Najaribu kujiuliza ni nani alitoa taarifa hii kwa maana mtorokaji kazikwa na pia mtoroshaji kumbe Naye kafa,halafu kwenye jeneza anafungua na kumkuta mzikaji,sasa huku kaburini palikuwa na ukubwa gani hadi kuweza kugeuka na kumfunua maiti au kulikuwa na mwanga ndani na kama ndio nani akiweka huo mwanga na kwanini asingemuokoa?
Haya hadithi njoo utamu kolea
Happy New Year