Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,439
- 166,892
Hivi hawa Airtel mbona wezi sana? Leo nimeweka vocha ya Tsh 2000 nikajua nitaongea dk 5 au zaidi na m2 ambaye yupo Marikani coz kiwango ni tshs 5.16 per Sec,lakin nilipopiga 2 ilikatika yote baada ya dk 1:35.. Naomba mniambie ni2mie mtandao gani ambao una gharama nafuu kupiga cm za nje.
tumia redio call