Nipo kwenye bar flan hapa maeneo ya banana zilipo bar nyingi na kitimoto.
Kwa kweli hali niliyoiona hapa ni ya kusikitisha kwani asilimia kubwa ya wahudumu wa hapa ni watoto wa kike wenye umri kati ya miaka 14 mpaka 17.
Hali inatisha wadau.
Nipo kwenye bar flan hapa maeneo ya banana zilipo bar nyingi na kitimoto.
Kwa kweli hali niliyoiona hapa ni ya kusikitisha kwani asilimia kubwa ya wahudumu wa hapa ni watoto wa kike wenye umri kati ya miaka 14 mpaka 17.
Hali inatisha wadau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.