Maskini Buku mbili langu

Maskini Buku mbili langu

Hivi hawa Airtel mbona wezi sana? Leo nimeweka vocha ya Tsh 2000 nikajua nitaongea dk 5 au zaidi na m2 ambaye yupo Marikani coz kiwango ni tshs 5.16 per Sec,lakin nilipopiga 2 ilikatika yote baada ya dk 1:35.. Naomba mniambie ni2mie mtandao gani ambao una gharama nafuu kupiga cm za nje.

tumia redio call
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom