Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,475
- 33,038
Hello JF,
Mnaonaje masomo ya degree(vyuoni) yaanze kufundishwa basics A level?
I believe mtu akisoma Advance then aksoma Diploma ama Degree ya somo hilo hilo, atakua na confidence hata kujiajiri..........
Sio sasa miaka mitatu ya chuo inawezekana inatosha..ila mimi sidhani inatoa watu competent na ndio maana watanzania tunafeli vibaya kwenye soko la ajira as compared na nchi nyingine....embu fikiria mtu anaenda kwa mfano kusoma Accounting wala hajui basics za Excel kisha anafundishwa ku cramm 'matirio' ya anachosoma, baada ya miaka mitatu ya chuo,huyu kweli ameiva????
********* however nawapa heshima yenu wote mliomaliza chuo salama,either by independent learning ama kwa Ku cramm, sio kazi rahisi!..LOL
Mnaonaje masomo ya degree(vyuoni) yaanze kufundishwa basics A level?
I believe mtu akisoma Advance then aksoma Diploma ama Degree ya somo hilo hilo, atakua na confidence hata kujiajiri..........
Sio sasa miaka mitatu ya chuo inawezekana inatosha..ila mimi sidhani inatoa watu competent na ndio maana watanzania tunafeli vibaya kwenye soko la ajira as compared na nchi nyingine....embu fikiria mtu anaenda kwa mfano kusoma Accounting wala hajui basics za Excel kisha anafundishwa ku cramm 'matirio' ya anachosoma, baada ya miaka mitatu ya chuo,huyu kweli ameiva????
********* however nawapa heshima yenu wote mliomaliza chuo salama,either by independent learning ama kwa Ku cramm, sio kazi rahisi!..LOL