kiwa khalid
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 636
- 534
Mbaguzi mwenyewe. Cdm hamjapata dk wa kuwatibu.
Hivi mlifukuza Zitto chadema kwa bahati mbaya mbona mnafuatilia sana,mwacheni aendelee na mambo yake.
unajifanya kumpenda ZZK ili utimize azma yako!! wenzako wametengeneza email cjajua ww utatengeneza nn.
Mbona Mbowe kabadili katiba ili awe mwenyekiti wa milele mpo kimya
Chadema hawana akili wote yani walimfukuza Zitto kwa mbwembwe halafu wanataka kumpangia utaratibu wake wa maisha
Wao machadema mikutano ni maandamano na fujo kwa ajili ya umaarufu,wajifunze siasa na sio fujo za kijinga
Kweli kawashika pabaya cdm,mtaulza hata maswal 100 lakn jamaa anawatesa.
Na ninyi muulizeni babu Slaa kwa nini mpaka sasa miaka 90 ana girfriend badala ya mke?
Maswali ya kitoto sana.Ingawa yameshajibiwa mara nyingi tu hapa hapa JF. Leteni mijadala mingine sasa tuneshachoka na thread zenu za kumlilia Zitto.
Huu ni udhaifu sana wa kisiasa
Toka Zitto ahame chadema amekuwa mtu wa kuandamwa kila kukicha na kusemwa kwa ubaya mno.
Inaonyesha huyu mtu alikuwa ni muhimu sana katika chama na kama hakuwa muhimu kwanini anasakamwa sana na wanachama wa chadema!
Zitto usirudi nyuma katika kuleta Mabadiliko ya kweli....
Na ninyi muulizeni babu Slaa kwa nini mpaka sasa miaka 90 ana girfriend badala ya mke?
Zitto hana umuhimu ndani ya Chadema ndo maana alifukuzwa akaenda mahakamani kulinda ubunge.
Hoja ya msingi hapa ni usaliti na si vinginevyo. Mimi watu kama zitto hawanipi shida kuwaelewa namtakia usaliti mwema.
Naamini huyu alikuwa ni mtu muhimu na alikuwa muhimu ndani ya chadema na tuache unafi kwakuwa kaondoka chamani......na kama hakuwa na mchango wowote kwanini msione kama chama kilepunguza mzigo ambao ulikuwa nao wa kubeba watu wasiofaa katika chama?
Bora ungejijibu mwenyewe! Maana sifikirii kama Zitto anamuda mchafu wa kukujibu wewe, unapoteza muda wako tu.Sina siasa za mlengo wowote zaidi ya mimi kuwa mwanamabadiliko. Navutiwa na siasa za upinzani ili kuiondoa CCM, tufanye nashawishika na chama kipya ACT WAZALENDO na hususan kiongozi wake ZITTO ZUBERI KABWE.
Ila naomba anijibu au viongozi wenzie wanijibu maswali haya 21 kuhusu Zitto
1.Kwanini kila sehemu ukianzisha mjadala lazima wengine wamuite yeye msaliti?
2.Kwanini anatetewa na kupendwa na wana CCM mitandaoni na mitaani kuliko wanamabadiliko?
3.Kwanini vyombo vya habari na mitandao isiyo penda vyama vya upinzani kama Clouds Fm,Jambo
leo,uhuru,mzalendo,na jamii forum vinampa upendeleo sana.?
4.Kwanini wakati alipokuwa chadema alikuwa apigi ziara kama sasa ACT, kutafuta wanachama hadi kwenye malori na barabarani....?
5.Nijuavyo mimi ACT hawapati ruzuku yoyote kama vyama vingine vya siasa ambavyo vinauwakilishi je Zitto amepata wapi pesa ya kujaza magari 15 mafuta kila siku.kulipa posho watu 31 kwenye msafara wake,kulipa waandishi wahabari 9 kwenye msafara wake,kulipia P.A.system na music kwenye mikutano yake.kulipia vyumba(guest haouse wa msafara wote huo leo siku ya 8,wakati kwenye akaunti alikuwa ana millioni 18 tuh?
5.Millioni 150 za mkutano mkuu pale diamond jubilee na mabasi matano kutoka kigoma na mwanza,na zile costa 15.kwa muda wasiku 4.kusambazia wajumbe wake Dar es salaam alizitoa wapi na hawana ruzuku? Ikiwa tangu ahamie alikuwa ana siku 4
6.Kwanini huko anakopita kwenye mikutano yake hawaisemi vibaya serikali ya ccm?
7.Kwanini huko kwenye mikutano wanayofanya waongeaji ni wengi ila anasikika yeye tuh?
8.Kwanini mauzo ya kadi za ACT WAZALENDO, yanamwitikio hafifu na yeye anajua hilo.badala chama kikae sehemu moja hata siku tatu kusimika uongozi badala yake anapita kama mbio za mwenge tuh?
9.Kwanini mikutano yake yote anaruhusu viongozi wake na wapambe kama afande sele kuitukana chadema.ila yeye haitukani chadema?
10.Kwanini pia hao wabunge 50 anaosema wanakuja ACT.kwamba wanaohofia kukosa mafao yao.asiwafundishe njia haliyo tumia yeye kujiuzulu na bado mafao anapata.ili nao wajiuzulu muda huu ila mafao wapewe kama yeye Zitto.
11.Kwanini wale wabunge ambao siku nyingi wanatuhumiwa kwa usaliti na kuvujisha siri za chama chao kama LETICIA NYERERE,(rejea gazeti Tazama Tanzania). ndiyo wanaotajwa kuja ACT Na siyo wabunge kama JOHN MNYIKA AU VICENT NYERERE
12.Wakina mchange na mtemelwa walio kuwa wanadai kwenye television mbalimbali kuwa wao bado ni chadema hata kama chadema imewafukuza kwa nini sasa hivi wamepewa ujumbe kamati kuu na hatujawaona kupewa kadi hadharani?
13.Kwanini unajiita mjamaa wakati kwenye mali zako ulizohorodhesha unamiliki kitalu cha gesi?
14.Unaurafiki gani na Ramadhani Dau?
15.Ulipo kuwa mwenyekiti Pac na Ramadhani Dau angali yupo NSSF.mahusiano yenu hayakuhathiri utendaji wako.hata kupata nyumba za NSSF na tenda za kutangaza NSSF?
16.Kwanini uliposhindana na cheyo uenyekiti wa PAC wabunge wa CCM walipewa agizo na mwenyekiti (KIKWETE) Kupitia waziri mkuu pinda wakupigie wewe badala ya cheyo?
17.Kwanini kikwete alipoenda SUDANI KUSINI kwenye sherehe za uhuru aliambatana na wewe na familia yake.akiacha viongozi wenzie wa CCM.?
18.Watanzania amu kuwa aliyepambana na escrow mpaka akitwa tumbili na kutishiwa kuuwa ni KAFULILA na si wewe,lakini wewe unawaaminisha watu kuwa escrow ndiyo uliyeibua na kuipigania?
19.Unazungumziaje mahusiano yako na viongozi wa CCM na serikali kama mwigulu nchemba,LUDOVICK UTTOH?
20.vipikuhusu sakata lako la kutaka kuacha siasa ili urudi chuo au ende kuajiriwa TPDC umeshaghairi?
21.Kwanini Tangu uanze harakati zako za siasa za upinzani ujawahi kunyimwa kibali cha mkutano wala
kufanyiwa vurugugu na ccm au kupata mshimshike wa kukamatwa na kuwekwa ndani kama wapinzani wengine akina lipumba,mbowe,slaa, lisu,lema,au mnyika.?
Tafadhali naomba nijibiwe maswali, nampenda sana Zitto ila kila ninapomuongelea nakutana nayo nashindwa kujibu.
Hayo maswali , nampenda sana Zitto ila kila ninapo muongelea nakutana nayo nashindwa kujibu.
Nati ya kwenye tairi ya gari; inakuwa na umuhimu ikiwa inauwezo wa kushikilia hilo tairi! Inapokatika hata kwa kuchomelea bado inashindikana hiyo nati haifai tena. Mkilazimisha kusafiri na nati mbovu mtaangusha gari na safari itaishia hapo.
Endelea...
Na kama nati hyo isiyofaa na ikawa umeitoa na kuitupa kuna sababu gani kuendelea kuitafuta wkt ushaitupa...
Kama utaendelea kutaitafuta tafsiri yake bado ilikuwa inahitajika na ni muhimu....
NB: BADO INAHITAJIKA.
Sina siasa za mlengo wowote zaidi ya mimi kuwa mwanamabadiliko. Navutiwa na siasa za upinzani ili kuiondoa CCM, tufanye nashawishika na chama kipya ACT WAZALENDO na hususan kiongozi wake ZITTO ZUBERI KABWE.
Ila naomba anijibu au viongozi wenzie wanijibu maswali haya 21 kuhusu Zitto
1.Kwanini kila sehemu ukianzisha mjadala lazima wengine wamuite yeye msaliti?
2.Kwanini anatetewa na kupendwa na wana CCM mitandaoni na mitaani kuliko wanamabadiliko?
3.Kwanini vyombo vya habari na mitandao isiyo penda vyama vya upinzani kama Clouds Fm,Jambo
leo,uhuru,mzalendo,na jamii forum vinampa upendeleo sana.?
4.Kwanini wakati alipokuwa chadema alikuwa apigi ziara kama sasa ACT, kutafuta wanachama hadi kwenye malori na barabarani....?
5.Nijuavyo mimi ACT hawapati ruzuku yoyote kama vyama vingine vya siasa ambavyo vinauwakilishi je Zitto amepata wapi pesa ya kujaza magari 15 mafuta kila siku.kulipa posho watu 31 kwenye msafara wake,kulipa waandishi wahabari 9 kwenye msafara wake,kulipia P.A.system na music kwenye mikutano yake.kulipia vyumba(guest haouse wa msafara wote huo leo siku ya 8,wakati kwenye akaunti alikuwa ana millioni 18 tuh?
5.Millioni 150 za mkutano mkuu pale diamond jubilee na mabasi matano kutoka kigoma na mwanza,na zile costa 15.kwa muda wasiku 4.kusambazia wajumbe wake Dar es salaam alizitoa wapi na hawana ruzuku? Ikiwa tangu ahamie alikuwa ana siku 4
6.Kwanini huko anakopita kwenye mikutano yake hawaisemi vibaya serikali ya ccm?
7.Kwanini huko kwenye mikutano wanayofanya waongeaji ni wengi ila anasikika yeye tuh?
8.Kwanini mauzo ya kadi za ACT WAZALENDO, yanamwitikio hafifu na yeye anajua hilo.badala chama kikae sehemu moja hata siku tatu kusimika uongozi badala yake anapita kama mbio za mwenge tuh?
9.Kwanini mikutano yake yote anaruhusu viongozi wake na wapambe kama afande sele kuitukana chadema.ila yeye haitukani chadema?
10.Kwanini pia hao wabunge 50 anaosema wanakuja ACT.kwamba wanaohofia kukosa mafao yao.asiwafundishe njia haliyo tumia yeye kujiuzulu na bado mafao anapata.ili nao wajiuzulu muda huu ila mafao wapewe kama yeye Zitto.
11.Kwanini wale wabunge ambao siku nyingi wanatuhumiwa kwa usaliti na kuvujisha siri za chama chao kama LETICIA NYERERE,(rejea gazeti Tazama Tanzania). ndiyo wanaotajwa kuja ACT Na siyo wabunge kama JOHN MNYIKA AU VICENT NYERERE
12.Wakina mchange na mtemelwa walio kuwa wanadai kwenye television mbalimbali kuwa wao bado ni chadema hata kama chadema imewafukuza kwa nini sasa hivi wamepewa ujumbe kamati kuu na hatujawaona kupewa kadi hadharani?
13.Kwanini unajiita mjamaa wakati kwenye mali zako ulizohorodhesha unamiliki kitalu cha gesi?
14.Unaurafiki gani na Ramadhani Dau?
15.Ulipo kuwa mwenyekiti Pac na Ramadhani Dau angali yupo NSSF.mahusiano yenu hayakuhathiri utendaji wako.hata kupata nyumba za NSSF na tenda za kutangaza NSSF?
16.Kwanini uliposhindana na cheyo uenyekiti wa PAC wabunge wa CCM walipewa agizo na mwenyekiti (KIKWETE) Kupitia waziri mkuu pinda wakupigie wewe badala ya cheyo?
17.Kwanini kikwete alipoenda SUDANI KUSINI kwenye sherehe za uhuru aliambatana na wewe na familia yake.akiacha viongozi wenzie wa CCM.?
18.Watanzania amu kuwa aliyepambana na escrow mpaka akitwa tumbili na kutishiwa kuuwa ni KAFULILA na si wewe,lakini wewe unawaaminisha watu kuwa escrow ndiyo uliyeibua na kuipigania?
19.Unazungumziaje mahusiano yako na viongozi wa CCM na serikali kama mwigulu nchemba,LUDOVICK UTTOH?
20.vipikuhusu sakata lako la kutaka kuacha siasa ili urudi chuo au ende kuajiriwa TPDC umeshaghairi?
21.Kwanini Tangu uanze harakati zako za siasa za upinzani ujawahi kunyimwa kibali cha mkutano wala
kufanyiwa vurugugu na ccm au kupata mshimshike wa kukamatwa na kuwekwa ndani kama wapinzani wengine akina lipumba,mbowe,slaa, lisu,lema,au mnyika.?
Tafadhali naomba nijibiwe maswali, nampenda sana Zitto ila kila ninapomuongelea nakutana nayo nashindwa kujibu.
Hayo maswali , nampenda sana Zitto ila kila ninapo muongelea nakutana nayo nashindwa kujibu.
Hahahahh kweli huna akili sasa ulivyo hudhulia ndio ushahidi au????
Maswali ya kitoto sana.Ingawa yameshajibiwa mara nyingi tu hapa hapa JF. Leteni mijadala mingine sasa tuneshachoka na thread zenu za kumlilia Zitto.
mikutano mingi ya ACT inaisha ndani ya mda wa mikutano unavyo pangwa sasa cdm huwa hamtaki kutii takwa la kisheria.
zito nimtoto wa mjini anajua siasa za tanzania hataki wanyonge tuvunjwe miguu bila sababu yoyote.
mikutano yake hawezi kuwaponda mbowe na lipumba yeye anataka hata nyinyi cdm mfanye siasa safi sio kutukana tu majukwaani
ccm anaiponda sana nandiomaana anasema nchi hii wanaonufaika ni wachache kwasababu ya mfumo mbovu wa serikali ya ccm.au ulitaka aseme ccm washenzi ndio utafurahi?
Na kama nati hyo isiyofaa na ikawa umeitoa na kuitupa kuna sababu gani kuendelea kuitafuta wkt ushaitupa...
Kama utaendelea kutaitafuta tafsiri yake bado ilikuwa inahitajika na ni muhimu....
NB: BADO INAHITAJIKA.
Bora ungejijibu mwenyewe! Maana sifikirii kama Zitto anamuda mchafu wa kukujibu wewe, unapoteza muda wako tu.
Sidhani kama Chadema wanashida na hiyo nati, bali wananchi wanajikita kwenye maudhui yaliyomo ndani yake na kujikita zaidi kwenye kile kisemwacho usaliti.watawala huwatumia sana watu wa namna hiyo kulinda matakwa yao. Waache watu wamchambue msaliti wala hakuna shida.