ahzan
JF-Expert Member
- Apr 2, 2022
- 302
- 475
MashAllah!!Single Mothers wana mengi mazuri; inaweka kuwa sio wote ila wengi wao
1. Umakini wa maisha - Yaani wapo very positive na cautious; kuliko hawa mbwea ambao bado wanalingia matako na sura.
2. Utulivu- ni watu wa kusikiliza bila kuwa na mihemko; yaani hata kama ni mjadala basi mnajadiliana kwa uzuri kabisa; anajenga hoja na kuhitaji ufafanuzi; kuliko hawa tumbili ambao hawana utulivu kabisa.
3. Wanaheshimu mahusiano - hawa wana uaminifu sana kwenye mahusiano na wanaheshimu mahusiano kuliko hawa mijusi wengine; wana mabwana zaidi ya 6 ila wamejaa uongo tu .
4. Wanathamini masuala ya kifamilia; nadhani kwa kuwa wanakuwa na mtoto/ watoto wanaanza kuelewa mambo muhimu katika maisha; sio watu wa kutaka kushinda bar na kunywa bia kila siku; lakini hwa digidigi kila siku anataka apate mtu wa kumtoa kumpeleka bar;
Single mothers; mna mengi mazuri na tumeamua kuwatambua kwa mazuri yenu kuanzia leo hawa nzige wanaokimbia kuzaa kwa kutoa mimba wasiwafanye mkose furaha;nyinyi ni akina mama na pia ni wanawake kamili kabisa.
Dinner yako ya leo juu yangu
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
