Masters programme

Masters programme

benikiko

Member
Joined
Sep 18, 2013
Posts
15
Reaction score
0
Wanaharakati wenzangu naombeni msaada kwa anayefahamu application form za masters za vyuo hivi zinatoka lini na qualifiction zao ni zipi yan wanachukua GPA ya ngapi?UDOM,MZUMBE,&ST AGUST YA MWANZA
 
Hiv na UDOM wameanza kutoa masters? Duh! kasheshe mjini...... ila mi najua Mzumbe kuanzia kwenye mwezi wa nne hiv na kuendelea..... Na SAUT nao wameanza kutoa masters siku hiz?... kha! Hatari Nungwi meli inataka kuzama sasa...!
 
Hiv na UDOM wameanza kutoa masters? Duh! kasheshe mjini...... ila mi najua Mzumbe kuanzia kwenye mwezi wa nne hiv na kuendelea..... Na SAUT nao wameanza kutoa masters siku hiz?... kha! Hatari Nungwi meli inataka kuzama sasa...!

tatizo nii lepi sasa mkuu..
 
Wanaharakati wenzangu naombeni msaada kwa anayefahamu application form za masters za vyuo hivi zinatoka lini na qualifiction zao ni zipi yan wanachukua GPA ya ngapi?UDOM,MZUMBE,&ST AGUST YA MWANZA
Hapo hamna cha GPA, pesa yako tu kijana ndo itakayo kuokoa.... ila nakushauri uwe na gpa kuanzia 3 hiv
 
Hiv na UDOM wameanza kutoa masters? Duh! kasheshe mjini...... ila mi najua Mzumbe kuanzia kwenye mwezi wa nne hiv na kuendelea..... Na SAUT nao wameanza kutoa masters siku hiz?... kha! Hatari Nungwi meli inataka kuzama sasa...!

Ukute uko kidato cha pili wewe!Sasa unataka kusema nn hapa?
 
ingia kwenye website zao mkuu na utapata maelezo yote kuhusu unachotaka,kila la kheri mzee
 
Mh udom mbona siku nyingi jaman , wanatoa mpaka phd, usidharau chuo ww angalia unataka nn kichwan
 
Hiv na UDOM wameanza kutoa masters? Duh! kasheshe mjini...... ila mi najua Mzumbe kuanzia kwenye mwezi wa nne hiv na kuendelea..... Na SAUT nao wameanza kutoa masters siku hiz?... kha! Hatari Nungwi meli inataka kuzama sasa...!

Saut wanatoa mpaka Phd ndugu
 
Unataka kusoma masters yanini?? Je unataka kuunganisha au unatokea kazini?? Vitu vyote hivyo vinamata.
Mzumbe kama unataka kuunganisha uwe na gpa 4 kuendelea.
 
GPA ya PGD au Undergraduate?kama ni Bachelor uwezi kataliwa kokote,labda ulikua BA alafu unataka Mastars ya Engn'g

3.4 gpa ya undergraduate! then nikafanya pgd, specialization yangu ni IT na huko udom nikaoma hy hy IT!
 
mkuu ongera kupenda kusoma. mi binafsi hata ukiniambia unanilipia kila kitu mpaka namaliza lakin sikubali.
 
Hivi kwa nini Udom hakipendwi jamani? Au kisa kimejengwa na Raisi "muonewa"?
 
Back
Top Bottom