Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Machangudoa wenye viwango wapo Bongo muvies.
Watajitetea kwa kusema, ni movie mpya itakayotoka hvi karibun, mashabik wao mkae mkao wa kula mana walizingatia uhalisia.
unamaanisha Mbuzi Mzee?
hiyo option haipo kwa fani ya move,hiyo kwenye soka tu kiongozi wangu ndo maana dogo fulani kakimbia tenda ya ethiopia!!!Hivi huwa wanapimwa akili zao kama ziko sawa?