Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,034
- 144,388
Hahahaa........ Hiyo shati yake imeshatoa majawabu kwamba yajayo yanafurahisha!
Makamanda Lowassa anawasalimu
Msukuma alisema alijinyea katika mikutano ya urais, kamsaidie kumsafisha maana nadhani bado ananuka muweze kukaa naye vizuri!Makamanda Lowassa anawasalimu
Mbona chadema walishamsafisha mpaka kumdekia barabara?Msukuma alisema alijinyea katika mikutano ya urais, kamsaidie kumsafisha maana nadhani bado ananuka muweze kukaa naye vizuri!
walideki barabara, siyo mwili. Mwili ni kwenu....Mbona chadema walishamsafisha mpaka kumdekia barabara?
Lowassa kamuwahi jamaa anajuta kwa nini hakumuwahi lowasaa.
Mwili wake ulidekiwa na Lema, Msigwa, Lissu, Baregu, na baba lao Mbowewalideki barabara, siyo mwili. Mwili ni kwenu....
Kuna siku hii burudani tutaikosa kabisa me naamini au ninahisi kuna sheria itakuja kutungwa ili kuzuia hizi katuni za viongozi na ukichora umeenda jela ninacho mshauri kipanya aanze kuandaa mazingira ya kuhama nchi ili ikitokea la kutokea ana hama na anakua anachorea huko huko huku tunazipata mtandaoni tu kama atataka kuendelea na hiyo kazi