Masoud Kipanya katika ubora wake juu ya hama hama ya wanasiasa

Membo ni mengi sana muda ni mdogo sana anyway mambo yasiwe mengi mengi yasiwe mambo.!
 
Mambo yasiwe mengi tunakusubiri Mzee Sumaye. Rudi nyumbani kumenoga.

Sent using my Nokia Torch
 
Chadema itaangushwa kwa mtutu tu na si vinginevyo.
 
Hahahahaaa kipanyaaaa !!! Anaburudisha sana aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siku hii burudani tutaikosa kabisa me naamini au ninahisi kuna sheria itakuja kutungwa ili kuzuia hizi katuni za viongozi na ukichora umeenda jela ninacho mshauri kipanya aanze kuandaa mazingira ya kuhama nchi ili ikitokea la kutokea ana hama na anakua anachorea huko huko huku tunazipata mtandaoni tu kama atataka kuendelea na hiyo kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…