Nasema sireeti chakuraa kwani mi ndo nirireta njaa?Bilabila a.k.a sijailewa kabisa!
sio kwa kichwa hicho cha kukuNaona Mbowe anawapiga mkwara kina sumaye wasigombee
Tizama kwa makini kichwa cha kuku utaelewa ni nani huyo.Naona Mbowe anawapiga mkwara kina sumaye wasigombee
Kwani Mimi najua password ewe binti hadi nihariri comments
Anahariri kivipi yaani mkuu...?
Kivipi aingilie comment zako? Mi sijaelewa yaani anadukua akaunt yako au? Nakama ndio ulijuaje ni yeye? Tupe elimu kidogoAnaingia kwenye comment zangu anafuta nilichoandika
Anaandika cha kwake then ana repost
Nimewajulisha Moderator ila hawamchukulii hatua Kabisa
Wengine Hata tukuandika neno moja tu kwa bahati mbaya tunaliwa ban Ndani ya muda mfupi
This is not fair jamii forum is for everyone,
Duh!Naona Mbowe anawapiga mkwara kina sumaye wasigombee
Kivipi aingilie comment zako? Mi sijaelewa yaani anadukua akaunt yako au? Nakama ndio ulijuaje ni yeye? Tupe elimu kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona Mbowe anawapiga mkwara kina sumaye wasigombee
Kivipi aingilie comment zako? Mi sijaelewa yaani anadukua akaunt yako au? Nakama ndio ulijuaje ni yeye? Tupe elimu kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaa. Masoud ni nomaaa.Wee hiko kichwa cha kuku hukioni kwani...?