Tafadhali tembelea tawi la crdb lilokaribu nawe au ulilochukulia hiyo card coz hii mastercard wanaifanyia apdated kila mara hivyo kuwapigia simu si sulihisho, dawa nikuwaendea tawini kwa msaada na uhakika zaidi. Mimi niko na account saba crdb na zote natumia kulipia mizigo inje ya nchi. Na kuna wakati zinagomaga na kunikasirisha ila nikiwaendea tawini tatizo linatatuliwa mara moja tofauti na kupiga 0714197700 halishugulikiwi haraka.
hilo ndio tatizo, hizi kadi zinatakiwa zipunguze usumbufu lakini badala yake hizi zinaongeza usumbufu
ckia ww mkuu master card navyofahamu hawajaanza kuzi activate master card zao kwa hiyo ni kama pambo. Maybe cku hizi. Hiyo message ina maana card namba yako ipo ila benki haijakuunganisha kwenye huduma.
duh......... Wapi tutapata hii huduma sasa?
Wakuu namimi naomba nitoe mchango wangu kuhusu MasterCard toka CRDB Bank. Nina watu wa karibu kabisa ambao ni staffs wa crdb. Kwa ujumla performance ya master card ya crdb ukilinganisha na visa card ya crdb kwa kipindi cha miezi kadha iliyopita imekua na matatizo ya hapa na pale. Kwa ufupi transaction failure cases kwa master card ni nyingi ukilinganisha na visa card, lakini tuzingatie kwamba hawana muda mrefu toka wameanza kutoa master card ukilinganisha na visa card, kwahiyo inawezekana baada ya muda fulani matatizo haya yakapungua kwa kiasi kikubwa. Suala la kufanya manunuzi online kupitia master card ya crdb limekuwa enabled si zaidi ya miezi miwili iliyopita. Hii inamaanisha miezi hiyo ya nyuma toka walipoanza kutoa hii master card, ulikua huwezi kufanya online purchases hata ungeenda kuwaona wangekujibu kwa sasa master card hazina hiyo facility.
Kwa upande mwingine, crdb wanatoa kadi zote mbili yaani visa au master, kwahiyo chaguo ni lako.
Mkuu fanya ujisajili na VISA card nadhani utakua umejitoa kwenye hiyo unstable network ya Mastercardduh......... Wapi tutapata hii huduma sasa?
Samahanini kwa kuingilia thread katikati..hivi nitatumia njia gani kurecover pesa yangu paypal (ambayo imekuwa linked na VISA card ya CRDB) baada ya cancelation ya transaction? maana nikienda kwa paypal account yangu salio ni 0 wakati pesa ilishakatwa ila kurudi kwa account haijarudishwa?. Sasa hii mambo inakueje? hiyo ela ipo wapi maana kwenye account ya paypal haipo wala CRDB haipo!
Nimekua nikitumia card ya CRDB kufanya shopping online, wakati ule ilikua VISA card na nilikua nimeilink na Paypal, ilipoisha muda wake hawa jamaa wakanipa card ingine lakini hii card mpya ni MasterCard, sasa kila nikijaribu ku-link inakataa inasema maneno haya
This credit card has been denied by the bank that issued your credit card. For details on why your card was denied, please contact your credit card issuer's customer service department. Or, you may want to try adding a different credit card.
nimewapigia CRDB wanasema hakuna tatizo na card imesharuhusiwa kutransact online, tafadhali msaada kama kuna mtu anajua nini nifanye