popote pale Dunia, Elimu inapaswa kumsaidia mtu kufuta ujinga, kama elimu haitomsaidia kufuta ujinga basi yawezekana ujinga alionao ni urithi kutoka kwa wazazi,
hakuna utajiri mkubwa kama elimu, leo kina Steve jobs wamekufa lakini bado vizazi vyake vinakula pesa chafu kutokana na ideas za kisomi walizokua nazo wazazi wao,
usitowe Maneno ya kashfa coz huwajuwi wote wote wa JF.. pesa ulizonazo kunawatu hapa JF wanaweza kuzipata Mara 50 ya ulizonazo kutokana na ideas zao kwenye jamii kutokana na elimu walizonazo ....