Wapumbavu utawajua kwa ujuha wao, Sisi walalahoi hatumchukii Lowassa na wapumbavu wengine, tunachokichukia ni kutumia Mali zetu za Umma kwa manufaa yao na familia yao. I hate any mpumbavu anayeiba mali zetu za umma kwa manufaa yake. Kwa hiyo kama baba yako alikujengea maisha kwa mtindo wa Lowassa basi hatuna budi nasi walalahoi kukuchukia hata wewe. Mpumbafu kubwa weye, ufisadi mnaotuibia mali zetu ndio umeona ujanja sio?