Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 1,145
- 1,912
Hamna mtu mwenye roho mbaya kama masikini Nakwambia hakika ! Kama unabisha bisha tu!
Kuna mambo mengi mabaya nimeyaona !!
Sina hamu na masikini mmi
Hujamkosea kitu Anataka Akuroge!
Huna ugomvi nae anakuchafua na kukufanyia fitina ili maisha yasiende.
Kuna sehemu nimejenga Navosumbuliwa utafikiri tuna ugomvi na niliowazunguka.
Visaa ni vingi
Kuna mambo mengi mabaya nimeyaona !!
Sina hamu na masikini mmi
Hujamkosea kitu Anataka Akuroge!
Huna ugomvi nae anakuchafua na kukufanyia fitina ili maisha yasiende.
Kuna sehemu nimejenga Navosumbuliwa utafikiri tuna ugomvi na niliowazunguka.
Visaa ni vingi