Kwanini unataka kusoma masters?Wakuu hope ni wazima wa afya kabisa naombeni mnisaidie Kati ya hizo course mbili ipi ni nzuri zaidi
Kwanza ni ushauri wa watu wangu wa karibu lakini Mimi Kama Mimi Nina msukumo wa ndani kuendelea kusomaKwanini unataka kusoma masters?
Nimemaliza mwaka huu agronomy so SUA naijua vizuriMs.seed techlogy na business ila SUA ujikane nafsi.
Unataka kumaster nini ikiwa ndiyo kwanza umemaliza juzi. Nenda kafanye KAZI kwanza nakuhakikishia kupitia uzeofu utakaopata kazini hutakuja kuuliza watu usome nini.Nimemaliza mwaka huu agronomy so SUA naijua vizuri
Kama nafasi imepatikana saizi ya kusomeshwa aikatae Hadi akapate kazi?Unataka kumaster nini ikiwa ndiyo kwanza umemaliza juzi. Nenda kafanye KAZI kwanza nakuhakikishia kupitia uzeofu utakaopata kazini hutakuja kuuliza watu usome nini.
Hata sijuiKama nafasi imepatikana saizi ya kusomeshwa aikatae Hadi akapate kazi?