Masikini kaka huyu

Ndoa kwa mtu mwenye ngwengwe?... aaa wapi hata dudu nikilivalisha mfuko wa rambo na kapeti juu haliwezi kusimama achilia mbali kuingia ktk tundu lenye umeme!
mkuu umenicheesha japo siyo cha kucheka
 
sawa mkuu
 
tatizo ni kwamba hua hatupend ukwel mchungu al the time tunaangalia yale yanayofurahisha nafsi peke ake.
hili linapelekea matatizo makubwa kama haya .. sasa ona ndoa inavunjika inaathiri hadi ndugu
 
Hata yesu alivyomwambia shetan kuwa usimjaribu bwana mungu wako alijua kuwa japo mungu yupo naye lakn hawez kujitosa kwenye hatar pasipo sababu na akasalimika
kweli kabisa hakumjaribu Mungu japo alikuwa wa pekee kwa baba
Mmh huyo mkewe hatari tena mbwa mwitu alievaa ngozi ya kondoo yaani pamoja na yote hayo anataka kumwangamiza mwenzake aisee kuna watu wa ajabu

binti mkimya huyo aisee ila hatari sana

Huyo jamaa anahitaji ushauri na huyo mkewe vilevile
 
Inavyoelekea huyo mwanamke anataka kumwambukiza jamaa kwa nguvu ili akishaupata hiyo ndoa iendelee!
Maana hapo ndoa kuendelea ni vigumu au kuna vitu wataanza kujiwekea limits!
Huwa naamini hata mtu upite kwenye hali ngumu kiasi gani kila kitu huwa kinapita ila hili la kuishi na mtu unajua kabisa anao duh! Ni mtihani!
 

Pamoja nakumia kichwa lakn lazma upime uzito wa jambo..
Kama bint huyo anajali uhai wa mwenzake kwann anamlazmisha amwingie kavukavu? Huon kuwa kuna kitu hapo?
Kitendo cha kuzamisha mashine yako kwa mtu mwathrika wakat unajua kabisa ni sawa na kujielekezea bunduk kifuan wakat risas iko chemba
 
hili linapelekea matatizo makubwa kama haya .. sasa ona ndoa inavunjika inaathiri hadi ndugu
najaribu kufikiria ugumu wa hao ndugu zetu kama wanaweza kuish kama mke na mume bila kushirik tendo au kama itahtajika kwa kutumia kinga ila ni kwa badae zaidi kwa maana kama mtoto ujauzito tayar ushapatikana ni kuahkikisha mtoto anazaliwa salama

ila inanipa shaka sana hii hali amabayo imemkuta huyu dada ya kutaka kushurik tendo kilazma kama haitajirudia tena hapo badae
 
mtihani mzito sana aiseee
 
mkuu sijui ila nilimuuliza akanijibu kuwa hawakupima so hajui na mke hataki kufunguka kuhusu hillo swala

Anatakiwa achunguze nyendo za mkewe enzi hizo kabla hajawa naye na hata baada ya kuwa naye, sio kumuuliza....halafu ajisachi mwenyewe kama ni kweli mwanamke alikuwa honest au alikua hataki kupima au ndiye aliyeplant idea ya kuaminiana blindly....na inakuwaje anamuuliza swali hataki kujibu? Alishashindwa kumhandle nini?
 
kingine unajua mambo ya wanawake kuendeshwa na hisia .. ataanza kuhisi jamaa anachepuka akichelewa ugomvi, akikosolewa ugomvi kuishi naye yataka moyo hasa kama mume na mke... mi sielewi kwa nini atake ngono kwa nguvu
 
brodah Mr Rocky umesema vyema sana ila naomba niongezee jambo apo

1. uyu kaka anatakiwa ajue kwamba kama mkewe ni muathirika basi uwezo wa kuwa na tayari up stairs apako vyema ivo awe makin sana na aende nae kwa utaratibu sana

2. kaka aamue kutumia condom kwenye kila tendo na asiwe na mawazo ya kusema hatendi haki apana ajitahidi kuepuka njia zote hatarish kama vile kunyonyana, nk

3. aende hosp ili apewe ushauri nasaha jins ya kumpenda zaid na kumuelekeza kuish kwa matumaini

4. amsisitizie mkewe atumie dawa za kurefusha maisha ili kuepuka magonjwa nyemelez lakin pia hii itampunguzia chances za yeye kuambukizwa.

5. asifanye jambo lolote asilokuwa na uhakika nalo maanke kama mkewe ni mjamzito ajue anatakiwa kupatiwa elimu, ushauri na tiba ili kumkinga mtoto anayetazamiwa na maambukizi ya mama kwa mtoto
 
Last edited by a moderator:
my dear kuna wanaume wanendeshwa na mwanamke ni tatizo kubwa sana.. rafiki yangu huyu bwana ni mpole kazidisha
 
asante kwa ushauri mae
 
mtihani mzito sana aiseee

Nilichogundua tusiwe tunajudge kwa macho maana unaweza kuta mtu ni mpole, mstaarabu na ana heshima yaani ukimuona kama hajui lolote kwenye mapenzi ila kumbe ni moto wa kuotea mbali hata kuliko unaowaona micharuko!
 
Nilichogundua tusiwe tunajudge kwa macho maana unaweza kuta mtu ni mpole, mstaarabu na ana heshima yaani ukimuona kama hajui lolote kwenye mapenzi ila kumbe ni moto wa kuotea mbali hata kuliko unaowaona micharuko!
kweli kabisa kina piga kelele kama miss chagga tunaongea ongea utasikia siyo wife material .. mimi acha nipige kinanda cha mdomo mpaka mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…