Km huelewi ulichoandika kinamaanisha nini ndio shida yenyewe ninayokueleza. Ulimalizia kwa kujisifu kuwa msomaji na ukahamia ktk swali , linalotaka subiri km yatatokea kwa magufuli, pengine hujaelewa logic hapo, hapo kuna IF THEN kibao ambazo ubongo wako ume assume ni sahihi ndio maana ukajump km kuangalia km magufuli ataangukio ktk hilo box la mifano ya kweli kweli
Haya maelezo yako yanakusaliti ulichokataa hapo juu. Pengine hujui choice mtu na jinsi ya kumtambulisha kunaweza sema km unajipendekeza, unamtumia au hujui ufanyalo.
NIKI CUT SHORT HII QUOTE. HUYO JAMAA ANALALAMA KWAMBA UBEPARI UNATENGENEZA WATU WACHACHE PALE JUU, ILA HAJASEMA UJAMAA NAO UNAWAVUTA WATU KIASI GANI CHINI NA KUWATESA SANA NA WAVIVU AU WATU WASIOTUMIA AKILI. NA KM HIYO NI HAKI? HAJASEMA KM UJAMAA NAO HAUPO HIVYO TENA VIBAYA ZAIDI, WANANCHI WANALIMISHWA, VIONGOZI WANAKULA KIVULINI,WANAFAGILIWA NJIA,NA NYUMBA WANAZOKAA, HUKU HAWAFANYI KAZI.