Tutaamua, kuzika au kusafirisha sio mbaya.
ACHA WAUANE TU MIAKA KIBAO IMEPITA HATUJAONA KIFO CHA MSANII MKUBWA
Sasa hivi Rayvanny na yeye anapambana kutengeneza net work ya watawala.Hawana ubavu wa kutwangana shaba hata ngumi tu hawawezi
Sasa hivi Rayvanny na yeye anapambana kutengeneza net work ya watawala.
Kila mmoja akishakuwa na net work, kifuatacho ni vita.
Nyimbo za pambio na kujipendekeza zimeanza.
Binafsi naamini Rayvanny huwa hapendi huu upuuzi, ila ndio hivyo unalazimika kutumika kwa shinikizo la kina Sallam na Diamond ili maisha yaende.
Nani kishakufa, manzi au bosi?Kwaiyo mbona mimi na bosi wangu tunatembea na bastola,shida iko wapi? Japo alinibebea manzi wangu.
Ila katoa ushauri mzuri wasijekutana kwenye mapombe huko wakaanza tifuKumbe master jay nae AKILI HANA.
Sallam ni mgomvi mnoo na bahati nzuri hajui kuficha hilo.Atakuwa anashurutishwa.
Nahisi sallam anapenda ugomvi sana hawez puuzia jambo lolote.
Ray anataka naye awe na backup ya ikulu. Mziki sasa ni zaidi ya burudan