Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 10,484
- 19,987
Tunanyanyasika..
Ha ha ha haMkuu...
Rafiki wa kweli wa masikini ni watoto wake
ha ha ha huo sio uzalendo mkuuMasikini hawezi kuwa na rafiki kwa sababu huwezi kuweka Agano na Masikini... kila mmoja anamkwepa MASIKINI
NakaziaRafiki wa kweli ni Yesu
Inabidi kuishi nao kwa umakiniHaya maisha we acha tu, ukizipata hata marafiki unawapata
ha ha ha haMithali 14:20
[20]Maskini huchukiwa hata na jirani yake;
Bali tajiri ana rafiki wengi.
Inabidi kuishi mwenyewe mwenyewe tuTajiri akifirisika au mwenye cheo akibaki hana cheo marafiki humkimbia.
Ndo maana sipendi shobo wala connection isiyoninufaisha ili hata nikifirisika nisipate stress na kutafuta wa kumlaumu eti kanifirisi.
Kama mtu akiwa rafiki unaapply principle ya wazanaki. Maana ya wazanaki ni umekuja kwangu sasa umeleta nini. Siyo kuniletea tumbo na kunitia njaa kesho nikichoka unicheke.Inabidi kuishi mwenyewe mwenyewe tu
Mkuu hizo ni dhana ya kimaskini tu maana hata mm ni maskini inagawa ninishatembea nchi kadhaa Asia na Europe na Nina marafiki matajiri lakini nilivyojiweka wao ndo hunitafuta mm kunisalimia maana washajua mm sijali utajiri wao Bali ni marafiki tu shida inakuja ni pale unapotaka kujifananisha nao na hali yako haikuruhusu kwa iyo tatizo sio umaskini tatizo ni wewe mwenyewe utakavyojiweka tu.Mkuu,unadhani hii dhana inaweza kubadilika kweli?
Iko wazi, inaumaga sana.Mkuu...
Rafiki wa kweli wa masikini ni watoto wake
Mkuu samahani kwa hiki nachotaka kusema.Urafiki wa kibinadamu unakuwepo pale panapokuwa na sababu maalumu, na hasa pale upande mmoja unaponufaika zaidi kutokana na uwepo wako.
Ni vigumu kwa mtu choka mbaya, asiyekuwa na maono n.k kupata rafiki. Na hii inapelekea, asilimia kubwa ya urafiki kuwa wa kimaslai tukipendana kiunafiki, huku tukiwa na malengo yetu ya siri katika uhusiano uliopo. Ukiwa huna kitu au u fukara usitegemee kupata rafiki wa kukufariji pale utakapoteleza.
Na hii inathibitisha masikini hana rafiki, angekuwa na rafiki asingekuwa masikini.
ha ha ha ha relax mkuu, mtandaoni hutakiwi kutumia akili kubwa kufikiri, just for leisureMkuu samahani kwa hiki nachotaka kusema.
Onana na wataalamu wa saikolojia kabla tatizo halijawa kubwa zaidi. Nimekuwa nikifuatilia sana post zako na nyingi unaonekana ukilalamika. Nahisu kuna tatizo linakusumbua ila unatuliza mawazo kwa kupost kinyumenyume.
Urafiki wa kibinadamu unakuwepo pale panapokuwa na sababu maalumu, na hasa pale upande mmoja unaponufaika zaidi kutokana na uwepo wako.
Ni vigumu kwa mtu choka mbaya, asiyekuwa na maono n.k kupata rafiki. Na hii inapelekea, asilimia kubwa ya urafiki kuwa wa kimaslai tukipendana kiunafiki, huku tukiwa na malengo yetu ya siri katika uhusiano uliopo. Ukiwa huna kitu au u fukara usitegemee kupata rafiki wa kukufariji pale utakapoteleza.
Na hii inathibitisha masikini hana rafiki, angekuwa na rafiki asingekuwa masikini.