soine JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 2,113 Reaction score 2,334 Jun 1, 2020 #41 gwankaja said: Masikini mna lawama sana Click to expand... Sio maneno yake haya, soma Mithali 14:20. Kosa uone ndio utajua kuwa masikini hana rafiki.
gwankaja said: Masikini mna lawama sana Click to expand... Sio maneno yake haya, soma Mithali 14:20. Kosa uone ndio utajua kuwa masikini hana rafiki.
Make musolini jr JF-Expert Member Joined Oct 7, 2018 Posts 305 Reaction score 234 Jun 1, 2020 #42 Ndio ukweli
Chief Wingia JF-Expert Member Joined Jul 12, 2013 Posts 2,863 Reaction score 5,094 Jun 2, 2020 #43 Kiuhalisia tajiri ndio hana rafiki bali wana wapambe "wapambe nuksi". Maana shida na dhiki ndio mzani yakinifu wa urafiki wa kweli.
Kiuhalisia tajiri ndio hana rafiki bali wana wapambe "wapambe nuksi". Maana shida na dhiki ndio mzani yakinifu wa urafiki wa kweli.
Artifact Collector JF-Expert Member Joined Mar 7, 2019 Posts 6,622 Reaction score 10,247 Dec 31, 2020 #44 Ndo maana maskin akipata hela na akitaka kuendelea kuish vile vile bila ya kuwa na marafiki anaonekana ana ringa ubinadamu kazi
Ndo maana maskin akipata hela na akitaka kuendelea kuish vile vile bila ya kuwa na marafiki anaonekana ana ringa ubinadamu kazi