Masoud Kipanya - Mpiganaji

hivi kuwa mwanaharakati ni kukubaliana na kila jambo la cdm? If its so harakati imepata maana mpya
 
Nadhani kuna haja ya kufahamu nani aliwauwa wale watu. Baada ya hapo utapata maana ya katuni yenyewe.

Binafsi nadhani hao waliouwa walidhani wataishusha cdm, kumbe wanawapandisha juu zaidi.
Nimekupata mkuu, tupo pamoja.
 
mi nikinunua mwananch huwa nafungua uk wa 6 ili kuisoma ka2n yake,jamaa ni RADICAL!achen uzush bwana!
 
Hivi jamani mtu akiwa na maoni tofauti tu basi kachakachuliwa, sio mwanamapinduzi nk. This is wrong!!
Waliomsikia Prof Shivji kwenye kongamano la katiba chuo kikuu juzi pia alisema kuwa hata kifo cha mtu mmoja ni gharama kubwa kulipa kwa mageuzi. aliwataka watu wafanye harakati za amani ili kuleta mageuzi na mapinduzi yanayotakiwa katika siasa na uchumi wa Tanzania. Does this make him amechakachuliwa? Ni suala la mtu anavyothamini uhai wa binadamu na kuchukia umwagaji damu na confrontation isiyo na sababu.

I wonder unajua shule za kata zinafundisha ku-meza tu, mtu akiwa tofauti na wewe ni ADUI na sio opportnity ya kuoanua mawazo form imposed challenges, people differ.

sasa mtu anatoa conclusion kwa post moja, leo masoud katuni yake inaonyesha yuko against na ufisadi, sasa yule aliyemponda jana na kutoa conclusion leo atasemaje? kwa nini hatujifunzi kutofautiana? mwishowe unakuta thread nzima, watu wamekaa kikao na kukubaliana tu, brian inabaki dormant! bila challenge hatuendi, na ukikuta kitu kiko smooth hakina challenge basi kuna tatizo la hiyo jamii!
 
Mnaomwita huyu jamaa ni Mpiganaji mnakosea...ni mganga njaa maana hata kama mkidai yuko neutral hana chama kama political cartoonist anapaswa kutenda haki na kuelezea hali halisi na si propaganda kama alivyofanya mbona hajawachora waliochakachua U-mayor Arusha au Said Mwema na kunyikanyaga kwake? au Polisi Arusha na mauaji? ina maana hana habari sheria za nchi hii zinasemaje kuhusu haki ya maandamano au nani ana haki ya kusimamisha maandamano! Huyu jamaa naskia ni darasa la saba kwa hiyo sina sababu ya kushangaa hamna political cartoonist anayeweza kumfikia Gado wa nation Tanzania kwa accurate analysis of political events!
 
attachment.php
 
Mnaomwita huyu jamaa ni Mpiganaji mnakosea...ni mganga njaa maana hata kama mkidai yuko neutral hana chama kama political cartoonist anapaswa kutenda haki na kuelezea hali halisi na si propaganda kama alivyofanya mbona hajawachora waliochakachua U-mayor Arusha au Said Mwema na kunyikanyaga kwake? au Polisi Arusha na mauaji? ina maana hana habari sheria za nchi hii zinasemaje kuhusu haki ya maandamano au nani ana haki ya kusimamisha maandamano! Huyu jamaa naskia ni darasa la saba kwa hiyo sina sababu ya kushangaa hamna political cartoonist anayeweza kumfikia Gado wa nation Tanzania kwa accurate analysis of political events!
mimi nianavyojua huyu bwana mdogo ni mpiganaji-na yupo neutral-na anajitahidi vya kutosha-kushindwa kwake kuchora katuni juu ya mchakato wa arusha-nazan si kwamba amepuuza-ila hii nchi ina matatizo mengi sana-na ifahamike kuwa its just him against the world-so namini haweza kuchora kila kitu kinachotokea humu nchin na kwingineko-hata akitaka kuchora kila kitu kinachotokea hataweza-kwa hio swala ka arusha asilaumiwe sana-nae ni binadamu
 
Masoud ni mwanasanaa na sanaa yake haitakiwi iwakilishe upande mmoja au awe na mawazo sawa yenye kufungamana na upande mmoja. Kuna katuni zake nyingi za kuikera serikali. Mfano wakati wa mkapa inasemekana PM Sumaye alikuwa hapendi anavyochorwa especial masikio na kulikuwa na mkakati wa kuzuia kuwachora wakubwa. Masoud alimchora Sumaye anasoma gazeti la Amerika ndani yake kumechorwa katuni ya Clinton (wakati ule clinton) alikuwa Rais wa US, Sumaye kwenye katuni ile akisema kumbe hata clinton anachorwa katuni!

Is true that ktk media, boundary spaning (to stand inbetween) ni duty ya mwandishi yeyote. But kwa hili la Masoud, tukubaliane kwamba huyu dogo anatumiwa. Hakuna boundary spaning ya kuzushia wengine na kuwapaka matope eti ili usiripoti upande mmoja tu. Ni utapiamlo wa kifikra. Dogo kapotea!
 
Mnaomwita huyu jamaa ni Mpiganaji mnakosea...ni mganga njaa maana hata kama mkidai yuko neutral hana chama kama political cartoonist anapaswa kutenda haki na kuelezea hali halisi na si propaganda kama alivyofanya mbona hajawachora waliochakachua U-mayor Arusha au Said Mwema na kunyikanyaga kwake? au Polisi Arusha na mauaji? ina maana hana habari sheria za nchi hii zinasemaje kuhusu haki ya maandamano au nani ana haki ya kusimamisha maandamano! Huyu jamaa naskia ni darasa la saba kwa hiyo sina sababu ya kushangaa hamna political cartoonist anayeweza kumfikia Gado wa nation Tanzania kwa accurate analysis of political events!

Hapo kwenye RED kama ni kweli basi huyu mtu ni zaidi ya mtu mwenye degree, kumbuka hapa duniani hatuangalia lundo la vyeti bali tunaagalia umefanya nini? Kipanya ni mmoja wa vijana wenye mafanikio makubwa katika shughuri zao, hebu tujuze wewe mwenzetu mwenye mivyeti ya vyuo vyote umefanya nini? je kuna lolote ambalo jamii ingependa kuiga kutoka kwako kama kipanya?
 
Hapo kwenye RED kama ni kweli basi huyu mtu ni zaidi mtu mwenye degree, kumbuka hapa duniani hatuangalia lundo la vyeti bali tunaagalia umefanya nini? Kipanya ni mmoja wa vijana wenye mafanikio makubwa katika shughuri zao, hebu tujuze wewe mwenzetu mwenye mivyeti ya vyuo vyote umefanya nini? je kuna lolote ambalo jamii ingependa kuiga kutoka kwako kama kipanya?
huchori katuni kwa mtizamo wako tu angalia wakina zapiro na gado unapaswa kuwa mdadisi wa mambo (a political analyst) we imagine jinsi haki za binadamu zilivyovunjwa huko Arusha na jinsi hata sheria zilivyokandamizwa halafu anakuja mjingamjinga anasema ati CHADEMA wameuwa kupata umaarufu! hivi yale magari yenye maji hayakuwepo mpaka jamaa kutumia live bullets? ni nchi gani umeona zinatumia live bullets kwa watu wasiojihami kwa silaha? zaidi ya hizi zetu za Africa? hata Israel hutumia rubber bullets kwa waandamanaji wasio na silaha! acheni ulimbukeni huyo jamaa anapaswa kuingia darasani na sio kuanglia tumbo lake tu!
 
huchori katuni kwa mtizamo wako tu angalia wakina zapiro na gado unapaswa kuwa mdadisi wa mambo (a political analyst) we imagine jinsi haki za binadamu zilivyovunjwa huko Arusha na jinsi hata sheria zilivyokandamizwa halafu anakuja mjingamjinga anasema ati CHADEMA wameuwa kupata umaarufu! hivi yale magari yenye maji hayakuwepo mpaka jamaa kutumia live bullets? ni nchi gani umeona zinatumia live bullets kwa watu wasiojihami kwa silaha? zaidi ya hizi zetu za Africa? hata Israel hutumia rubber bullets kwa waandamanaji wasio na silaha! acheni ulimbukeni huyo jamaa anapaswa kuingia darasani na sio kuanglia tumbo lake tu!

ni kweli jamaa ni darasa la saba pale kijitonyama primary school LY 88 ila ile katuni ukiitafsiri kwa jicho la tatu ni kwamba polisi wanavyozidi kuua raia ndio wanawapa umaarufu cdm,au nyie mnaonaje
 
Go east go west he did what is supposed to be. Huyu jamaa anawaonya watawala kwamba kuua sio kuivunja nguvu CHADEMA bali wanainyanyua. Tatizo watu wanamazo mgando sasa sijui wanataka aonyeshe jinsi Mbowe alivyokatwa mtama? jamaa ni fighter ndio asiyependa kupandwa kichwani ndio maana aliondoka Clouds, nakumbuka aliwahi kukutana na Sumaye na kesho yake akamchora sumaye akisalimiana naye lakini kichwani sumaye anawaza amkabe koo kwa jinsi alivyokuwa hampendi
 
ni kweli jamaa ni darasa la saba pale kijitonyama primary school LY 88 ila ile katuni ukiitafsiri kwa jicho la tatu ni kwamba polisi wanavyozidi kuua raia ndio wanawapa umaarufu cdm,au nyie mnaonaje

Jamani,kwani elimu ndio kila kitu hapa duniani?? Mbona anasoma FPA Udsm na hamuandiki??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom