Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,567
- 188,771
Yetu macho.
😀😀 dubushwaHilo dubushwa linajikinga na Corona very seriuosly ndiyo maana sasa hivi limejichimbia kujijini huko halafu linatangazia umma kuwa Tanzania hakuna Corona na kutamba kuwa hakuna haja ya Mtanzania kuvaa barakoa!
Ndiyo,dubuswa!Kwani kuna binadamu wa kawaida ambae anaweza kudanganya wenzake kuwa Tanzania hakuna Corona kwa hiyo hakuna hata haja ya kuvaa barakoa wakati huohuo yeye akwepe mikusanyiko mikubwa mikubwa ili kujikinga na Corona?😀😀 dubushwa
Lipumbavu kupita maelezi,shameless murdererHilo dubushwa linajikinga na Corona very seriously ndiyo maana sasa hivi limejichimbia kijijini huko kukwepa mikusanyiko mikubwa mikubwa halafu linatangazia umma kuwa Tanzania hakuna Corona na kutamba kuwa hakuna haja ya Mtanzania kuvaa barakoa!
Jamaa muuaji sana....Yetu macho. View attachment 1685593
Ok?Umeelewa vipi katuni hii?
Mzee mwenyewe anaita BARAKORAHahahaha bonge la banakooo
Hivi gazeti la Mwananchi linafika Chato?Yetu macho. View attachment 1685593
Hilo dubushwa linajikinga na Corona very seriously ndiyo maana sasa hivi limejichimbia kijijini huko kukwepa mikusanyiko mikubwa mikubwa halafu linatangazia umma kuwa Tanzania hakuna Corona na kutamba kuwa hakuna haja ya Mtanzania kuvaa barakoa!
Kumbe mshikaji yy kajitenga na anafata taratibu zote kujikinga na Corona wananchi wake anatuacha tuchape kazi na kufa kwa corona
Mmh!
Masud ni
Msema kweli kabisa...
Au nasema uongo ndugu zangu
Hahahaha bonge la banakooo
Hivi gazeti la Mwananchi linafika Chato?