Maskini Buku mbili langu

Maskini Buku mbili langu

Sele Mkonje

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2011
Posts
643
Reaction score
846
Hivi hawa Airtel mbona wezi sana? Leo nimeweka vocha ya Tsh 2000 nikajua nitaongea dk 5 au zaidi na m2 ambaye yupo Marikani coz kiwango ni tshs 5.16 per Sec,lakin nilipopiga 2 ilikatika yote baada ya dk 1:35.. Naomba mniambie ni2mie mtandao gani ambao una gharama nafuu kupiga cm za nje.
 
wasiliana na freemason customer care
 
Hivi hawa Airtel mbona wezi sana? Leo nimeweka vocha ya Tsh 2000 nikajua nitaongea dk 5 au zaidi na m2 ambaye yupo Marikani coz kiwango ni tshs 5.16 per Sec,lakin nilipopiga 2 ilikatika yote baada ya dk 1:35.. Naomba mniambie ni2mie mtandao gani ambao una gharama nafuu kupiga cm za nje.
Buku mbili kumbe kubwa hadi linaanzishiwa thread!!!
 
Buku mbili kumbe kubwa hadi linaanzishiwa thread!!!

kwa mafisadi ni "vijisenti" lakini kwa sisi 2naoishi chini ya dola moja kwa cku ni kubwa kupita maelezo... Unapotaja buku mbili ujue unaongelea bajet ya cku 5 ya babu yako kule kijijini.
 
Unaibisha jamvi kulalamikia buku 2. Sadaka umetoa lini wewe?.
 
Unaibisha jamvi kulalamikia buku 2. Sadaka umetoa lini wewe?.
Hili ndio tatizo la wa Tanzania wengi, yaani kila siku tunaibiwa na kudhulumiwa haki zetu lakini tunaona poa tuu!
 
Buku mbili kumbe kubwa hadi linaanzishiwa thread!!!

kila siku napiga kelele na huu unafki wa kujifanya premier people. Kama buku mbili sio kubwa mbona bei ya petroli ilivyohit the price mlitokwa na povu? Kuna thread ngapi zilianzishwa kuhusu lile buku mbili la petroli? By tha way, mada ilikuwa ni gharama za kupiga simu nje na udanganyifu wa Eateli, buku mbili imetumika kupamba heading tu!
 
kwa mafisadi ni "vijisenti" lakini kwa sisi 2naoishi chini ya dola moja kwa cku ni kubwa kupita maelezo... Unapotaja buku mbili ujue unaongelea bajet ya cku 5 ya babu yako kule kijijini.

baambie habho!
 
Unaibisha jamvi kulalamikia buku 2. Sadaka umetoa lini wewe?.

Mshukuru muumba wako kwa kukujalia kuwa nazo. Mwenzako hujui amezipataje hizo buku mbili. Madharau meeeengi!!!!!
 
Hivi hawa Airtel mbona wezi sana? Leo nimeweka vocha ya Tsh 2000 nikajua nitaongea dk 5 au zaidi na m2 ambaye yupo Marikani coz kiwango ni tshs 5.16 per Sec,lakin nilipopiga 2 ilikatika yote baada ya dk 1:35.. Naomba mniambie ni2mie mtandao gani ambao una gharama nafuu kupiga cm za nje.
Buku mbili kumbe kubwa hadi linaanzishiwa thread!!!
Fikiria kwanza kabla ya kubwabwaja, huyu ni mmoja kalalamika kuna maelfu wanaibiwa/wanatapeliwa kwa njia hii. Nilipokua VIDUDU mwl. alisema "haba na haba .........."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom