Maswali 11 kwa Baba Askofu Dallu

Maswali 11 kwa Baba Askofu Dallu

Mimi ninapomsikia Kiongozi wa dini anapokuja Kujenga hoja yake, na kuishia kujikita tu kwa kusema kitu fulani sio 'utamaduni' wetu, huwa mara zote najiuliza maswali haya...

1/Toka lini Ukristo na uislamu vikawa ni utamaduni wa Mwafrika?

2/Toka lini Uvaaji wa nguo kufunika miili yetu na kutusitiri vyema miili yetu vikawa utamaduni wa mwafrika?

3/Toka lini kwenda hospitali kutibiwa kwa sindano, vidonge, chanjo, operesheni nk vikawa utamaduni wa mwafrika?

4/Kwanini utamaduni wa asili wa mwamfrika wa kutambika, kuroga, kuagua tunaupiga vita sasa? (Kwa sasa viongozi wa dini wanasema tuache hayo ili tutumie Dua, sala na maombi tu)

5/Kwanini utamaduni wa asili wa jamii nyingi za kiafrika wa kukeketa wanawake tunaupiga vita?

6/Toka lini kwenda shule na vyuo vikawa ni utamaduni wa mwafrika?

7/Kwanini tamaduni za kiafrika za kurithi mke wa marehemu tunazipiga vita sasa?

8/Kwanini tamaduni za kiafrika za kuwaangamiza watoto wenye aina fulani hivi za kasoro za kimaumbile(Kama ulemavu) tunazipiga vita?

9/Tangu lini ushenzi wa kujamiiana(Ubakaji, Ulawiti, Ushoga, Usagaji) leo hii umekuwa utamaduni wa kigeni wakati huo uchafu umekuwepo kwenye jamii na tamaduni za kiafrika toka enzi na enzi na hakuonekana kama ni tatizo kwao?

10/Kwanini utamaduni wa Kuendekeza ujinga na uchafu uliokuwepo kwenye maisha ya kila siku ya mwafrika tunapambana kuupiga vita sasa? (Leo hii tunahimizwa tuwe na vyoo visafi na vya kisasa wakati utamaduni wa mwafrika ulikuwa ni kujisaidia vichakani tu ili kuongeza rutuba mashambani!!)

11/Hivi utamaduni wa kusafiria Pikipiki, Magari, Ndege nk. tumeutoa wapi wakati utamaduni wa mwafrika ni kutembea kwa miguu au kupanda Punda nk.

12/Hivi utamaduni wa Kula kwa vijiko, kunawa mikono kabla ya kula, Kutumia simu za mkononi, Tv, Radio, Mitandao hivi waafrika tumeuiga wapi?
 
Usihangaike sana na Kanisa awamu hii, litaunga mkono pasipo kuhoji kila kitakachosemwa na Mkuu katika awamu hii.

Hii kauli ingekuwa ilitolewa na Rais Mwislamu basi ungeona matakamko kona zote za nchi.[/QUOTE]
Kama tumefika hapo ni hatari
 
Mimi ninapomsikia Kiongozi wa dini anapokuja na hoja ya kusema kitu fulani sio 'utamaduni' wetu, huwa mara zote najiuliza maswali haya...

1/Toka lini Ukristo na uislamu vikawa ni utamaduni wa Mwafrika?

2/Toka lini Uvaaji wa nguo kufunika miili yetu na kutusitiri vyema miili yetu vikawa utamaduni wa mwafrika?

3/Toka lini kwenda hospitali kutibiwa kwa sindano, vidonge, chanzo, operesheni nk vikawa utamaduni wa mwafrika?

4/Kwanini utamaduni wa asili wa mwamfrika wa kutambika, kuroga, kuagua tunaupiga vita sasa? (Kwa sasa viongozi wa dini wanasema tuache hayo ili tutumie Dua, sala na maombi tu)

5/Kwanini utamaduni wa asili wa jamii nyingi za kiafrika wa kukeketa wanawake tunaupiga vita?

6/Toka lini kwenda shule na vyuo vikawa ni utamaduni wa mwamfrika?

7/Kwanini tamaduni za kiafrika za kurithi mke wa marehemu tunazipiga vita sasa?

8/Kwanini tamaduni za kiafrika za kuwaangamiza watoto wenye aina fulani hivi za kimaumbile(Kama ulemavu) tunazipiga vita?

9/Tangu lini ushenzi wa kujamiiana(Ubakaji, Ulawiti, Ushoga, Usagaji) leo hii umekuwa utamaduni wa kigeni wakati huo uchafu umekuwepo kwenye jamii na tamaduni za kiafrika toka enzi na enzi na hakuonekana kama ni tatizo?

10/Kwanini utamaduni wa Kuendekeza ujinga na uchafu uliokuwepo kwenye maisha ya kila siku ya mwafrika tunapambana kuupiga vita sasa? (Leo hii tunahimizwa tuwe na vyoo visafi na vya kisasa wakati utamaduni wa mwafrika ulikuwa ni kujisaidia vichakani tu ili kuongeza rutuba mashambani!!)

11/Hivi utamaduni wa kusafiria Pikipiki, Magari, Ndege nk. tumeutoa wapi wakati utamaduni wa mwafrika ni kutembea kwa miguu au kupanda Punda nk.
Umeua, we close the deal!
 
Kiasili, toka enzi ya ukoloni, Kanisa lilisimama upande wa wadhalimu, na hilo ndio jukumu la kuletwa kwake Afrika na kwingineko wazungu walikokua na nia ya kutawala. Ni bahati mbaya waafrika hili hawakulijua. Mohamed Said amejitahidi sana kuwaeleza watanzania siri hii lakini hawakumuelewa. Sasa mtamuelewa tu.
 
Hivi askofu huyo anajua pia kuwa basdhi ya wanafunzi wanapewa ujauzito au mimba na mapadri ambao hawaruhusiwi kufanya mapenzi?
 
Jamani mfungue shule zenu za kusomesha hao wanafunzi wanaobeba mimba masomoni.
 
Hakuna watu wanafiki km viongozi wa kanisa Katoliki. Ukiwakuta wamevaa makanzu yao marefu na misalaba mikubwa vifuani, Utafiriki wao wako karibu sana na Mwenyezi Mungu kuliko mtu yeyote lakini tazama ndani ya makanzu yao ni unafiki mtupu. Nawashangaa waumini wao wanao waamini wakitegemea kwenda mbingu kwa vile unapiga goti kwa Padre kutubu dhambi..
 
Askofu kamaliza, kasema wazi hakuna Shule ya Kanisa Katoliki itakayoruhusu mimba. Huo ndiyo msimamo; wewe unamhoji Askofu ukiwa kama nani? Kama nia yako ni kuwagurahisha CHADEMA au mashoga, go ahead. Hapa ndiyo mahala pake.
.
Hiyo ni silaha nyingine ya ujambazi wa kifalsafa--fallacy of association. Tunaongelea mimba za watoto wa kike unaleta habari ya ushoga. Kwani mashoga wanabeba mimba, kama ilivyo kwa watoto wa kike?
 
Askofu kamaliza, kasema wazi hakuna Shule ya Kanisa Katoliki itakayoruhusu mimba. Huo ndiyo msimamo; wewe unamhoji Askofu ukiwa kama nani? Kama nia yako ni kuwagurahisha CHADEMA au mashoga, go ahead. Hapa ndiyo mahala pake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa maskofu si ndiyo wanapumuliana kisogoni? Au huyu ni tofauti?
 
Hakuna sehemu ktk vyuo Vya ualimu nchini kwa ngazi ya astashahada au stashahada ambavyo mwalimu anafundishwa jinsi ya kumfundisha Mzazi mwenye mtoto.........yaani wanafunzi mjamzito au ana mtoto halafu aendelee kubaki shule??? Wakati keshafundishwa good manners akiwa kidato cha kwanza na akashindwa.......acheni sanaa ktk Elimu. Kama ameshindwa kusoma aangalie utaratibu mwingine wa maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafsiri ya kushindwa kusoma ni kupata ujauzito? Na unapopata ujauzito stahili yako/yake ni kuwa mjinga? Mawazo ya wapi haya?
 
me naomba kujuzwa jamani kwani tendo la ngono na tendo la ndoa ni matendo mawili tofauti? na vipo kwenye wajibu wa wanafunzi kuna moja kati ya matendo hayo ameruhusiwa afanye anapokuwa masomoni au kuna sheria ya shule inayoruhusu mwanafunzi kufanya matendo hayo? km hakuna sheria ilo ruhusu kufanya sheria inasemaje kwa mwanafunzi alopatikana na kosa la kufanya either tendo la ngono or tendo la ndoa msaada jamani nataka muongozo na me nijue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pamoja na hayo wanaopata mimba na kulea watoto wapelekwe kwenye mfumo wa elimu ya watu wazma na kuja kuungana na wenzao vyuon,kingine cjaona dhehebu lenye shule za gharama nafuu yaan elimu bure kama yapo mnisaidie
 
Rtbkazoba
Nimependa ufafanuzi wako, sana ila labda nikukumbushe tuu kidogo, we we Kwa upeo wako mkuvwa namna hiyo ulidhani au unadhani IPO Siku au kuna Siku archbishop tena Wa kanisa LA katoliki atazungumza mambo au maneno yatakayowaudhi watu Wa serikali hasa? Tuliona hapa hapa nchii ilivyogawanyika wakati Wa bunge LA katiba hakuna yeyote aliyesema lolote mpaka sasa yaliyotokea wote tuliyaona, sie Kazi yetu ni kuhubiri neno LA mungu na amani pasipo haki.
Pole sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Askofu kamaliza, kasema wazi hakuna Shule ya Kanisa Katoliki itakayoruhusu mimba. Huo ndiyo msimamo; wewe unamhoji Askofu ukiwa kama nani? Kama nia yako ni kuwagurahisha CHADEMA au mashoga, go ahead. Hapa ndiyo mahala pake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau kuwa huo wa kuwarudisha wazazi shule ndio msimamo wa CCM, waulize Samia na Ummy. Wamegeuka ghafla kama vinyonga. CCM nayo Hawasemi kwani ' Kinyago walichokichonga na kukiweka sebuleni wanakiogopa - Msukuma'.
Mimi kama wangeitisha kura za maoni ningeukataa mpango wa kuwa na wanafunzi wazazi kwenye mfumo rasmi wa elimu ila ninachokataa hapa ni kumuacha mtu mmoja akaamua kinyume na maamuzi ya wengi na wote wakakaa kimya. Vikao halali vya CCM vingerudi na kuama vinginevyo badala ya Raisi na Mwenyekiti wa chama kutumia kofta ya Uraisi kutengua maamuzi ya Chama.
 
me naomba kujuzwa jamani kwani tendo la ngono na tendo la ndoa ni matendo mawili tofauti? na vipo kwenye wajibu wa wanafunzi kuna moja kati ya matendo hayo ameruhusiwa afanye anapokuwa masomoni au kuna sheria ya shule inayoruhusu mwanafunzi kufanya matendo hayo? km hakuna sheria ilo ruhusu kufanya sheria inasemaje kwa mwanafunzi alopatikana na kosa la kufanya either tendo la ngono or tendo la ndoa msaada jamani nataka muongozo na me nijue
.
Mcdad, ni hivi:

Mosi, hakuna sheria ya Bunge inayomkataza mwanafunzi mwenye rika ya utu uzima kufanya ngono, hata kama yuko shule ya msingi. Mwanafunzi wa aina hiyo anabanwa na sheria za shule tu, sheria ambazo uhai wake unakomea kwenye uzio wa shule. Hata hivyo, kuna sheri ya Bunge inayomkataza mwanafunzi huyo kubeba mimba.

Pili, kuna sheria ya Bunge inayokataza mtoto yeyote kufanya/kufanyishwa tendo la ngono, kwani jambo hilo ni sawa na ubakazi. Mtoto ni mtu yeyote mwenye umri chini ya miaka 18.

Tatu, sheria za maadili ya kidini zinakataza uasherati, lakini sheria za Bunge hazikatazi.

Nne, sheria za maadili ya kidini zinakataza uzinzi, sio kama kosa la jinai, bali kama kosa la kimadai.

Na tano, zingatia haya kuhusu maneno "tendo la ngono (sexual act)":
  1. Tendo la ngono ni tendo la kusisimua jenitalia kwa makusudi, kwa kutumia njia yoyote ile, kwa lengo la kutafuta mshindo (sexual act).
  2. Tendo la ngono linalofanyika kwa kuingiza uume uliodisa katika uke na kufikicha mpaka uume unapolegea linaitwa tendo la kutomba (vaginal-penile sexual act).
  3. Tendo la ndoa ni tendo la ngono kati ya mwamamke na mwanamume waliooana, yaani tendo la ngono kati yakati ya mume na mke (marital act/conjugal act).
  4. Tendo la ngono kati ya mwamamke na mwanamume ambapo, kila mmoja hajaolewa, na hao wawili hawajaoana, ni uasherati (fornication).
  5. Tendo la ngono kati ya mwamamke na mwanamume ambapo, hao wawili hawajaona, na angalau mmojawapo ameolewa na mtu mwingine, ni uzinzi (adultery).
  6. Tendo la ngono linalohusisha uchuaji wa jenitalia ya kiume kwa kutumia mikono linaitwa punyeto (manual-penile sex au manual-penile masturbation)
  7. Tendo la ngono linalohusisha uchuaji wa jenitalia ya kike kwa kutumia mikono linaitwa punyeto (manual-vaginal sex au manual-vaginal masturbation)
  8. Tendo la ngono linalohusisha uchuaji wa jenitalia ya kiume kwa kutumia mdomo linaitwa felasio (oral-penile sex au felatio)
  9. Tendo la ngono linalohusisha uchuaji wa jenitalia ya kike kwa kutumia mdomo linaitwa kanilingusi (cunnilingus)
  10. Tendo la ngono linalohusisha uchuaji wa jenitalia ya kiume kwa kutumia mapaja au miguu linaitwa mapenzi ya mapaja (inter-crural sex)
  11. Tendo la ngono linalohusisha uchuaji wa tezi-dume (male prostate gland) au tezi-jike (female prostate gland) kwa kutumia uume na kupitia kwenye rektamu linaitwa ulawiti (anal -penile sex)
  12. Tendo la ngono linalohusisha uchuaji wa tezi-dume (male prostate gland) au tezi-jike (female prostate gland) kwa kutumia kidole na kupitia kwenye rektamu linaitwa uchuaji wa tezi dume kwa kutumia kidole (manual prostate gland massage). Saluni nyingi za kuchua mwili zinatoa huduma hii--Tazama picha.
prostate.png


Nadhani taarifa hii itasaidia kidogo.
 
Rtbkazoba
Nimependa ufafanuzi wako, sana ila labda nikukumbushe tuu kidogo, we we Kwa upeo wako mkuvwa namna hiyo ulidhani au unadhani IPO Siku au kuna Siku archbishop tena Wa kanisa LA katoliki atazungumza mambo au maneno yatakayowaudhi watu Wa serikali hasa? Tuliona hapa hapa nchii ilivyogawanyika wakati Wa bunge LA katiba hakuna yeyote aliyesema lolote mpaka sasa yaliyotokea wote tuliyaona, sie Kazi yetu ni kuhubiri neno LA mungu na amani pasipo haki.
Pole sana.
.
Kama Mkristo, na askofu mstaafu, nayajua hayo yote. Lakini, pia ninayejua majukumu yangu kama "padre mlei," baada ya kustaafu uaskofu. Kwa mujibu wa nyaraka za Mtaguso wa Pili wa Vatican, ninalo jukumu la kumkemea Askofu pale anapopotoka. Hivi hapa natekeleza jukumu langu kama Padre Mlei....
 
Mimi ninapomsikia Kiongozi wa dini anapokuja Kujenga hoja yake, na kuishia kujikita tu kwa kusema kitu fulani sio 'utamaduni' wetu, huwa mara zote najiuliza maswali haya...

1/Toka lini Ukristo na uislamu vikawa ni utamaduni wa Mwafrika?

2/Toka lini Uvaaji wa nguo kufunika miili yetu na kutusitiri vyema miili yetu vikawa utamaduni wa mwafrika?

3/Toka lini kwenda hospitali kutibiwa kwa sindano, vidonge, chanjo, operesheni nk vikawa utamaduni wa mwafrika?

4/Kwanini utamaduni wa asili wa mwamfrika wa kutambika, kuroga, kuagua tunaupiga vita sasa? (Kwa sasa viongozi wa dini wanasema tuache hayo ili tutumie Dua, sala na maombi tu)

5/Kwanini utamaduni wa asili wa jamii nyingi za kiafrika wa kukeketa wanawake tunaupiga vita?

6/Toka lini kwenda shule na vyuo vikawa ni utamaduni wa mwafrika?

7/Kwanini tamaduni za kiafrika za kurithi mke wa marehemu tunazipiga vita sasa?

8/Kwanini tamaduni za kiafrika za kuwaangamiza watoto wenye aina fulani hivi za kasoro za kimaumbile(Kama ulemavu) tunazipiga vita?

9/Tangu lini ushenzi wa kujamiiana(Ubakaji, Ulawiti, Ushoga, Usagaji) leo hii umekuwa utamaduni wa kigeni wakati huo uchafu umekuwepo kwenye jamii na tamaduni za kiafrika toka enzi na enzi na hakuonekana kama ni tatizo kwao?

10/Kwanini utamaduni wa Kuendekeza ujinga na uchafu uliokuwepo kwenye maisha ya kila siku ya mwafrika tunapambana kuupiga vita sasa? (Leo hii tunahimizwa tuwe na vyoo visafi na vya kisasa wakati utamaduni wa mwafrika ulikuwa ni kujisaidia vichakani tu ili kuongeza rutuba mashambani!!)

11/Hivi utamaduni wa kusafiria Pikipiki, Magari, Ndege nk. tumeutoa wapi wakati utamaduni wa mwafrika ni kutembea kwa miguu au kupanda Punda nk.

12/Hivi utamaduni wa Kula kwa vijiko, kunawa mikono kabla ya kula, Kutumia simu za mkononi, Tv, Radio, Mitandao hivi waafrika tumeuiga wapi?
.
Nyundo yako imegonga kwenye utosi wa msumari!
 
Back
Top Bottom