yanasaidia kutanua wigo wa maendeleo kiakili na kiuchumi pia.....kwa sababu zipi??
Wadau wenzangu hebu tushauriane jambo...me nanona kwa upande wangu, masomo ya mathematics,english, kiswahili na history yangewekwa kama masomo ya lazima mpaka form six...au nyie mnaonaje?
haa?? (kama kawaida natanguliza sorry kwani haya ni mawazo tu) hivi history itasaidia vipi maendeleo ya kiuchumi,haswa hii history tunayosoma form o level na a level(si kwa nia mbaya ni kwa maana sielewi na nnataka kujua)...kwa mawazo yangu,walau ingekua ni economics tena iwe basic kwa non majours itasaidia,hata maths hasa BAM kwa wale wa arts na sciences ambazo hazina maths kama pcb,hata masomo ya kilimo na ujasiriamali naimani ingekua afadhali...yanasaidia kutanua wigo wa maendeleo kiakili na kiuchumi pia.....
hujakosea ila kama ni maths isingekua pure maths ingekua hata BAM haswa kwa hawa wa arts..inakua ngumu sana hasa kwa wale tusio soma hata BAM alafu unakuja chuo unakutana na hesabu tena muda mwingine kama pure..njoo huku vyuoni ndio utaelewa nini nnachosema..hayo masomo yawepo ila iwe ni basic au introductory!!!Maisha yatakua magumu. Kwasababu haiwezekani mtu anataka kusoma udaktari akasome history haiwezekani
masomo matatu (PCB, PCM, HKL, HGK na nyengnezo) ni mzigo tosha kwa mwanafunz, then na mwanafunz umuongezee na mengne utakua mtihani
hahahhahahah kijana upooo??? embu niambie itakuaje mtu aliyesoma HGL akapangiwa BAF je hatasoma maths?? na kama hana idea ya maths itatokea nini??Upuuuzi mtupu ,acha kuweka ushenzi wako humu jf nenda huko fb yaani mijitu mingine uwezo mdogo wa kufikiri matokeo yake unaweka upuuzi humu jamvini
hujakosea ila kama ni maths isingekua pure maths ingekua hata BAM haswa kwa hawa wa arts..inakua ngumu sana hasa kwa wale tusio soma hata BAM alafu unakuja chuo unakutana na hesabu tena muda mwingine kama pure..njoo huku vyuoni ndio utaelewa nini nnachosema..hayo masomo yawepo ila iwe ni basic au introductory!!!
ni ngumu hilo halina ubishi...ila mgonjwa hachagui dawa...inakua meaningless unakimbia hesabu alevo alafu unaikuta chuo....iwepo tu hiyo bam na iwe subsidiary tu...naimani itasaidia tena sana....Kwa BAM ngumu kweli kwa wanafunz waliosoma art.
But for me sijawahi kusoma history toka nipate fahamu mpaka sasa nipo chuo
Upuuuzi mtupu ,acha kuweka ushenzi wako humu jf nenda huko fb yaani mijitu mingine uwezo mdogo wa kufikiri matokeo yake unaweka upuuzi humu jamvini
Kiengereza kwa ajili ya interview za kazi na matumizi mengine.
Hasabu kwa ajili ya kunoa ubongo uwe active na sharp kwenye maisha.
Hayo mengine mbwembwe tu na kuongezeana unnecessary mizigo.
hujakosea ila kama ni maths isingekua pure maths ingekua hata BAM haswa kwa hawa wa arts..inakua ngumu sana hasa kwa wale tusio soma hata BAM alafu unakuja chuo unakutana na hesabu tena muda mwingine kama pure..njoo huku vyuoni ndio utaelewa nini nnachosema..hayo masomo yawepo ila iwe ni basic au introductory!!!
Biology je?
Kuna tofauti kwani?Basic Maths ilikushinda, BAM je? Unafikiri BAM ni simple?
Basic Maths ilikushinda, BAM je? Unafikiri BAM ni simple?