Masoud Kipanya Uhuru Umezidi Mipaka

Masoud Kipanya Uhuru Umezidi Mipaka

Njanga Tz

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
843
Reaction score
655
kkkkk.jpg

Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo.

Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.
 
View attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo. Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.
Kuna shida gani kwenye hiyo katuni? Au umeguswa kwa lipi?
 
View attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo. Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.

Mkuu achaa kujipendekeza. Kipanya anaweka taswila ya uhalisi wa mazungumzo mitaani. Kwani wewe ukiwa miitaani unapomwongelea Raisi unasema Mheshimiwa Magufuli au hata Raisi Magufuli? Si huwa tunasema tu Magufuli au hata Magu? Ni sawa na kudhani kwamba ukiwa nyumbani mnaitana na mkeo mke wangu au mume wangu kama kwenye michezo ya kuigiza.
 
Anafanya kazi yake inavotakiwa, it maybe be provocative ila hakuna haja ya kuanza kumfungia

Exactly!

Nadhani hiyo ndiyo kazi ya Fasihi.Kumulika kila aina ya kinachoendelea katika jamii yake wakati wote.Hujawahi kusoma kitabu halafu ukakutana na matusi ya nguoni mule??

Basi ukikutana na Matusi,ujue muandishi kaimulika jamii yake kiusahihi kwakuwa hata hayo matusi aliyoyaandika yanasemwa kila kukicha.

Binafsi nadhani,Wewe "Njaga Tz" ndiye unapaswa kuchukuliwa hatua kwa kumleta Masoud Kipanya humu,Otherwise una lako jambo.
 
Nachojua masoud kipanya n MTU anaejiheshim mno...kwaio sidhan Kama alikua na maana hio uliyowaza mtoa maada
 
View attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo. Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.

Waacheni watu na vyombo vya habari vifanye kazi na kutoa
maoni yao. Hivi munaona kila linalofanywa na CCM pekee ndio sawa tu? Au kwa vile dola iko mikononi mwenu?
 
View attachment 387395
Huyu ni mtu mbaya sana ata kama ni uhuru wa vyombo vya habari hii ni too much. Hiyo katuni alikua anamaanisha nini!! si ni matusi kabisa haya. Huwezi fanya uhuni kwenye gazeti kubwa kama mwananchi tena kwa kutaka kufupisha kitu ili liwe tusi na jina la Rais likiwemo hapo hapo. Huyu mtu ni jipu ashauriwe kufanya kazi kwa weledi wataaluma yake aache kuleta uhuni wa kijiweni kwenye magazeti.
Akili zako fupi.....ulikuwa unawaza nn...unaleta mambo umoja wa kumpongeza ..........hapa.....
 
Back
Top Bottom