Masikini hana rafiki...

Masikini hana rafiki...

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,108
Reaction score
55,524
Urafiki wa kibinadamu unakuwepo pale panapokuwa na sababu maalumu, na hasa pale upande mmoja unaponufaika zaidi kutokana na uwepo wako.

Ni vigumu kwa mtu choka mbaya, asiyekuwa na maono n.k kupata rafiki. Na hii inapelekea, asilimia kubwa ya urafiki kuwa wa kimaslai tukipendana kiunafiki, huku tukiwa na malengo yetu ya siri katika uhusiano uliopo. Ukiwa huna kitu au u fukara usitegemee kupata rafiki wa kukufariji pale utakapoteleza.

Na hii inathibitisha masikini hana rafiki, angekuwa na rafiki asingekuwa masikini.
 
Familia za kibongo ndio zinakwamisha maisha ya urafiki wa kushibana.
Marafk wa shida na raha utawapata kwenye maisha ya utafutaji, mwanzo wa maisha ya kujitegemea.

Chuo penyewe unafik mwingi, ukijitahid sana Unapata mmoja au wawili tu.
 
Familia za kibongo ndio zinakwamisha maisha ya urafiki wa kushibana.
Marafk wa shida na raha utawapata kwenye maisha ya utafutaji, mwanzo wa maisha ya kujitegemea.

Chuo penyewe unafik mwingi, ukijitahid sana Unapata mmoja au wawili tu.
Mkuu,unadhani hii dhana inaweza kubadilika kweli?
 
Back
Top Bottom