sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,206
- 8,041
Corona ipo.Hakuna corona, fanyeni kazi, acheni uvivu
Corona ipo.Hakuna corona, fanyeni kazi, acheni uvivu
Haaaaa Haaaaa 😂 mambo ya corona virus hayo mzee Baba😏Ok?Umeelewa vipi katuni hii?
Utaniua Mkuu Yan nna kiu mbaya kabisa leo
🤣🤣🤣Najua pa kugusa!Najua kilele chako kilipo!Utaniua Mkuu Yan nna kiu mbaya kabisa leo
Niguse vizuri basi leo🤣🤣🤣Najua pa kugusa!Najua kilele chako kilipo!
🏃🏃🏃Niguse vizuri basi leo
Mimi napenda niwasiliane naye lakini sijui anajua lugha ipi kwa ufasaha.Naomba "nierekezwe" ndugu zangu!🤣🤣🤣🤣Mzee mwenyewe anaita BARAKORA