Masingo maza ni wazuri mno

Masingo maza ni wazuri mno

Mtoa mada; huwa siwaitii na situmii jina la ''single mothers'' kwa sababu ya stigma ya hilo jina.

Turudi kwenye mada;

Uliyoyaeleza kuhusu hao watu ni kweli kabisa.

Wanajua sana kujali; wapo tayari kushiriki katika tatizo lako liwe la kifedha au la kijamii kuliko hawa nguchiro ambao hata ukiwambia kuwa umefiwa au unauguza wanaishia kukupa pole ya maneno matupu huku akikukumbusha kodi ya miezi mitatu.

Ukija kwenye mambo yetu yale hawa hawana choyo kabisa na wala hawakupi mzigo kwa kipimo. Yaani mkikutana anakuachia yote tena kwa mahaba ya kutosha. Kuliko hawa ngedere ambao kwanza hawana usafi zaidi ya usoni na waachojua ni kulala kama mataruma ya reli.

Kingine huwa wasafi sana; wanajali sana miili yao tena haswa hawa wa CORPORATE; wenye kazi zao na biashara zao za maana hapa mjini. Hawa kenge wengine wanachojua ni kufuga mikucha mirefu na kusafisha uso tu, hawana muda na miili yao. Hawajui hata kutawaza.

Kwenye kusaidia mashemeji na wifi zao ndio hatari zaidi; yaani ukisema tu mdogo wangu Suzy amemaliza UDSM na hajapata kazi na kama ana nafasi ofisini kwake au ana connection lazima atafanya juu chini ili wifi yake apate kazi. Hawa fisi wengine wenyewe hawana kazi wala biashara wanakutegemea kwa kila kitu.

Kwenye kupika; hapa wengi wapo vizuri; yaani akikualika kwake jua utakula chakula kilichopikwa vizuri tena wanajali sana kuhusu balance diet; yaani utakula vizuri na kunywa juisi ya kiwango; huku ukipewa bites na vitafunwa vingine, hawa digidigi wao kula ni chipsi kuku au chipsi yao; hawajui kupika wala kupanga nyumba.

Ukimkuta yupo matured zaidi; yaani atahakikisha hata kama una mke basi uwe na amani na mkeo;hawana usumbufu wa kijinga; wao mkiwasiliana na kusalimiana basi roho yake imeridhika kabisa hawana usumbufu kuliko hawa nguchiro wengine wanaowaza ndoa na kumiliki mwanaume.

Kwenye busara ya matumizi wapo vizuri sana; kama ni kutumia basi walau anachangia gharama na anashauri mahali pa kwenda kulingana na mfuko. Anaweza kukwambia muende Bagamoyo lakini akakwambia gharama za hoteli ni juu yake; hawa panya wengine anakuja na mkoba hauna hata mia; amebeba tissue na mafuta ya kujipaka tu huku akiwa amepania kuja kulewa.

Wengi wanajali sana kuhusu watoto wako; lazima atauliza wanazoma wapi na maendeleo yao ya shule; kuliko hawa kobe wanaotaka simu mpya tu bila kujali majukumu yako mengine. Hawa popo wao ni kuuliza kuhusu hela na zawadi tu; hana time na maisha yako na familia yako.

Kwenye uwekezaji; hawa huwa hata wanakupa taarifa kuhusu viwanja na biashara ili uongeze kipato; kuliko hawa fisi wengine ambao wao wanataka kutumia tu bila kujua uchungu wa kutafuta pesa. Hawa hata unaweza kuwa nao kama business partner; kuliko hawa viboko wao hawana wanachojua kuhusu masuala ya finance wao ni instagram na tiktok tu.

Mwisho kabisa hawa singo mother unaweza hata ukakaa nao mkajadili mambo ya maana; lakini hawa vishikwambi wengine wao ni umbea na mambo yasio na maana katika maisha.

Single mothers wenye akili nawapenda sana na mpo kwenye maombi yangu.
 
Mtoa mada; huwa siwaitii na situmii jina la ''single mothers'' kwa sababu ya stigma ya hilo jina.

Turudi kwenye mada;

Uliyoyaeleza kuhusu hao watu ni kweli kabisa.

Wanajua sana kujali; wapo tayari kushiriki katika tatizo lako liwe la kifedha au la kijamii kuliko hawa nguchiro ambao hata ukiwambia kuwa umefiwa au unauguza wanaishia kukupa pole ya maneno matupu huku akikukumbusha kodi ya miezi mitatu.

Ukija kwenye mambo yetu yale hawa hawana choyo kabisa na wala hawakupi mzigo kwa kipimo. Yaani mkikutana anakuachia yote tena kwa mahaba ya kutosha. Kuliko hawa ngedere ambao kwanza hawana usafi zaidi ya usoni na waachojua ni kulala kama mataruma ya reli.

Kingine huwa wasafi sana; wanajali sana miili yao tena haswa hawa wa CORPORATE; wenye kazi zao na biashara zao za maana hapa mjini. Hawa kenge wengine wanachojua ni kufuga mikucha mirefu na kusafisha uso tu, hawana muda na miili yao. Hawajui hata kutawaza.

Kwenye kusaidia mashemeji na wifi zao ndio hatari zaidi; yaani ukisema tu mdogo wangu Suzy amemaliza UDSM na hajapata kazi na kama ana nafasi ofisini kwake au ana connection lazima atafanya juu chini ili wifi yake apate kazi. Hawa fisi wengine wenyewe hawana kazi wala biashara wanakutegemea kwa kila kitu.

Kwenye kupika; hapa wengi wapo vizuri; yaani akikualika kwake jua utakula chakula kilichopikwa vizuri tena wanajali sana kuhusu balance diet; yaani utakula vizuri na kunywa juisi ya kiwango; huku ukipewa bites na vitafunwa vingine, hawa digidigi wao kula ni chipsi kuku au chipsi yao; hawajui kupika wala kupanga nyumba.

Ukimkuta yupo matured zaidi; yaani atahakikisha hata kama una mke basi uwe na amani na mkeo;hawana usumbufu wa kijinga; wao mkiwasiliana na kusalimiana basi roho yake imeridhika kabisa hawana usumbufu kuliko hawa nguchiro wengine wanaowaza ndoa na kumiliki mwanaume.

Kwenye busara ya matumizi wapo vizuri sana; kama ni kutumia basi walau anachangia gharama na anashauri mahali pa kwenda kulingana na mfuko. Anaweza kukwambia muende Bagamoyo lakini akakwambia gharama za hoteli ni juu yake; hawa panya wengine anakuja na mkoba hauna hata mia; amebeba tissue na mafuta ya kujipaka tu huku akiwa amepania kuja kulewa.

Wengi wanajali sana kuhusu watoto wako; lazima atauliza wanazoma wapi na maendeleo yao ya shule; kuliko hawa kobe wanaotaka simu mpya tu bila kujali majukumu yako mengine. Hawa popo wao ni kuuliza kuhusu hela na zawadi tu; hana time na maisha yako na familia yako.

Kwenye uwekezaji; hawa huwa hata wanakupa taarifa kuhusu viwanja na biashara ili uongeze kipato; kuliko hawa fisi wengine ambao wao wanataka kutumia tu bila kujua uchungu wa kutafuta pesa. Hawa hata unaweza kuwa nao kama business partner; kuliko hawa viboko wao hawana wanachojua kuhusu masuala ya finance wao ni instagram na tiktok tu.

Mwisho kabisa hawa singo mother unaweza hata ukakaa nao mkajadili mambo ya maana; lakini hawa vishikwambi wengine wao ni umbea na mambo yasio na maana katika maisha.

Single mothers wenye akili nawapenda sana na mpo kwenye maombi yangu.
nguchiro,vishikwambi, Kobe,ngedere

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Nakiri kabisa kati ya wanawake 10 nitakaowatongoza wanane ni masingo maza,na ukweli ni wazuri mno na sifa zao ni hizi:
1.ni wasafi mno na hujitayarisha sana kwa sex
2.wanajua sana sex kunzia romansi hadi kwichikwichi na stamina wanayo,na hutikia vizuri sana rizim ya mapigo yangu kila napobadili huwa wanabadili
3.vitendo vyote mkifanya chumbani hutavisikia mitaani
4.mahali penye hatari watakuambia mapema na wanajua sana kulinda heshima ya mkeo
5.huomba fedha kwa heshima na kwa shida maalumu maana mara nyingi wana biashara zao
6.hawasiti kukwambia siri zao
Tuwapende masingo maza

✔️✔️✔️
Ulichosema ni Sahihi Kabisa.

Ila hujaeleza mkiwa ndani ya Ndoa au mahusiano labda ya miaka miwili au mitatu Chini ya Paa moja pika pakua inakuwaje, hapo ndio wengi huogopa,.
Ila hiyo ya kila MTU kuishi kwake mbona Mwanamke yeyote unaweza kuwa naye
 
Nakiri kabisa kati ya wanawake 10 nitakaowatongoza wanane ni masingo maza,na ukweli ni wazuri mno na sifa zao ni hizi:
1.ni wasafi mno na hujitayarisha sana kwa sex
2.wanajua sana sex kunzia romansi hadi kwichikwichi na stamina wanayo,na hutikia vizuri sana rizim ya mapigo yangu kila napobadili huwa wanabadili
3.vitendo vyote mkifanya chumbani hutavisikia mitaani
4.mahali penye hatari watakuambia mapema na wanajua sana kulinda heshima ya mkeo
5.huomba fedha kwa heshima na kwa shida maalumu maana mara nyingi wana biashara zao
6.hawasiti kukwambia siri zao
Tuwapende masingo maza
Eti wanalinda heshma kwa mkeo foolish kumbe mnawapendea kuwatumia na huku mnafamilia zenu???
Wadada tuna shida sana hasa wasiojielewa, unatembeaje na mume wa mtu mbwa nyie...yaan una mtoto baba yake spermdonor bado unatembea na mtu mwenye mke wake!!
 
Eti wanalinda heshma kwa mkeo foolish kumbe mnawapendea kuwatumia na huku mnafamilia zenu???
Wadada tuna shida sana hasa wasiojielewa, unatembeaje na mume wa mtu mbwa nyie...yaan una mtoto baba yake spermdonor bado unatembea na mtu mwenye mke wake!!
Are you mentally okay?
 
Eti wanalinda heshma kwa mkeo foolish kumbe mnawapendea kuwatumia na huku mnafamilia zenu???
Wadada tuna shida sana hasa wasiojielewa, unatembeaje na mume wa mtu mbwa nyie...yaan una mtoto baba yake spermdonor bado unatembea na mtu mwenye mke wake!!
Acha makasiriko Nguchiro
 
Mtoa mada; huwa siwaitii na situmii jina la ''single mothers'' kwa sababu ya stigma ya hilo jina.

Turudi kwenye mada;

Uliyoyaeleza kuhusu hao watu ni kweli kabisa.

Wanajua sana kujali; wapo tayari kushiriki katika tatizo lako liwe la kifedha au la kijamii kuliko hawa nguchiro ambao hata ukiwambia kuwa umefiwa au unauguza wanaishia kukupa pole ya maneno matupu huku akikukumbusha kodi ya miezi mitatu.

Ukija kwenye mambo yetu yale hawa hawana choyo kabisa na wala hawakupi mzigo kwa kipimo. Yaani mkikutana anakuachia yote tena kwa mahaba ya kutosha. Kuliko hawa ngedere ambao kwanza hawana usafi zaidi ya usoni na waachojua ni kulala kama mataruma ya reli.

Kingine huwa wasafi sana; wanajali sana miili yao tena haswa hawa wa CORPORATE; wenye kazi zao na biashara zao za maana hapa mjini. Hawa kenge wengine wanachojua ni kufuga mikucha mirefu na kusafisha uso tu, hawana muda na miili yao. Hawajui hata kutawaza.

Kwenye kusaidia mashemeji na wifi zao ndio hatari zaidi; yaani ukisema tu mdogo wangu Suzy amemaliza UDSM na hajapata kazi na kama ana nafasi ofisini kwake au ana connection lazima atafanya juu chini ili wifi yake apate kazi. Hawa fisi wengine wenyewe hawana kazi wala biashara wanakutegemea kwa kila kitu.

Kwenye kupika; hapa wengi wapo vizuri; yaani akikualika kwake jua utakula chakula kilichopikwa vizuri tena wanajali sana kuhusu balance diet; yaani utakula vizuri na kunywa juisi ya kiwango; huku ukipewa bites na vitafunwa vingine, hawa digidigi wao kula ni chipsi kuku au chipsi yao; hawajui kupika wala kupanga nyumba.

Ukimkuta yupo matured zaidi; yaani atahakikisha hata kama una mke basi uwe na amani na mkeo;hawana usumbufu wa kijinga; wao mkiwasiliana na kusalimiana basi roho yake imeridhika kabisa hawana usumbufu kuliko hawa nguchiro wengine wanaowaza ndoa na kumiliki mwanaume.

Kwenye busara ya matumizi wapo vizuri sana; kama ni kutumia basi walau anachangia gharama na anashauri mahali pa kwenda kulingana na mfuko. Anaweza kukwambia muende Bagamoyo lakini akakwambia gharama za hoteli ni juu yake; hawa panya wengine anakuja na mkoba hauna hata mia; amebeba tissue na mafuta ya kujipaka tu huku akiwa amepania kuja kulewa.

Wengi wanajali sana kuhusu watoto wako; lazima atauliza wanazoma wapi na maendeleo yao ya shule; kuliko hawa kobe wanaotaka simu mpya tu bila kujali majukumu yako mengine. Hawa popo wao ni kuuliza kuhusu hela na zawadi tu; hana time na maisha yako na familia yako.

Kwenye uwekezaji; hawa huwa hata wanakupa taarifa kuhusu viwanja na biashara ili uongeze kipato; kuliko hawa fisi wengine ambao wao wanataka kutumia tu bila kujua uchungu wa kutafuta pesa. Hawa hata unaweza kuwa nao kama business partner; kuliko hawa viboko wao hawana wanachojua kuhusu masuala ya finance wao ni instagram na tiktok tu.

Mwisho kabisa hawa singo mother unaweza hata ukakaa nao mkajadili mambo ya maana; lakini hawa vishikwambi wengine wao ni umbea na mambo yasio na maana katika maisha.

Single mothers wenye akili nawapenda sana na mpo kwenye maombi yangu.
Ila wewe jamaa bwana umeamua tu kuwakera dada zetu kin vishikwambi
 
Eti wanalinda heshma kwa mkeo foolish kumbe mnawapendea kuwatumia na huku mnafamilia zenu???
Wadada tuna shida sana hasa wasiojielewa, unatembeaje na mume wa mtu mbwa nyie...yaan una mtoto baba yake spermdonor bado unatembea na mtu mwenye mke wake!!

Ila vishikwambi, nguchiro na panya huwa mna makasiriko kweli; baki kwenye mada usmshambulie mtoa mada
 
Eti wanalinda heshma kwa mkeo foolish kumbe mnawapendea kuwatumia na huku mnafamilia zenu???
Wadada tuna shida sana hasa wasiojielewa, unatembeaje na mume wa mtu mbwa nyie...yaan una mtoto baba yake spermdonor bado unatembea na mtu mwenye mke wake!!
Nani mbwa sasa?? Afu sikia hao wasiojielewa wanaotembea na waume za watu usi force wafanane mitazamo na wewe kila mtu anaishi kwa mahesabu,nafasi, mitazamo na maamuzi yake

Waume za watu waume za watu kwani sisi majini??

Afu nani kasema kuwa wanatutumia hamna kutumika ni mahusiano tu na tunaridhia kuwa nao katika mahusiano so haijalishi ni mume wa mtu au laa kikubwa ni mimi na maamuzi yangu na risks nilizojipimia at the end ndo tutajua sasa kama penzi litafika mwisho, nitakua mchepuko forever au nitakua mke mwenza wa halali

Afu nani kasema kuwa ukiwa na familia huruhusiwi kuwa na hisia au kupenda wengine??, kikubwa heshima tu na ndo mana tukishajimbia kwenye hilo shimo option inayobaki ni kuheshimu hao wake zao

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Nakiri kabisa kati ya wanawake 10 nitakaowatongoza wanane ni masingo maza,na ukweli ni wazuri mno na sifa zao ni hizi:
1.ni wasafi mno na hujitayarisha sana kwa sex
2.wanajua sana sex kunzia romansi hadi kwichikwichi na stamina wanayo,na hutikia vizuri sana rizim ya mapigo yangu kila napobadili huwa wanabadili
3.vitendo vyote mkifanya chumbani hutavisikia mitaani
4.mahali penye hatari watakuambia mapema na wanajua sana kulinda heshima ya mkeo
5.huomba fedha kwa heshima na kwa shida maalumu maana mara nyingi wana biashara zao
6.hawasiti kukwambia siri zao
Tuwapende masingo maza
Ukimchukua ukimweka ndan hizo sifa zote zinatoweka, hivyo ni bora waendelee kuwa single ili tuwafaidi
 
Nani mbwa sasa?? Afu sikia hao wasiojielewa wanaotembea na waume za watu usi force wafanane mitazamo na wewe kila mtu anaishi kwa mahesabu,nafasi, mitazamo na maamuzi yake

Waume za watu waume za watu kwani sisi majini??

Afu nani kasema kuwa wanatutumia hamna kutumika ni mahusiano tu na tunaridhia kuwa nao katika mahusiano so haijalishi ni mume wa mtu au laa kikubwa ni mimi na maamuzi yangu na risks nilizojipimia at the end ndo tutajua sasa kama penzi litafika mwisho, nitakua mchepuko forever au nitakua mke mwenza wa halali

Afu nani kasema kuwa ukiwa na familia huruhusiwi kuwa na hisia au kupenda wengine??, kikubwa heshima tu na ndo mana tukishajimbia kwenye hilo shimo option inayobaki ni kuheshimu hao wake zao

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Umeandika vyema sana.
Watanzania wengi ni wanafiki sana kwenye suala la dini na maadili.
 
Nakiri kabisa kati ya wanawake 10 nitakaowatongoza wanane ni masingo maza,na ukweli ni wazuri mno na sifa zao ni hizi:
1.ni wasafi mno na hujitayarisha sana kwa sex
2.wanajua sana sex kunzia romansi hadi kwichikwichi na stamina wanayo,na hutikia vizuri sana rizim ya mapigo yangu kila napobadili huwa wanabadili
3.vitendo vyote mkifanya chumbani hutavisikia mitaani
4.mahali penye hatari watakuambia mapema na wanajua sana kulinda heshima ya mkeo
5.huomba fedha kwa heshima na kwa shida maalumu maana mara nyingi wana biashara zao
6.hawasiti kukwambia siri zao
Tuwapende masingo maza
Wazuri katika dhambi zinaa tumekuelewa,
 
Mtoa mada; huwa siwaitii na situmii jina la ''single mothers'' kwa sababu ya stigma ya hilo jina.

Turudi kwenye mada;

Uliyoyaeleza kuhusu hao watu ni kweli kabisa.

Wanajua sana kujali; wapo tayari kushiriki katika tatizo lako liwe la kifedha au la kijamii kuliko hawa nguchiro ambao hata ukiwambia kuwa umefiwa au unauguza wanaishia kukupa pole ya maneno matupu huku akikukumbusha kodi ya miezi mitatu.

Ukija kwenye mambo yetu yale hawa hawana choyo kabisa na wala hawakupi mzigo kwa kipimo. Yaani mkikutana anakuachia yote tena kwa mahaba ya kutosha. Kuliko hawa ngedere ambao kwanza hawana usafi zaidi ya usoni na waachojua ni kulala kama mataruma ya reli.

Kingine huwa wasafi sana; wanajali sana miili yao tena haswa hawa wa CORPORATE; wenye kazi zao na biashara zao za maana hapa mjini. Hawa kenge wengine wanachojua ni kufuga mikucha mirefu na kusafisha uso tu, hawana muda na miili yao. Hawajui hata kutawaza.

Kwenye kusaidia mashemeji na wifi zao ndio hatari zaidi; yaani ukisema tu mdogo wangu Suzy amemaliza UDSM na hajapata kazi na kama ana nafasi ofisini kwake au ana connection lazima atafanya juu chini ili wifi yake apate kazi. Hawa fisi wengine wenyewe hawana kazi wala biashara wanakutegemea kwa kila kitu.

Kwenye kupika; hapa wengi wapo vizuri; yaani akikualika kwake jua utakula chakula kilichopikwa vizuri tena wanajali sana kuhusu balance diet; yaani utakula vizuri na kunywa juisi ya kiwango; huku ukipewa bites na vitafunwa vingine, hawa digidigi wao kula ni chipsi kuku au chipsi yao; hawajui kupika wala kupanga nyumba.

Ukimkuta yupo matured zaidi; yaani atahakikisha hata kama una mke basi uwe na amani na mkeo;hawana usumbufu wa kijinga; wao mkiwasiliana na kusalimiana basi roho yake imeridhika kabisa hawana usumbufu kuliko hawa nguchiro wengine wanaowaza ndoa na kumiliki mwanaume.

Kwenye busara ya matumizi wapo vizuri sana; kama ni kutumia basi walau anachangia gharama na anashauri mahali pa kwenda kulingana na mfuko. Anaweza kukwambia muende Bagamoyo lakini akakwambia gharama za hoteli ni juu yake; hawa panya wengine anakuja na mkoba hauna hata mia; amebeba tissue na mafuta ya kujipaka tu huku akiwa amepania kuja kulewa.

Wengi wanajali sana kuhusu watoto wako; lazima atauliza wanazoma wapi na maendeleo yao ya shule; kuliko hawa kobe wanaotaka simu mpya tu bila kujali majukumu yako mengine. Hawa popo wao ni kuuliza kuhusu hela na zawadi tu; hana time na maisha yako na familia yako.

Kwenye uwekezaji; hawa huwa hata wanakupa taarifa kuhusu viwanja na biashara ili uongeze kipato; kuliko hawa fisi wengine ambao wao wanataka kutumia tu bila kujua uchungu wa kutafuta pesa. Hawa hata unaweza kuwa nao kama business partner; kuliko hawa viboko wao hawana wanachojua kuhusu masuala ya finance wao ni instagram na tiktok tu.

Mwisho kabisa hawa singo mother unaweza hata ukakaa nao mkajadili mambo ya maana; lakini hawa vishikwambi wengine wao ni umbea na mambo yasio na maana katika maisha.

Single mothers wenye akili nawapenda sana na mpo kwenye maombi yangu.
Lunch ya leo ntalipa
 
Single Mothers wana mengi mazuri; inaweka kuwa sio wote ila wengi wao

1. Umakini wa maisha - Yaani wapo very positive na cautious; kuliko hawa mbwea ambao bado wanalingia matako na sura.

2. Utulivu- ni watu wa kusikiliza bila kuwa na mihemko; yaani hata kama ni mjadala basi mnajadiliana kwa uzuri kabisa; anajenga hoja na kuhitaji ufafanuzi; kuliko hawa tumbili ambao hawana utulivu kabisa.

3. Wanaheshimu mahusiano - hawa wana uaminifu sana kwenye mahusiano na wanaheshimu mahusiano kuliko hawa mijusi wengine; wana mabwana zaidi ya 6 ila wamejaa uongo tu .

4. Wanathamini masuala ya kifamilia; nadhani kwa kuwa wanakuwa na mtoto/ watoto wanaanza kuelewa mambo muhimu katika maisha; sio watu wa kutaka kushinda bar na kunywa bia kila siku; lakini hwa digidigi kila siku anataka apate mtu wa kumtoa kumpeleka bar;



Single mothers; mna mengi mazuri na tumeamua kuwatambua kwa mazuri yenu kuanzia leo hawa nzige wanaokimbia kuzaa kwa kutoa mimba wasiwafanye mkose furaha;nyinyi ni akina mama na pia ni wanawake kamili kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom