3.4 gpa ya undergraduate! then nikafanya pgd, specialization yangu ni IT na huko udom nikaoma hy hy IT!
mkuu ongera kupenda kusoma. mi binafsi hata ukiniambia unanilipia kila kitu mpaka namaliza lakin sikubali.
Unataka kusoma masters yanini?? Je unataka kuunganisha au unatokea kazini?? Vitu vyote hivyo vinamata.
Mzumbe kama unataka kuunganisha uwe na gpa 4 kuendelea.
Sio kweli .. mzumbe hela yako tu kijana .. nna washkaji kibao wameunganisha na hawana hizo gpa kubwa achilia mbali,kuwa na upper second .. wana chini ya hapo na wanakula shule kama kawaida ...
Duh!!! Natokea kazini nataka nichukue human resource
Duh!!! Natokea kazini nataka nichukue human resource