Masomo ya chuo kikuu yafundishwe kwanza secondary(advanced level)

Hapana mkuu, si kweli mnapunguzia mtu mzigo wa masomo,au material za kusoma..kila level ina challenges zake..ambazo haziwezi kuwa compared na level above ama level below...kufikia ndoto zako mojawapo ni kusoma kitu unachotaka kufanya in the future...mfano uliotoa wa Udaktari, unatosha kabisa kuelezea wazo langu..kusoma O level masomo mengi mengi ila A level mtu ana specialize kusoma anayotaka kusoma in the future... hii haimaanishi mtu asome somo moja, ila kwa kila combination mtu kuwe na component ya somo mtu analolitaka kusoma kwenye future....
Au unataka tuanze kupasua maiti tukiwa A level ?Mbona tunapasua panya na chura ?Mtu katoka na masomo 10 Olevel,then anadrop mengine na kubakiza major 3 tu.Unasema hajapunguza ?
 
Umesoma combination gani A level?Hiyo combination uliosoma ulitaka waongeze nini ?Twende kwa details. Maana unasema tu waongeze. Mimi kwa combination yangu niliyosoma ni msingi imara ambao umenisadia chuo.
Wewe unaepinga tupe mfano kulingana na mfano wewe kama wewe. Otherwise unaongea vitu ambavyo haujaviishi.


Shule sina,na sidhani hii inanizuia kuongelea elimu; masomo ambayo nimeona mahali yanasomwa chou kikuu ambayo ni muendelezo wa masomo ya secondary ni pamoja na Accounting, Psychology,Electrical Engineering, Law, Environmental science..etc.
 
Au unataka tuanze kupasua maiti tukiwa A level ?Mbona tunapasua panya na chura ?Mtu katoka na masomo 10 Olevel,then anadrop mengine na kubakiza major 3 tu.Unasema hajapunguza ?

( i believe you are a doctor)..mkuu content za Medicine ni sawa na zile ulizokua unapigia nazo msuli huku chini ukiwa ume relax
 
Mnhhhh je kama ungesomea A level ulichosomea Chuoni,huoni kama chuo ni kwenda ku consolidate tu mambo???...

Mkuu yaliyoko A'level tayari ni bridge kwa shule ya chuo. Sasa ukisema ya chuo tuyasome A'level kunakosa umaana wa kwenda tena chuo. Lakini kama una maana ya kutoa introduction ya elimu ya chuo mwanafunzi akiwa A'level hiko ndicho kinachofanyika kwenye kombi unazosoma. Kwani wanafunzi wanaoenda kusoma uchumi chuo si wanakuwa wamesoma uchumi na hesabu A'level, wanafunzi wa kada ya afya chuoni si wanakuwa wamesoma Biology na Kemia A'level, mainjinia si wamesoma fizikia na hesabu, wanasheria si wamegonga malugha A'level??
 
( i believe you are a doctor)..mkuu content za Medicine ni sawa na zile ulizokua unapigia nazo msuli huku chini ukiwa ume relax
PCB unarelax ?Dah mimi nimekuomba useme ulisoma nini A level na unataka hicho ulichosoma nini kiongezwe na kingekusadiaje.Otherwise huna evidences. Kama kukosa ajira ndo evidences zako jua hao walioko makazini walisoma mifumo hiyo hiyo.
Suala la ajira ni tatizo dunia nzima. Na lina factors zake pia.
Pia kujiajiri haihitaji ufike chuo kikuu ndo ujiajiri.
Na pia si lazima uwe na formal education ndo ujiajiri.
Curiosity yako tu inaweza kukufikisha kubaini problems na katika kutafuta solutions ukajiajiri.
 
PCB unarelax ?Dah mimi nimekuomba useme ulisoma nini A level na unataka hicho ulichosoma nini kiongezwe na kingekusadiaje.Otherwise huna evidences. Kama kukosa ajira ndo evidences zako jua hao walioko makazini walisoma mifumo hiyo hiyo.
Suala la ajira ni tatizo dunia nzima. Na lina factors zake pia.
Pia kujiajiri haihitaji ufike chuo kikuu ndo ujiajiri.
Na pia si lazima uwe na formal education ndo ujiajiri.
Curiosity yako tu inaweza kukufikisha kubaini problems na katika kutafuta solutions ukajiajiri.

Nimekuuliza PCB na Medicine wapi panahitaji msuli Zaidi..toa experience yako,,,,,na uwe mkweli...
nimekupa hapo Choices za masomo ambayo zingeongezwa..of course you think nimezitoa tu hewani..hii ni tried and tested system...sina evidence sababu wewe umebase kwenye mfumo uliokusomesha.....huu mfumo naou propose ungekua na wenyewe tested kwa Tanzania labda tungefanya comparison...…..

Kukosa ajira ni EVIDENCE tosha kuwa elimu ya sasa ina mapungufu, umfundishe mtu 'deep' asiweze kutafuta fursa za kuajiriwa ama kujiajiri then ujivunie umetoa msomi..NO!

sio vijana wote unaowaona mtaani hawana curiosity!!

Lastly,Tatizo la ajira lipo ulimwenguni kote,ila kwetu linaweza kuwa managed kwa kutoa relevant education,!!!
 
Mkuu yaliyoko A'level tayari ni bridge kwa shule ya chuo. Sasa ukisema ya chuo tuyasome A'level kunakosa umaana wa kwenda tena chuo. Lakini kama una maana ya kutoa introduction ya elimu ya chuo mwanafunzi akiwa A'level hiko ndicho kinachofanyika kwenye kombi unazosoma. Kwani wanafunzi wanaoenda kusoma uchumi chuo si wanakuwa wamesoma uchumi na hesabu A'level, wanafunzi wa kada ya afya chuoni si wanakuwa wamesoma Biology na Kemia A'level, mainjinia si wamesoma fizikia na hesabu, wanasheria si wamegonga malugha A'level??
Nyie mnazugumzia nafasi za kuingia chuoni,mie naongelea specialization,majibu yenu tu..mnhhhh
 
Nimekuuliza PCB na Medicine wapi panahitaji msuli Zaidi..toa experience yako,,,,,na uwe mkweli...
nimekupa hapo Choices za masomo ambayo zingeongezwa..of course you think nimezitoa tu hewani..hii ni tried and tested system...sina evidence sababu wewe umebase kwenye mfumo uliokusomesha.....huu mfumo naou propose ungekua na wenyewe tested kwa Tanzania labda tungefanya comparison...…..

Kukosa ajira ni EVIDENCE tosha kuwa elimu ya sasa ina mapungufu, umfundishe mtu 'deep' asiweze kutafuta fursa za kuajiriwa ama kujiajiri then ujivunie umetoa msomi..NO!

sio vijana wote unaowaona mtaani hawana curiosity!!

Lastly,Tatizo la ajira lipo ulimwenguni kote,ila kwetu linaweza kuwa managed kwa kutoa relevant education,!!!
Kote kunahitaji msuli.
 
Nyie mnazugumzia nafasi za kuingia chuoni,mie naongelea specialization,majibu yenu tu..mnhhhh
Haueleweki kabisa kwanza specialization zinaanzia form two pale unakwenda science ama art. Then form six unachagua mzizi wako ambao utaweza kukupeleka kwenye matawi mbalimbali. Then chuo una tawi lako. Mfano Medicine baada ya hapo utaenda kijitawi tena mfano epidiemologist au pedia au gyno au opthamo,kuna areas nyingi of specialization.
Maana wewe nakuona unaelea elea tu hewani.
Nimekuuliza ulisoma nini A level na chuo ?
Then kupitia wewe unapropose warekebishe nini?
Mpaka sasa huna jibu.Basi acha kuargue kitu haujakipitia especially katika academic.
Lete vivid exemples ukijitumia wewe mwenyewe hapa ndo tutaelewana.
 
Haueleweki kabisa kwanza specialization zinaanzia form two pale unakwenda science ama art. Then form six unachagua mzizi wako ambao utaweza kukupeleka kwenye matawi mbalimbali. Then chuo una tawi lako. Mfano Medicine baada ya hapo utaenda kijitawi tena mfano epidiemologist au pedia au gyno au opthamo,kuna areas nyingi of specialization.
Maana wewe nakuona unaelea elea tu hewani.
Nimekuuliza ulisoma nini A level na chuo ?
Then kupitia wewe unapropose warekebishe nini?
Mpaka sasa huna jibu.Basi acha kuargue kitu haujakipitia especially katika academic.
Lete vivid exemples ukijitumia wewe mwenyewe hapa ndo tutaelewana.

Nimekujibu vyote unavyouliza,pitia tena posts za nyuma...naona unajifanya tu huelewi specialization ninayoiongelea ni contents-specific,huwezi uka compare somo ambalo liko specific kama Pharmacy na specialization mnayoipata kwenye combination from example PCB,PCB ita touch very few basics wakati Pharmacy as a stand alone qualification itakuwa more specific..Mimi kusoma chou gani somo gani...ni irrelevant mkuu...stick to the topic...ukiweka ubishi pembeni angalia tena hii topic majibu yangu utaona nime propose nini kuongezwe/rekebishwe....as for me,hautanijua kwa lolote….
 
Nimekujibu vyote unavyouliza,pitia tena posts za nyuma...naona unajifanya tu huelewi specialization ninayoiongelea ni contents-specific,huwezi uka compare somo ambalo liko specific kama Pharmacy na specialization mnayoipata kwenye combination from example PCB,PCB ita touch very few basics wakati Pharmacy as a stand alone qualification itakuwa more specific..Mimi kusoma chou gani somo gani...ni irrelevant mkuu...stick to the topic...ukiweka ubishi pembeni angalia tena hii topic majibu yangu utaona nime propose nini kuongezwe/rekebishwe....as for me,hautanijua kwa lolote….
Nani kakumbia inatouch few basics ?Ngonja nikuache maana huna evidences. Hujui unachokiongelea.
Yaani unakuja na masomo ya vyuoni yafundinshwe A level wakati hujui humo A level nini kinasomwa na huko chuoni nini kinasomwa kwa courses na units.
 
Nani kakumbia inatouch few basics ?Ngonja nikuache maana huna evidences. Hujui unachokiongelea.
Yaani unakuja na masomo ya vyuoni yafundinshwe A level wakati hujui humo A level nini kinasomwa na huko chuoni nini kinasomwa kwa courses na units.

Najua ninachokiongelea ni wewe ndio hutaki kuelewa,it is sad, after all this bado kichwa kigumu, in your own time google A level Law, A level Economics, A level Psychology... etc .familiarize yourself with contents,mwenyewe utajiona ulivyo behind, you have wasted my time,ninachopropose kiko clear kwa anayetaka kuelewa...kwa nyie mnaopenda ligi za mchangani tutaendahivyo hivyo...again nimekwambia hii system iko tested and tried,unakuja na sentensi za kufunika..sina evidence,evidence gani unataka???..kama ni mimi kujiweka hapa details zangu,sahau.. hivi sivyo wanavyo argue wasomi...pole we!
 
Najua ninachokiongelea ni wewe ndio hutaki kuelewa,it is sad, after all this bado kichwa kigumu, in your own time google A level Law, A level Economics, A level Psychology... etc .familiarize yourself with contents,mwenyewe utajiona ulivyo behind, you have wasted my time,ninachopropose kiko clear kwa anayetaka kuelewa...kwa nyie mnaopenda ligi za mchangani tutaendahivyo hivyo...again nimekwambia hii system iko tested and tried,unakuja na sentensi za kufunika..sina evidence,evidence gani unataka???..kama ni mimi kujiweka hapa details zangu,sahau.. hivi sivyo wanavyo argue wasomi...pole we!
acha kupanic, sisi tunataka tuende step kwa step kama watu civilized, je a level umesoma? chuo umesoma?
 
Najua ninachokiongelea ni wewe ndio hutaki kuelewa,it is sad, after all this bado kichwa kigumu, in your own time google A level Law, A level Economics, A level Psychology... etc .familiarize yourself with contents,mwenyewe utajiona ulivyo behind, you have wasted my time,ninachopropose kiko clear kwa anayetaka kuelewa...kwa nyie mnaopenda ligi za mchangani tutaendahivyo hivyo...again nimekwambia hii system iko tested and tried,unakuja na sentensi za kufunika..sina evidence,evidence gani unataka???..kama ni mimi kujiweka hapa details zangu,sahau.. hivi sivyo wanavyo argue wasomi...pole we!
Kumbe source yako ni Google ?Kule kila mtu anaweza jiwekea anayotaka. Again basi huna mawazo yako kama wewe na unategemea jalala Google ambako kila taka taka ipo.
 
Back
Top Bottom