Maskini Rostam!

Wa mbili havai moja. Na Igunga hakamati mtu asiyemtaka Rostam?

Nakubaliana na wewe FF, CCM ndiyo ilimkataa Rostam kwa kumwita gamba na kashfa nyingine za siasa uchwara mpaka akaamua kuachia ngazi, kwa mantiki hiyo CCM haitashinda Igunga kwa vile haimtaki Rostam bali ina taka fedha zake tu na yeye hilo analitambua, na hapo sasa ndiyo mtamjua RA kuwa ni bingwa kucheza karata tatu.
 
Hiyo ndiyo tabia halisi ya makahaba. Sasa kama hata Chama cha siasa tena tawala kinaingia kwenye ukahaba wa siasa basi hamna kitu hapo.
 
Yaani kweli ukipenda basi pengo utaita mwanya, huyo mara myuambie ni fisadi mmemvua gamba hapo hapo tena amekuwa mzuri kwenye kampeni, haya bwana labda na wewe ndio wale wale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…