Maswali 21 kwa Zitto Kabwe

Maswali 21 kwa Zitto Kabwe

Hivi mlifukuza Zitto chadema kwa bahati mbaya mbona mnafuatilia sana,mwacheni aendelee na mambo yake.

unajifanya kumpenda ZZK ili utimize azma yako!! wenzako wametengeneza email cjajua ww utatengeneza nn.

Mbona Mbowe kabadili katiba ili awe mwenyekiti wa milele mpo kimya

Chadema hawana akili wote yani walimfukuza Zitto kwa mbwembwe halafu wanataka kumpangia utaratibu wake wa maisha

Wao machadema mikutano ni maandamano na fujo kwa ajili ya umaarufu,wajifunze siasa na sio fujo za kijinga

Kweli kawashika pabaya cdm,mtaulza hata maswal 100 lakn jamaa anawatesa.

Na ninyi muulizeni babu Slaa kwa nini mpaka sasa miaka 90 ana girfriend badala ya mke?

Maswali ya kitoto sana.Ingawa yameshajibiwa mara nyingi tu hapa hapa JF. Leteni mijadala mingine sasa tuneshachoka na thread zenu za kumlilia Zitto.

Pole, kwanza hawezi kuja hapa kukujibu hayo maswali yako. Subiri mavuvuzela yake yaje hapa kupiga kelele yakishirikiana na Yale ya lumumba
. ... Mwenye hii post alitabiri vizuri
 
Huu ni udhaifu sana wa kisiasa

Toka Zitto ahame chadema amekuwa mtu wa kuandamwa kila kukicha na kusemwa kwa ubaya mno.
Inaonyesha huyu mtu alikuwa ni muhimu sana katika chama na kama hakuwa muhimu kwanini anasakamwa sana na wanachama wa chadema!

Zitto usirudi nyuma katika kuleta Mabadiliko ya kweli....

Zitto hana umuhimu ndani ya Chadema ndo maana alifukuzwa akaenda mahakamani kulinda ubunge.

Hoja ya msingi hapa ni usaliti na si vinginevyo. Mimi watu kama zitto hawanipi shida kuwaelewa namtakia usaliti mwema.
 
Zitto hana umuhimu ndani ya Chadema ndo maana alifukuzwa akaenda mahakamani kulinda ubunge.

Hoja ya msingi hapa ni usaliti na si vinginevyo. Mimi watu kama zitto hawanipi shida kuwaelewa namtakia usaliti mwema.

Naamini huyu alikuwa ni mtu muhimu na alikuwa muhimu ndani ya chadema na tuache unafi kwakuwa kaondoka chamani......na kama hakuwa na mchango wowote kwanini msione kama chama kilepunguza mzigo ambao ulikuwa nao wa kubeba watu wasiofaa katika chama?
 
Naamini huyu alikuwa ni mtu muhimu na alikuwa muhimu ndani ya chadema na tuache unafi kwakuwa kaondoka chamani......na kama hakuwa na mchango wowote kwanini msione kama chama kilepunguza mzigo ambao ulikuwa nao wa kubeba watu wasiofaa katika chama?

Nati ya kwenye tairi ya gari; inakuwa na umuhimu ikiwa inauwezo wa kushikilia hilo tairi! Inapokatika hata kwa kuchomelea bado inashindikana hiyo nati haifai tena. Mkilazimisha kusafiri na nati mbovu mtaangusha gari na safari itaishia hapo.

Endelea...
 
Sina siasa za mlengo wowote zaidi ya mimi kuwa mwanamabadiliko. Navutiwa na siasa za upinzani ili kuiondoa CCM, tufanye nashawishika na chama kipya ACT WAZALENDO na hususan kiongozi wake ZITTO ZUBERI KABWE.

Ila naomba anijibu au viongozi wenzie wanijibu maswali haya 21 kuhusu Zitto

1.Kwanini kila sehemu ukianzisha mjadala lazima wengine wamuite yeye msaliti?

2.Kwanini anatetewa na kupendwa na wana CCM mitandaoni na mitaani kuliko wanamabadiliko?

3.Kwanini vyombo vya habari na mitandao isiyo penda vyama vya upinzani kama Clouds Fm,Jambo
leo,uhuru,mzalendo,na jamii forum vinampa upendeleo sana.?

4.Kwanini wakati alipokuwa chadema alikuwa apigi ziara kama sasa ACT, kutafuta wanachama hadi kwenye malori na barabarani....?

5.Nijuavyo mimi ACT hawapati ruzuku yoyote kama vyama vingine vya siasa ambavyo vinauwakilishi je Zitto amepata wapi pesa ya kujaza magari 15 mafuta kila siku.kulipa posho watu 31 kwenye msafara wake,kulipa waandishi wahabari 9 kwenye msafara wake,kulipia P.A.system na music kwenye mikutano yake.kulipia vyumba(guest haouse wa msafara wote huo leo siku ya 8,wakati kwenye akaunti alikuwa ana millioni 18 tuh?
5.Millioni 150 za mkutano mkuu pale diamond jubilee na mabasi matano kutoka kigoma na mwanza,na zile costa 15.kwa muda wasiku 4.kusambazia wajumbe wake Dar es salaam alizitoa wapi na hawana ruzuku? Ikiwa tangu ahamie alikuwa ana siku 4

6.Kwanini huko anakopita kwenye mikutano yake hawaisemi vibaya serikali ya ccm?

7.Kwanini huko kwenye mikutano wanayofanya waongeaji ni wengi ila anasikika yeye tuh?

8.Kwanini mauzo ya kadi za ACT WAZALENDO, yanamwitikio hafifu na yeye anajua hilo.badala chama kikae sehemu moja hata siku tatu kusimika uongozi badala yake anapita kama mbio za mwenge tuh?

9.Kwanini mikutano yake yote anaruhusu viongozi wake na wapambe kama afande sele kuitukana chadema.ila yeye haitukani chadema?

10.Kwanini pia hao wabunge 50 anaosema wanakuja ACT.kwamba wanaohofia kukosa mafao yao.asiwafundishe njia haliyo tumia yeye kujiuzulu na bado mafao anapata.ili nao wajiuzulu muda huu ila mafao wapewe kama yeye Zitto.

11.Kwanini wale wabunge ambao siku nyingi wanatuhumiwa kwa usaliti na kuvujisha siri za chama chao kama LETICIA NYERERE,(rejea gazeti Tazama Tanzania). ndiyo wanaotajwa kuja ACT Na siyo wabunge kama JOHN MNYIKA AU VICENT NYERERE

12.Wakina mchange na mtemelwa walio kuwa wanadai kwenye television mbalimbali kuwa wao bado ni chadema hata kama chadema imewafukuza kwa nini sasa hivi wamepewa ujumbe kamati kuu na hatujawaona kupewa kadi hadharani?

13.Kwanini unajiita mjamaa wakati kwenye mali zako ulizohorodhesha unamiliki kitalu cha gesi?

14.Unaurafiki gani na Ramadhani Dau?

15.Ulipo kuwa mwenyekiti Pac na Ramadhani Dau angali yupo NSSF.mahusiano yenu hayakuhathiri utendaji wako.hata kupata nyumba za NSSF na tenda za kutangaza NSSF?

16.Kwanini uliposhindana na cheyo uenyekiti wa PAC wabunge wa CCM walipewa agizo na mwenyekiti (KIKWETE) Kupitia waziri mkuu pinda wakupigie wewe badala ya cheyo?

17.Kwanini kikwete alipoenda SUDANI KUSINI kwenye sherehe za uhuru aliambatana na wewe na familia yake.akiacha viongozi wenzie wa CCM.?

18.Watanzania amu kuwa aliyepambana na escrow mpaka akitwa tumbili na kutishiwa kuuwa ni KAFULILA na si wewe,lakini wewe unawaaminisha watu kuwa escrow ndiyo uliyeibua na kuipigania?

19.Unazungumziaje mahusiano yako na viongozi wa CCM na serikali kama mwigulu nchemba,LUDOVICK UTTOH?

20.vipikuhusu sakata lako la kutaka kuacha siasa ili urudi chuo au ende kuajiriwa TPDC umeshaghairi?

21.Kwanini Tangu uanze harakati zako za siasa za upinzani ujawahi kunyimwa kibali cha mkutano wala
kufanyiwa vurugugu na ccm au kupata mshimshike wa kukamatwa na kuwekwa ndani kama wapinzani wengine akina lipumba,mbowe,slaa, lisu,lema,au mnyika.?

Tafadhali naomba nijibiwe maswali, nampenda sana Zitto ila kila ninapomuongelea nakutana nayo nashindwa kujibu.
Hayo maswali , nampenda sana Zitto ila kila ninapo muongelea nakutana nayo nashindwa kujibu.
Bora ungejijibu mwenyewe! Maana sifikirii kama Zitto anamuda mchafu wa kukujibu wewe, unapoteza muda wako tu.
 
Nati ya kwenye tairi ya gari; inakuwa na umuhimu ikiwa inauwezo wa kushikilia hilo tairi! Inapokatika hata kwa kuchomelea bado inashindikana hiyo nati haifai tena. Mkilazimisha kusafiri na nati mbovu mtaangusha gari na safari itaishia hapo.

Endelea...

Na kama nati hyo isiyofaa na ikawa umeitoa na kuitupa kuna sababu gani kuendelea kuitafuta wkt ushaitupa...

Kama utaendelea kutaitafuta tafsiri yake bado ilikuwa inahitajika na ni muhimu....

NB: BADO INAHITAJIKA.
 
mikutano mingi ya ACT inaisha ndani ya mda wa mikutano unavyo pangwa sasa cdm huwa hamtaki kutii takwa la kisheria.

zito nimtoto wa mjini anajua siasa za tanzania hataki wanyonge tuvunjwe miguu bila sababu yoyote.

mikutano yake hawezi kuwaponda mbowe na lipumba yeye anataka hata nyinyi cdm mfanye siasa safi sio kutukana tu majukwaani

ccm anaiponda sana nandiomaana anasema nchi hii wanaonufaika ni wachache kwasababu ya mfumo mbovu wa serikali ya ccm.au ulitaka aseme ccm washenzi ndio utafurahi?
 
Kuna tetesi kuwa ZZK aliwahi kupewa briefcase iliyojaa dollar na mdau mmoja hotelini ujerumani wakiwa katika safari ya kwenda kukagua mabilioni yaliyofichwa uswisi inasemekana tokea hapo ZZK alianza kazi rasmi ya kuisariti CDM.Afisa huyo aliwahi kufanya kazi za kidpromasia hapa Tanzania na wakati huo alikuwa amemaliza mda wake,hiyo ilikuwa kutimiza adhma ya ccm.
 
Na kama nati hyo isiyofaa na ikawa umeitoa na kuitupa kuna sababu gani kuendelea kuitafuta wkt ushaitupa...

Kama utaendelea kutaitafuta tafsiri yake bado ilikuwa inahitajika na ni muhimu....

NB: BADO INAHITAJIKA.

Sidhani kama Chadema wanashida na hiyo nati, bali wananchi wanajikita kwenye maudhui yaliyomo ndani yake na kujikita zaidi kwenye kile kisemwacho usaliti.watawala huwatumia sana watu wa namna hiyo kulinda matakwa yao. Waache watu wamchambue msaliti wala hakuna shida.
 
Sina siasa za mlengo wowote zaidi ya mimi kuwa mwanamabadiliko. Navutiwa na siasa za upinzani ili kuiondoa CCM, tufanye nashawishika na chama kipya ACT WAZALENDO na hususan kiongozi wake ZITTO ZUBERI KABWE.

Ila naomba anijibu au viongozi wenzie wanijibu maswali haya 21 kuhusu Zitto

1.Kwanini kila sehemu ukianzisha mjadala lazima wengine wamuite yeye msaliti?

2.Kwanini anatetewa na kupendwa na wana CCM mitandaoni na mitaani kuliko wanamabadiliko?

3.Kwanini vyombo vya habari na mitandao isiyo penda vyama vya upinzani kama Clouds Fm,Jambo
leo,uhuru,mzalendo,na jamii forum vinampa upendeleo sana.?

4.Kwanini wakati alipokuwa chadema alikuwa apigi ziara kama sasa ACT, kutafuta wanachama hadi kwenye malori na barabarani....?

5.Nijuavyo mimi ACT hawapati ruzuku yoyote kama vyama vingine vya siasa ambavyo vinauwakilishi je Zitto amepata wapi pesa ya kujaza magari 15 mafuta kila siku.kulipa posho watu 31 kwenye msafara wake,kulipa waandishi wahabari 9 kwenye msafara wake,kulipia P.A.system na music kwenye mikutano yake.kulipia vyumba(guest haouse wa msafara wote huo leo siku ya 8,wakati kwenye akaunti alikuwa ana millioni 18 tuh?
5.Millioni 150 za mkutano mkuu pale diamond jubilee na mabasi matano kutoka kigoma na mwanza,na zile costa 15.kwa muda wasiku 4.kusambazia wajumbe wake Dar es salaam alizitoa wapi na hawana ruzuku? Ikiwa tangu ahamie alikuwa ana siku 4

6.Kwanini huko anakopita kwenye mikutano yake hawaisemi vibaya serikali ya ccm?

7.Kwanini huko kwenye mikutano wanayofanya waongeaji ni wengi ila anasikika yeye tuh?

8.Kwanini mauzo ya kadi za ACT WAZALENDO, yanamwitikio hafifu na yeye anajua hilo.badala chama kikae sehemu moja hata siku tatu kusimika uongozi badala yake anapita kama mbio za mwenge tuh?

9.Kwanini mikutano yake yote anaruhusu viongozi wake na wapambe kama afande sele kuitukana chadema.ila yeye haitukani chadema?

10.Kwanini pia hao wabunge 50 anaosema wanakuja ACT.kwamba wanaohofia kukosa mafao yao.asiwafundishe njia haliyo tumia yeye kujiuzulu na bado mafao anapata.ili nao wajiuzulu muda huu ila mafao wapewe kama yeye Zitto.

11.Kwanini wale wabunge ambao siku nyingi wanatuhumiwa kwa usaliti na kuvujisha siri za chama chao kama LETICIA NYERERE,(rejea gazeti Tazama Tanzania). ndiyo wanaotajwa kuja ACT Na siyo wabunge kama JOHN MNYIKA AU VICENT NYERERE

12.Wakina mchange na mtemelwa walio kuwa wanadai kwenye television mbalimbali kuwa wao bado ni chadema hata kama chadema imewafukuza kwa nini sasa hivi wamepewa ujumbe kamati kuu na hatujawaona kupewa kadi hadharani?

13.Kwanini unajiita mjamaa wakati kwenye mali zako ulizohorodhesha unamiliki kitalu cha gesi?

14.Unaurafiki gani na Ramadhani Dau?

15.Ulipo kuwa mwenyekiti Pac na Ramadhani Dau angali yupo NSSF.mahusiano yenu hayakuhathiri utendaji wako.hata kupata nyumba za NSSF na tenda za kutangaza NSSF?

16.Kwanini uliposhindana na cheyo uenyekiti wa PAC wabunge wa CCM walipewa agizo na mwenyekiti (KIKWETE) Kupitia waziri mkuu pinda wakupigie wewe badala ya cheyo?

17.Kwanini kikwete alipoenda SUDANI KUSINI kwenye sherehe za uhuru aliambatana na wewe na familia yake.akiacha viongozi wenzie wa CCM.?

18.Watanzania amu kuwa aliyepambana na escrow mpaka akitwa tumbili na kutishiwa kuuwa ni KAFULILA na si wewe,lakini wewe unawaaminisha watu kuwa escrow ndiyo uliyeibua na kuipigania?

19.Unazungumziaje mahusiano yako na viongozi wa CCM na serikali kama mwigulu nchemba,LUDOVICK UTTOH?

20.vipikuhusu sakata lako la kutaka kuacha siasa ili urudi chuo au ende kuajiriwa TPDC umeshaghairi?

21.Kwanini Tangu uanze harakati zako za siasa za upinzani ujawahi kunyimwa kibali cha mkutano wala
kufanyiwa vurugugu na ccm au kupata mshimshike wa kukamatwa na kuwekwa ndani kama wapinzani wengine akina lipumba,mbowe,slaa, lisu,lema,au mnyika.?

Tafadhali naomba nijibiwe maswali, nampenda sana Zitto ila kila ninapomuongelea nakutana nayo nashindwa kujibu.
Hayo maswali , nampenda sana Zitto ila kila ninapo muongelea nakutana nayo nashindwa kujibu.

Maswali ya kitoto kama haya hakuna mwenye akili anayeweza kukujibu, yamejibiwa mara nyingi. Umeamua kujitoa fahamu tunakuacha kama ulivyo, ushauri wa bure jengeni chama chenu, mwacheni zito afanye yake.
 
Katika maswali yako kuna points lakin vile vile kuna pumba kibao
 
Eti kwann zitto hapondi serilali?
Au kwann hafanyiwi fujo na polisi?
Hizi naona kama ni pimba sidhani kama kuna chama cha upinzani sera zake ni kuponda tu serikali hata chadema naamimi wanasera zao na malengo ambayo wanatakiwa kutueleza wananchi tukawaachia dola sio siasa za kuchafuana zishapitwa na wakati
 
Maswali ya kitoto sana.Ingawa yameshajibiwa mara nyingi tu hapa hapa JF. Leteni mijadala mingine sasa tuneshachoka na thread zenu za kumlilia Zitto.



Ccm baada ya kusambaratisha Nccr mageuzi 1995, na cuf 2000 kwa siasa za udini na majambia ya IGP Mahita,imeona chadema mbinu ya udini,ukanda,ukabila,ugaidi na Propaganda zinazoelekezwa kwa Mbowe na Dr.Slaa kukwama,Kete ya Mwisho kumtumia Zitto kujaribu kuiua chadema ili 2015 waseme tupeni sisi hatuna vurugu,kama wao wanafukuzana Serikali wataongozaje?
 
mikutano mingi ya ACT inaisha ndani ya mda wa mikutano unavyo pangwa sasa cdm huwa hamtaki kutii takwa la kisheria.

zito nimtoto wa mjini anajua siasa za tanzania hataki wanyonge tuvunjwe miguu bila sababu yoyote.

mikutano yake hawezi kuwaponda mbowe na lipumba yeye anataka hata nyinyi cdm mfanye siasa safi sio kutukana tu majukwaani

ccm anaiponda sana nandiomaana anasema nchi hii wanaonufaika ni wachache kwasababu ya mfumo mbovu wa serikali ya ccm.au ulitaka aseme ccm washenzi ndio utafurahi?

Upo katika swali 2 la pili wewe
 
Na kama nati hyo isiyofaa na ikawa umeitoa na kuitupa kuna sababu gani kuendelea kuitafuta wkt ushaitupa...

Kama utaendelea kutaitafuta tafsiri yake bado ilikuwa inahitajika na ni muhimu....

NB: BADO INAHITAJIKA.

Msibushane acheni aje kujibu maswali yake.hizo zingine ni hisia tuh.ndiyo maana nimeanza kwa kusema mimi nampenda Zitto.
 
Sidhani kama Chadema wanashida na hiyo nati, bali wananchi wanajikita kwenye maudhui yaliyomo ndani yake na kujikita zaidi kwenye kile kisemwacho usaliti.watawala huwatumia sana watu wa namna hiyo kulinda matakwa yao. Waache watu wamchambue msaliti wala hakuna shida.

Huu ndio huwa mwanzo wa kudhorotisha upinzani...badala ya kutumia nguvu kubwa kumpiga mtawala aliyetutumbukiza kwenye dhiki na maisha magumu tunaitumia nguvu hiyo kumshambulia mpinzani mwingine.

Hizi siasa za chuki hazina mwisho mwema na ni vizuri kukubali kwa mazuri aliyoyafanya na kuangalia kwa jicho la tatu mabaya because in human being no perfection.

Zitto ni mwanasiasa anayejiamini kwakile anachokitekeleza na naamini atakuwa mwiba kwa watendaji wabovu na wenye chuki za kisiasa.
 
Back
Top Bottom