Maskini Wambura...

Sijui kwanini vijana wa DR SLAA WANAJARIBU KUJIPAMBANISHA NA ZITTO IKIWA DR SLAA MWENYEWE KASHINDWA.
 
Pia hiyo ungewatag akina Shonza na Mtela waambie 04/01/2014 kibarua kitaota nyasi
 
Hii imewagusa wengi, bila kumung'unya maneno mwandishi ni ni mmoja wao... WALE UNAODHANI BILA WAO HUWEZI KUISHI WAO BILA WEWE WANAWEZA KUISHI... tafakarini wote mlioguswa.
 
:flame:Maeneo ya kuyaangalia
1- Mke na watoto wanne
2- Kifungo cha miaka mitatu hakijaisha- 2012-2015
3- Bwana Mzikaji
Bado nadodosa
 
Naona mwisho umekosea mzikaji alipata msamaha wa raisi na akatoka nje akawahuru na kuendelea na harakati za ukombozi
 

Duu umenena mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…