Nyuki
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 367
- 14
Issue ilivyotokea walienda kufanya kipindi na Balozi wa US ofisini kwake,.
wakati wanafanya kipindi Mic zilikuwa zinazingua kwa hiyf kipindi hakikufanyika fresh,.
Kwa kuwa tatizo kama hilo lilishatokea mara kadhaa ikawa imewa pain wakaona waonyeshe kukwazwa kwao kwa kutoenda kazini..
wakakubaliana yeye, Fina Mango na G. Hando kesho yake wasiende kwenye kipindi..
Cha ajabu kesho yake Hando akawasaliti akaenda, wao wakaambiwa waandike barua ya kujieleza, Wakaandika issue ilivyokuwa lakini baada ya ka siku nne wakafukuzwa
Nadhani hapa sheria mpya ya kazi haikuwa implemented haiwezekani mfanyakazi ajieleze kwa barua then unamfukuza ndani ya siku nne!nadhani idara ya rasilimali watu hapo clouds imeshindwa kazi au imekufa kabisa,namshauri masoud aende CMA kufile kesi maana kama hayo maelezo hapo ni ya kweli moja kwa moja hii ni unfair termination.sheria zipo tuache kulalamika kwenye vyombo vya habari wakati nchi yetu inaendeshwa kwa sheria na katiba.rules of law