya Escrow iliibuliwa na Gazeti la THE CITIZEN na kupelekwa bungeni na mheshimiwa Kafulila baada ya kupata details from The Citizen.
19.Mahusiano yake na hao watu ni Mazuri,ya kibinadamu,kuheshimiana kikazi na kijamii katika kulisukuma Taifa mbele.
20.Ameghairi na sasa anaendelea na Siasa na Amejiunga na Chama cha ACT ambacho ndio mkombozi wa kweli wa watanzania wanyonge.
21.Sio kwamba ukifanya mkutano Lazima ukamatwe,ndi maana hivi karibuni tumeona Mheshimiwa Msigwa amefanya mikutano kwa amani na kumaliza vizuri,vilevile mheshimiwa Sugu amefanya mikutano Mbeya,JJ Mnyika pia amefanya mikutano na imeisha vizuri kwa kuwa ilikuwa ya amani,sasa kama Zitto nae anataka kufanya mkutano kwa Amani kwa nini anyimwe kibali?
 
Teh Teh hakika Bavicha mtajitungia maswali hadi mtachanganyikiwa!

Niliwambia Zitto ni kiboko yenu sasa mna dhihirisha mnavyo lia lia...
Hivi unataka ayajibu hayo maswali kuhusu chadema halafu iweje?

Kumbe ITV;Radio one na Nipashe huwa hawareport siasa za upinzani maana kila siku ITV lazima waoneshe mkutano wa Zitto...TehTeh mwaka huu mtalia sana na vyombo vya habari lakini msahau kuhusu ikulu.

Kumbe Zitto kawauma Bavicha..maana hamlali na mmesahau kabisa kuhusu UKAWA.

Najua mna umizwa kuona ACT inapewa coverage maana hamkutegemea kabisa poleni!

Yani umeuliza maswali ya kitoto ambayo watoto wenzio kila leo kutoka Bavicha huyauliza na Zitto huyajibu..Bavicha Zitto si size yenu kabisa..huyu ni mwalimu wenu wa siasa.

ACT punguzeni speed mtawamaliza Bavicha kila leo ni kutunga maswali kwa mtu waliye sema hawamhitaji..Teh Teh
 
Back
Top Bottom